mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Kutosoma kuna uhusiano gani na kuwa friendly.Hawakusoma
Kwani waliosoma huwa wanafundishwa kuwa wabaguzi na wabinafsi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutosoma kuna uhusiano gani na kuwa friendly.Hawakusoma
Mkuu, huu ni udharirishaji, utajisikiaje siku ukiona picha ya mkeo, mwanao, dada yako, mama au shangazi na bango la kesi ya umalayaHuwa pana ulazima gani mpaka kabila litajwe...
![]()
![]()
Aache tu.Mkuu, huu ni udharirishaji, utajisikiaje siku ukiona picha ya mkeo, mwanao, dada yako, mama au shangazi na bango la kesi ya umalaya
Ndo tabia zao haoHuwa pana ulazima gani mpaka kabila litajwe...
![]()
![]()
Hiyo kazi ni ya Wahaya na Wachaga. Kidogo Wanyakusya na Wahehe. FuatiliaMbona wanyiramba na warangi hawapo
Si kwa umalaya tu, ni kwa makosa yote.Huwa pana ulazima gani mpaka kabila litajwe...
![]()
![]()
Nimewahi kuishi Mwananyamala Msisiri B aisee huo mtaa na ufahamu. Noma sana.Nili katiza siku moja mitaa yao mwananyamala kuona yaliomo yamo? kuna kamtaa karefu wamejaa wenyewe watupu aisee wanapiga kihaya kama wapo Buyekera vile
Basi kila mmoja anakuita mara bebi mara fundi mara jembe langu yaani ni balaa
Yamevaa mapaja nje mengine yamekaa kitandani, size zote kuanzia wazee hadi vibinti nahisi vitakua underage
Hadi kuja kuumaliza ule mtaa jasho lilinitoka wamefukiza udi unanuka balaa
Basi Mimi Nina miaka mitatu kama huyu 37