Uko sahihi , majina yakina Julius yana records kwakua Romans walijua kusoma na kuandika. Wana record ya Mtakatifu Julius. Sasa Mainda hata kama ni mtakatifu nani anajua?Lakini bahati mbaya sana kuna majina mengine ya Kiislamu au Kikristo yalikuwepo hata kabla ya hizi dini kuzaliwa.
Mfano Julius, lile lilikuwa ni jina la kilatini ambalo limekuwa likitumika na Waroma hata kabla ya Yesu.
Hapo sasa... Soma vituko ma Tabia zao utapata jibu.. magazeti yanafedhehesha vituko vya tamaduni!!Majina asilia yamefungamanishwa na Lugha na Tamaduni za watu husika (Natives)
Hivyo unachosema wewe hapa ni kwamba Tamaduni zetu ni za Kishenzi (Barbaric)
Lakini wanajamii husika (Natives) wakifahamu haswa nini maana ya Mainda nadhani hili linatosha kwao.Uko sahihi , majina yakina Julius yana records kwakua Romans walijua kusoma na kuandika. Wana record ya Mtakatifu Julius. Sasa Mainda hata kama ni mtakatifu nani anajua?
Ulisoma Things Fall Apart ya Chinua Achebe, jinsi wakoloni walivyotuaminisha kuwa tamaduni zetu ni za kishenzi!Lakini wanajamii husika (Natives) wakifahamu haswa nini maana ya Mainda nadhani inatosha kwao.
Maana hata kama hawana maandishi, lazima wana lugh yao na tamaduni za simulizi (Oral Traditions).
Kwahiyo chanzo cha kubadili majini yetu asilia ni ubeberu mamboleo wa kitamaduni (Neo-Cultural Imperialism) unaoendeshwa na taasisi zetu za kidini ambazo waafrika tunazihusudu sana ???Ulisoma Things Fall Apart ya Chinua Achebe, jinsi wakoloni walivyotuaminisha kuwa tamaduni zetu ni za kishenzi!
Kuna wakati Mobutu alitoa amri Zaïre kukataza ma padre wa Roma na kwakua ndiyo kanisa kubwa Zaïre. Kubatiza watoto na majina ya Kizungi. Mtoto anabatizwa Nguku Nshekedi.Kwahiyo chanzo cha kubadili majini yetu asilia ni ubeberu mamboleo wa kitamaduni (Neo-Cultural Imperialism) unaoendeshwa na taasisi zetu za kidini ???
Kudhihirisha kuwa umepokea uzungu na uarabu!Lakini chanzo cha kubadilisha hayo majina huwa nini haswaa ???
Mawazo ya kijinga saana hayo mkuu!Mahindi,mihogo,simu unayorumia,daladala uliyopanda,gari ulilopanda,nguo ulizovaa asili take sio Afrika. Ukijidai mtu wa asili basi komaa na kula usiishie jina tu
Nadhani mfano wako haujaangalia vitu kwa undani wake wala kuvipa uzito unaostahili.Mahindi,mihogo,simu unayorumia,daladala uliyopanda,gari ulilopanda,nguo ulizovaa asili take sio Afrika. Ukijidai mtu wa asili basi komaa na kula usiishie jina tu
Mobutu alitumia nguvu lakini mwishowe akashindwa, maana hili swala limekaa kimfumo zaidi tofauti na tufikirivyo.Kuna wakati Mobutu alitoa amri Zaïre kukataza ma padre wa Roma na kwakua ndiyo kanisa kubwa Zaïre. Kubatiza watoto na majina ya Kizungi. Mtoto anabatizwa Nguku Nshekedi.
Level za utegemezi zinatofautiana.Nadhani mfano wako haujaangalia vitu kwa undani wake wala kuvipa uzito unaostahili.
Kutumia kitu cha jamii nyingine au kufanya biashara hakuhusiana sana na tamaduni.
Kama kutumia vitu vya mzungu hata wahenga wetu walivitumia kabla ya ukoloni.
Pia mkoloni alivitumia vitu vyao kwa wingi sana, na bado anaendelea kutumia.
Hujasoma Early-Contacts za karne ya saba kwenye somo la Historia mkuu ???
Hakuna jamii inayojitegemea yote kwa asilimia 100%,
Hayo uliyosema ni biashara siyo tamaduni.
Tatizo kubwa ni kuwa ni rahisi kuielewa elimu na tamaduni za mzungu kwani zina vielelezo. Elimu yetu ya tamaduni haina theories za kutosha . Mambo mengi hufanyika ki miujiza.Mobutu alitumia nguvu lakini mwishowe akashindwa, maana hili swala limekaa kimfumo zaidi tofauti na tufikirivyo.
Nadhani tukubali kwamba ushawishi wa tamaduni za mzungu umefika hadi kwenye mizizi ya tamaduni zetu.
Hivyo tatizo kubwa ni utumwa wa kifikra (Mental Slavery) na ubeberu wa kitamaduni (Cultural Imperialism) ???Level za utegemezi zinatofautiana.
Hawa unaosema wabaki na majina yao wanawaza ni lini wataenda kwa wazungu. Wanawahusudu wazungu. Wanaamini kuwa ukienda kule kuna uwezekano mkubwa wa kutoboa. Imani hiyo inatokana asilimia kubwa walioenda huko na kutoboa.
Waafrika wangapi wakipata nafasi kwenda kwa wazungu watakataa?
Mtu unayemhusudu kwamba ukiwa kwake mambo yatakunyookea ni rahisi kutumia style yake of naming.
Tofauti ya kiuchumi na kitechnology.Hivyo tatizo kubwa ni utumwa wa kifikra (Mental Slavery) na ubeberu wa kitamaduni (Cultural Imperialism) ???
Tatizo kubwa hapa ni kutojiamini.Tunaishia kuliogopa jina la Mboni.
Ndiyo ukoloni wa kifikra wenyewe (Mental Slavery) na Ubeberu wa kitamaduni (Cultural Imperialism) au nakosea ???Tofauti ya kiuchumi na kitechnology.
Kwa kifupi tunasema BOSI HANUNIWI.
Tusitake kuwalazimisha waafrika wapende vya kwao wakati hawatendewi vyema na kwao.
Waafrika wanahusudu uchumi wa wazungu. Kuhusudu majina ya kizungu imekuja kutokana na uchumi wa wazungu.
Kama mwanao humlishi vyema ,hakuna vitu vya kuchezea nyumbani usiseme ni utovu wa nidhamu kwenda kucheza kwa jirani.
Hivyo mkuu wale waliosema kwamba kanisa ni wakala na taasisi ya kikoloni hawakukosea ???Huku tumetawaliwa mpaka ubongo