Hivi kwanini tunawabadilisha watoto wetu majina asilia baada ya ubatizo au kubadili dini?

Hivi kwanini tunawabadilisha watoto wetu majina asilia baada ya ubatizo au kubadili dini?

Mobutu alitumia nguvu lakini mwishowe akashindwa, maana hili swala limekaa kimfumo zaidi tofauti na tufikirivyo.
Nadhani tukubali kwamba ushawishi wa tamaduni za mzungu umefika hadi kwenye mizizi ya tamaduni zetu.
Alishindwaje....Mimi naona Wazaire,(Wakongo) wamefaanikiwa Sana kwenye Utamaduni wao! Kuanzia majina ,muziki nk...huoni jinsi Wanavyonufaika Kiuchumi kwa Hilo...angaliaa zaidi ya Miaka 30 muziki wao unauzika Dunia mzima! Na Tanzania Ni mfano halisi !
 
Ni kutothamini utamaduni na utu wetu. Tunajidharau mno kwa kujua au kutojua na kurithi yasiyo yetu. Katika maeneo mengi (si yote) tuna majina mazuri, yenye maana na kumbukumbu nzuri.

Mathalani, majina mengi ya Kinyakyusa yanamtukuza Mungu, kuimarisha upendo na kujaliana.
Wasalaam,
Hivi kwanini mtoto alizaliwa anaitwa Mkwavinyika lakini baada ya kufanyiwa ubatizo anaanza kuitwa Paulo.

Au mtu alizaliwa anaitwa Mushaija lakini baada ya kutaka kumuoa Maiumuna anasilimu na kuanza kuitwa Juma.

Sasa nataka kufahamu haya yote yanatokana na nini:
Je, majina yetu asilia yanakuwa na walakini au yanabeba nuksi fulani hivi kwa mtoto ?

Au, hayo majina hutumika kama utambulisho wa dini ya mtu fulani kama ilivyo kwa kabila ?
 
Wasalaam,
Hivi kwanini mtoto alizaliwa anaitwa Mkwavinyika lakini baada ya kufanyiwa ubatizo anaanza kuitwa Paulo.

Au mtu alizaliwa anaitwa Mushaija lakini baada ya kutaka kumuoa Maiumuna anasilimu na kuanza kuitwa Juma.

Sasa nataka kufahamu haya yote yanatokana na nini:
Je, majina yetu asilia yanakuwa na walakini au yanabeba nuksi fulani hivi kwa mtoto ?

Au, hayo majina hutumika kama utambulisho wa dini ya mtu fulani kama ilivyo kwa kabila ?
Huwa hawabailishiw majina bali huongezewa majina. Hujui kuwa majina ya Julius na Kambarage yote ni ya Mwalimu Nyerere?
 
Uko sahihi kabisa!
Nadhani mfano wako haujaangalia vitu kwa undani wake wala kuvipa uzito unaostahili.
Kutumia kitu cha jamii nyingine au kufanya biashara hakuhusiana sana na tamaduni.

Kama kutumia vitu vya mzungu hata wahenga wetu walivitumia kabla ya ukoloni.
Pia mkoloni alivitumia vitu vyao kwa wingi sana, na bado anaendelea kutumia.

Hujasoma Early-Contacts za karne ya saba kwenye somo la Historia mkuu ???
Hakuna jamii inayojitegemea yote kwa asilimia 100%,
Hayo uliyosema ni biashara siyo tamaduni.
 
Majina asilia yamefungamanishwa na Lugha na Tamaduni za watu husika (Natives)
Hivyo unachosema wewe hapa ni kwamba Tamaduni zetu ni za Kishenzi (Barbaric)
Hata ukiwa na avatar ya jina la kizungu ni kasumba mbaya tu. mara nyingi watu wa hivi wame elimika nusu nusu, au hawana Elimu kabisa kabisaaaa! wakijikuna unatoka unga yaani ma mbululaa mfano wa karibu ni huu;

JaramogI Oginga Odinga- kenya

Jakaya Mrisho Kikwete .-TZ

Musariya Mudavwadi - Kenya

Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Bongo

Kingunge Ngombale Mwilu mokoya -TZ

Shehu Shaghali Malombwendombwendo - Nigeria.

Mobutu Nkunkumbengu wa Zabanga yooo !- Zaire ya DRC.

Tata Nyarusare Ruya Nyamutebheta kebhombo Ekiya - New zealand

Tafawa Balewa Nigeria

Suka Buka Dimka Nigeria

Zaire-DRC etc. yaani Drc

Haya majamaa yote yametawala na yamesoma mpaka no class ahead please. na yalikuwa yana akili balaaa! mpaka leo! kwa sababu hiyo yalijua chanzo cha huu ujinga wa kubadili majina yao ya asili. ukiona tu mtu ana jina la kidhungu mchunguze vizuri. atakuwa ana mtindio wa ubongo kwa mbaaali!
 
Afrika Magharibi wana enzi sana majina yao ya asili. Unamkuta Adebayo Ankunle hata huwezi kujua ni dini gani lakini utajua ni Mwafrika.
Kuna shule moja wanangu wanasema heeee wakiktaja majina ya marafiki zao tasema ni Wazuungu wote Ila Mm nimefanikiwa wanangu wana majina official ya kiasili ya kwa wakwe na Kwangu Nilimwambi Baba Paroko hataki asiwabakize ila sijtabadilisha majina
 
Wasalaam,
Hivi kwanini mtoto alizaliwa anaitwa Mkwavinyika lakini baada ya kufanyiwa ubatizo anaanza kuitwa Paulo.

Au mtu alizaliwa anaitwa Mushaija lakini baada ya kutaka kumuoa Maiumuna anasilimu na kuanza kuitwa Juma.

Sasa nataka kufahamu haya yote yanatokana na nini:
Je, majina yetu asilia yanakuwa na walakini au yanabeba nuksi fulani hivi kwa mtoto ?

Au, hayo majina hutumika kama utambulisho wa dini ya mtu fulani kama ilivyo kwa kabila ?
Nafikiri unaposema wanabadili majina siyo sahihi. Usahihi ni kwamba kikristo inashauriwa angalau ubatizwe kwa jina la mtu mwema lililok kwenye Bible.

Sasa kama jina lako halipo kwenye Bible, then utapewa jina jingine ( Jina la ubatizo ) au kwa lugha nyingine jina la kiroho.

Ndio maana kuna wazazi mpaka wa ubatizo ( sasa hapa huwezi kusema mtu kabadili wazazi )
 
Nafikiri unaposema wanabadili majina siyo sahihi. Usahihi ni kwamba kikristo inashauriwa angalau ubatizwe kwa jina la mtu mwema lililok kwenye Bible.

Sasa kama jina lako halipo kwenye Bible, then utapewa jina jingine ( Jina la ubatizo ) au kwa lugha nyingine jina la kiroho.

Ndio kuna wazazi mpaka wa ubatizo ( sasa hapa huwezi kusema mtu kabadili wazazi )
Mpaka umepata akili ya kuingia humu Jf na kuonna na watu vichwa lazima angalau una akili ya shule. Bible yenyewe imechezewa sana km mwanasesere! kwa miaka miiingi sana. Utajuaje ipi ni ipi au vipi bila msaada wa roho mtakatifuuu?

jina Joashua wengi wenu hamlijui chanzo chake lili badilishwa kwa kwenda mbele mpaka watu mu hoi!! mnaweweseka tu biblia!!! bilia!! kifupi ni kuwa wazungu wamewaingiza chaka mbaya sana. hamtoki huko nawambia!

Mmeambiwa kabisa hawa watu ni Nephilim wanawapoteza hamtaki tuwafanyeje sasa? kifupi waafrica weusi mnalewa lewa tu! mmekuwa km mtoto mdogo!! wa kuvalishwa pampers.
 
Mpaka umepata akili ya kuingia humu Jf na kuonna na watu vichwa lazima angalau una akili ya shule. Bible yenyewe imechezewa sana km mwanasesere! kwa miaka miiingi sana. Utajuaje ipi ni ipi au vipi bila msaada wa roho mtakatifuuu?

jina Joashua wengi wenu hamlijui chanzo chake lili badilishwa kwa kwenda mbele mpaka watu mu hoi!! mnaweweseka tu biblia!!! bilia!! kifupi ni kuwa wazungu wamewaingiza chaka mbaya sana. hamtoki huko nawambia!

Mmeambiwa kabisa hawa watu ni Nephilim wanawapoteza hamtaki tuwafanyeje sasa? kifupi waafrica weusi mnalewa lewa tu! mmekuwa km mtoto mdogo!! wa kuvalishwa pampers.
Mkubwa Jalala.

Waafrika ni total failure kwenye kila kitu, lawama kwa Wazungu.

Kama ni madhira ya utumwa hata wayahudi yaliyakuta lakini leo wsko mbali.

Sisi kila siku Wazungu hivi, wazungu vile, hawatutaki, wanataka kutuua ooh.

Come on. Get a life niggas.

Ukristo na uislamu una asili ya mashariki ya kati. Hata wazungu wenyewe walipelekewa.

Kama waafrika tuna msmbo mengi ya msingi ya kufanya kuliko kukomaa na majina.

Ni sawa na baba wa familia ambaye familia yake imefukuzwa kwenye nyumba Kwasababu ya kodi lakini yeye yuko busy anahesabu mpaka vipande vya nyama iliyobaki mchana au njiti za kiberiti zilivyotumika.

Tuwekeze kwenye mambo ya msingi kama: Umasikini, Maradhi, Ujinga

Na: Utamaduni ( Maadili, Uaminifu, ushikiano, Kuheshimu mikataba na makubaliano, Time management na Kupiga vita ubinafsi kwa maana ya uzalendo ).

Siku nikiwasikia mnapambana tuachane ni vitu vya mabeberu kama mitandao yote, VXR V8, MABOMU YA MACHOZI, VIFARU, AK47 etc.

Hapo nitaanza kuwasikiliza kuhudu hivi vijitu vidogo vidogo kama majina.

Yes, No cherry picking, take the whole package.
 
Unajua sielewi mfano Ghana SA, wanatumia majina ya asili na wanaenda church na misikitini, sasa sisi sijui kwann hatuitani majina ya kiasili wenye vyeti vya ubatizo au, Uislam.

Tunaambiwa yanabeba maroho na mapepo wachafu! Inasikitisha mno!

Everyday is Saturday............................. 😎
Anzia na jina ASILI la Dar es Salam, MZIZIMA.
 
Labda majina asilia yanatia kinyaa..?!!
Hapana, ni utaratibu tu wa serikali. Kila mtoto hupewa jina la uji ambalo ndo jina la asili (kwa makabila mengi).
Sasa tatizo linakuja unapomuandikisha kwenye cheti cha kuzaliwa, lakini Roman Catholic wana utaratibu ambao unapombatiza mtoto unachagua jina la mtakatifu wao na la uji yote yanaandikwa kwenye cheti cha ubatizo.
 
Hapana, ni utaratibu tu wa serikali. Kila mtoto hupewa jina la uji ambalo ndo jina la asili (kwa makabila mengi).
Sasa tatizo linakuja unapomuandikisha kwenye cheti cha kuzaliwa, lakini Roman Catholic wana utaratibu ambao unapombatiza mtoto unachagua jina la mtakatifu wao na la uji yote yanaandikwa kwenye cheti cha ubatizo.
Sababu yao RC kubatiza jina la mtakatifu ni nini?? Kutokuthamini jina asilia,
Sauzi, Sibongile ni Sibongile, Ghana Nana ni Nana, Nigeria Adebayor ni Adebayor, hao watakatifu RC wanajulikana Bongo tu??

Everyday is Saturday................................😎
 
Hapana, ni utaratibu tu wa serikali. Kila mtoto hupewa jina la uji ambalo ndo jina la asili (kwa makabila mengi).
Sasa tatizo linakuja unapomuandikisha kwenye cheti cha kuzaliwa, lakini Roman Catholic wana utaratibu ambao unapombatiza mtoto unachagua jina la mtakatifu wao na la uji yote yanaandikwa kwenye cheti cha ubatizo.
Jina ,la uuji haaaa khwante kwa Wairqw
 
Sababu yao RC kubatiza jina la mtakatifu ni nini?? Kutokuthamini jina asilia,
Sauzi, Sibongile ni Sibongile, Ghana Nana ni Nana, Nigeria Adebayor ni Adebayor, hao watakatifu RC wanajulikana Bongo tu??

Everyday is Saturday................................😎
Nadhani inawezekana. Unamkumbuka marehemu Kingunge Ngombale Mwilu?
 
Back
Top Bottom