Japo mfumo wetu wa utawala ni Westminster style kama wa Uingereza, tulidumu nao just for one year, 9 December, 1962 tukawa Jamhuri na kuadopt American style, tukaanza presidential system. VP anapigiwa kura na rais hivyo kura zote za Magufuli, pia ni za Samia!.Ili kuepuka kuwa na Rais ambae hakutokana na kuchaguliwa na wananchi ilipaswa kupewa nafasi yule aliye shika nafasi ya pili.
Samia amechaguliwa na wananchi by proxy, kila kura ya Magufuli ni kura ya Samia!.Hii itasaidi kuondokana na masononeka kwa watanzani kuongozwa na Rais ambae hakutokana na kuchaguliwa kwa kura
Una hoja [emoji419]Hiyo ni kwa mujibu wa kifungu kipi cha katiba ? Ukileta hizo mambo vyama vya upinzani mishe zao zitakuwa ni kumtanguliza Rais aliyopo mbele ya haki[emoji205]
Hili ni moja ya mapungufu makubwa ya katiba ya sasaJapo mfumo wetu wa utawala ni Westminster style kama wa Uingereza, tulidumu nao just for one year, 9 December, 1962 tukawa Jamhuri na kuadopt American style, tukaanza presidential system. VP anapigiwa kura na rais hivyo kura zote za Magufuli, pia ni za Samia!.
Samia amechaguliwa na wananchi by proxy, kila kura ya Magufuli ni kura ya Samia!.
P
KatibaIli kuepuka kuwa na Rais ambae hakutokana na kuchaguliwa na wananchi ilipaswa kupewa nafasi yule aliye shika nafasi ya pili.
Alafu Rais Samia angetumika kuongoza nchi kwa kipindi kifupi hadi pale Rais atakapo tawazwa kisha aachie nafasi ya Urais ambayo alishikili baada ya Rais aliye madarakani kututoka.
Hii itasaidi kuondokana na masononeka kwa watanzani kuongozwa na Rais ambae hakutokana na kuchaguliwa kwa kura
Acha kukufuru watanzania. Utakufa ukiwa umejibebea laana za maskini wa Tanzania wanaonyanyaswa na utawala huu haramu. Endapo tungekuwa na mfumo bora wa kikatiba basi Alipaswa ashikilie hiyo nafasi siku 90 tuchague mwingine tuepukane na haya mambo ya mabadiliko ya sera kwa malengo ya kuhujumu taifa. Katiba mpya tuliangalie hili. Binafsi wakati napiga kura sikuwaza kabisa kuongozwa na Rais muuza nchi kinyume kabisa na sera za niliyemchagua.Japo mfumo wetu wa utawala ni Westminster style kama wa Uingereza, tulidumu nao just for one year, 9 December, 1962 tukawa Jamhuri na kuadopt American style, tukaanza presidential system. VP anapigiwa kura na rais hivyo kura zote za Magufuli, pia ni za Samia!.
Samia amechaguliwa na wananchi by proxy, kila kura ya Magufuli ni kura ya Samia!.
P
2025 - 2030 ni kipindi cha pili cha awamu ya 6!.Hili ni moja ya mapungufu makubwa ya katiba ya sasa
Tunalazimishwa kuongozwa na rais asiyechaguliwa maana awamu ya sita haujafanyika uchaguzi.
Swali: 2025-2035 ni awamu ya saba?
Kwa hiyo umeuzwa wewe!Acha kukufuru watanzania. Utakufa ukiwa umejibebea laana za maskini wa Tanzania wanaonyanyaswa na utawala huu haramu. Endapo tungekuwa na mfumo bora wa kikatiba basi Alipaswa ashikilie hiyo nafasi siku 90 tuchague mwingine tuepukane na haya mambo ya mabadiliko ya sera kwa malengo ya kuhujumu taifa. Katiba mpya tuliangalie hili. Binafsi wakati napiga kura sikuwaza kabisa kuongozwa na Rais muuza nchi kinyume kabisa na sera za niliyemchagua.
Ashapiga chang'aa!Hiyo ni kwa mujibu wa kifungu kipi cha katiba ? Ukileta hizo mambo vyama vya upinzani mishe zao zitakuwa ni kumtanguliza Rais aliyopo mbele ya haki🐒
Katiba ni kijitabu tu. By SamiaHiyo ni kwa mujibu wa kifungu kipi cha katiba ?
soma katiba yako nduguIli kuepuka kuwa na Rais ambae hakutokana na kuchaguliwa na wananchi ilipaswa kupewa nafasi yule aliye shika nafasi ya pili.
Alafu Rais Samia angetumika kuongoza nchi kwa kipindi kifupi hadi pale Rais atakapo tawazwa kisha aachie nafasi ya Urais ambayo alishikili baada ya Rais aliye madarakani kututoka.
Hii itasaidi kuondokana na masononeka kwa watanzani kuongozwa na Rais ambae hakutokana na kuchaguliwa kwa kura