Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
hakuna chuma ulete ya aina moja,uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
Mafanikio ni kanuni na sio masharti.Utakua na masharti pia si ndio???
Ngende hiyo?Hautumiki?
Are serious?
Kuna mzee huko Lindi Liwale, huyo anakusomea Dua ukienda vitani hata kama nyuklia ikipigwa huwezi kufa.
Kama unabisha njoo pm.
Yule mzee mpaka pesa za benki anaweza kukuwezeaha uzichote.
Sasa ni mzee sana . Anakufanyia free malipo baada ya matokeo
una amini vp sasa kitu amabacho hukijuinikaamini sababu sijui
Usanii mara kuna mzee mara baba yangu eti sasa hivi anapiga tu mechi za nyumbani[emoji28][emoji28][emoji28] saiv laifu tait sana upati[emoji389][emoji389] za bure chapa kaziSure!
Niamini
Tanzania kuna wataalamu wabobezi sana.
Huyo mzee ni baba yangu mzazi, simpigii promo ila daaaahhh anatisha.
Sasa hivi kaachia hiyo kazi anapiga mechi za nyumbani tu
Rejea historia ya Vita ya MajimajiNdugu zangu mshawahi kujiuliza kwanini uchawi hautumiki kwenye uwanja wa medani (vitani), nadhani kuna vitu vingi tumeshuhudia vya kichawi ambavyo ki uhalisia au ki fikra za kawaida tu vinaweza kuwekwa kwenye vita na vikafanya kazi..
Lakini cha ajabu Uchawi hautumiki kabisaaa ani tena nasikia uzunguni huko uchawi wao upo developed😀😀 sasa inashindikanaje wale wanajeshi wa upinzaniwakapigwa kimbora wakaumwa matumbo wiki nzima.
Mi naona uchawi ni wa mchongo... kuna sababu nyingine?