Serious ishawahi kunitokea humu zilichukuliwa komenti zetu Kama za watu watatu hivi.. halafu isitoshe huyo mleta habari nilishawahi kutupia mistari hakujibu nikammind!... Akaja nionyesha ufundi wake sasa mbona nilionekana chizi..ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£brother unajua akili yako si nzuri aise..
Nimecheka sana eti unaikuta comment ya kwenye uzi wa mradi wa majiπ€£π€£π€£
Acha kugusa vyakula vya watu blaza ukiendelea utamwagiwa maji ya motoπ€£π€£π€£Serious ishawahi kunitokea humu zilichukuliwa komenti zetu Kama za watu watatu hivi.. halafu isitoshe huyo mleta habari nilishawahi kutupia mistari hakujibu nikammind!... Akaja nionyesha ufundi wake sasa mbona nilionekana chizi..π
Watu wakawa wanakomenti tu mbona hatuelewi uzi na komenti tofauti..π
Ukiona hivyo umeenda na danga laoHakika leo nimekwazika kiwango cha juu mno..sijawahi kuchukia Na sipendagi kuchukia kiasi hiki cha leo
Kama mtu hataki si aseme tu vitimbi vya nini sasa..?Acha kugusa vyakula vya watu blaza ukiendelea utamwagiwa maji ya motoπ€£π€£π€£
Hili ni kweli kabisa aise..Wahudumu wa kike huwa wana kasumba mbaya juu ya wateja wa jinsia nao sawa...
Tabia hiyo ipo pia hata sehemu nyinginezo kama banks, gas stations, kwa manesi/doctors (kama ni mwanaume ukitaka tibiwa vizuri, ulizia dokta wa kike π hutajuta)...
Kunimiss kunasoma asilimia ngapi!π
Hili ni kweli kabisa aise..
Hebu siku moja tutoke tukazishuhudie hizi tuhuma pamoja..unaonaje
New avatar?π³de nada hermosa...
halafu nimependa your new avatar...don't ask me why please π
New avatar?π³