Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Hebu basi usichochee fujo,mi najua ulijua sio mimiHahah fujo tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu basi usichochee fujo,mi najua ulijua sio mimiHahah fujo tu...
Au unaweka ya mdada amebinua trakoHehehehh siku nitaweka avatar ya mtu kavaa dera nikushangaze
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa ufupi umeingia cha kike
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ipo tu hata ukiikimbia ila ni yangu sio yakoHii vita ya kimya kimya siwezi ikubali wallah vile [emoji28]
Hebu basi usichochee fujo,mi najua ulijua sio mimi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawaAcha fujo wewe [emoji3526]
Hahaha mie mtu akini-mistreat wala haniumizi kichwaMmehudumiwa na ke bila shaka. Wahudumu wakiona me peke yake anapata first class service na customer service ya kipekee, super! Ole wako uwe na ke sasa
Hali kadhalika mdada ukihudumiwa na mkaka unapata treat nzuri, ila uwe na me sasa
Huyo Joanah achana nae, tutaenda nae wote apate experience ya worst customer service
Kumbe hata me wanayo hii tabiaMmehudumiwa na ke bila shaka. Wahudumu wakiona me peke yake anapata first class service na customer service ya kipekee, super! Ole wako uwe na ke sasa
Hali kadhalika mdada ukihudumiwa na mkaka unapata treat nzuri, ila uwe na me sasa
Huyo Joanah achana nae, tutaenda nae wote apate experience ya worst customer service
Oke okeHahah acha hii hii...labda ukibadili sana rudisha ile ilikuwepo kabla
Umenunua ugomvi?🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo ipo tu hata ukiikimbia ila ni yangu sio yako
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Heri ya mwaka mpya.Hahaha mie mtu akini-mistreat wala haniumizi kichwa
Now you know....tupo wawili ama inaweza kuwa zaidi ya wawiliFor sure i was totally confused...sikuchukua hata muda kuanza kagua idadi ya herufi...sikuwahi jua kuna Jo wawili hapa
Heri ya mwaka mpya kwako piaHeri ya mwaka mpya.
Mie najali chakula kiwe kitam tu, yeye atakavyonihudumia kimpango wake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umenunua ugomvi?[emoji1787]
Ila sometimes huu ukorofi wangu hata sishangai nimeutoa wapi
🤣🤣🤣pole[emoji1787][emoji1787][emoji1787] afadhali umeuliza mimi kuna siku niliongea nikasutwa hatari
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app