Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji1787][emoji1787] mwenzangu nimeshapoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787] mwenzangu nimeshapoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole
Usinifanyie hivyo basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heri ya mwaka mpya kwako pia
Ndio ndio,chakula kiwe kisafi na kizuri...kama itakuwa sio muhimu kurudi sirudi
Yes wa juzi ni ke Na hata huyu leo pia ni ke..Mmehudumiwa na ke bila shaka. Wahudumu wakiona me peke yake anapata first class service na customer service ya kipekee, super! Ole wako uwe na ke sasa
Hali kadhalika mdada ukihudumiwa na mkaka unapata treat nzuri, ila uwe na me sasa
Huyo Joanah achana nae, tutaenda nae wote apate experience ya worst customer service
Basi tuhitimishe na mwanamke akiwa mal*yaMe akiwa kitombi labda...
Hapo sawa kabisaUmuhimu gani tena zaidi ya chakula kuwa kitamu, kizuri na kisafi?
Hapo ntarudi mara nyingi tu, na nikiona wahudumu hawaeleweki hua naenda mwenyewe jikoni na counter kwenye vinywaji nalipia kabisa nasubiria chakula na kinywaji.
Asante kwakweli.
Wote ni wadada Ila wa jikoni kanihudumia vizuri nakamtip Ila hiki kisebengo cha bar sasa kha!!ilinibidi niende counter nikajihudumie mwenyewe
Ewaaa...nimeshaachana na mambo ya bar kwanzia sasa..Hapana ndio ukweli najua tuko mbali mbali sana ila ipo siku huenda nikakualika tukala sehemu ambapo utapewa huduma na kuambiwa Yes Mum
Achana na bar
[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]Hahah hivi leo umekula nini...
Ewaaa...nimeshaachana na mambo ya bar kwanzia sasa..
Hii siku ni mwaka elfu mbili Na ishirini Na ngapi chief
😂🤣😂🤣😂🤣🤣🤣Mbona hata humu jf hiyo tabia ipo!
Mods wakike wakijua unamchumba nyuzi zako zitafutwa hovyo muda mwengine kuzi mix.. unaweza kuta komenti yako ya mapenzi kwenye uzi wa mradi wa maji!,hujui imefikaje..😂