johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!