mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 809
- 729
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeuaaaa! [emoji3]Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Unaejisikia vizur ni wewe.Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha maneno yako!
Nilikuona ulikuwa muoga mpaka umeamua kujifariji na hii mada... Ule ulinzi haukuwa wa kitoto kuanzia kupekuliwa mpaka matumizi ya simu... Sikuona hata mmoja akinyanyua simu pale ndaniNipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Mnafiki mkubwa we we sijui upo unapalilia mahindi wapi!Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Hahahahaaaaaa,hatari sana!Mkuu hapa jamii forum wote Ni matajiri yaani wafanyabiashara wakubwa[emoji6][emoji6]
Haakuna kasikini umu hahaha
Hahahaa......uchaguzi mdogo wa madiwani CCM yapita bila kupingwa katika kata zote zaidi ya 30!Hata ng'ombe mjinga anaweza kujisikia amani akipelekwa machinjioni.
Magufuli alisema (kwa uongo) kwamba kampeni yake haijachukua hata senti tano ya mfanyabiashara, ujumbe ulikuwa kwamba yeye ni msafi sana na pesa zote za wafanyabiashara ni chafu.
Wafanyabiashara wakubwa wanatimka. Dangote kiasi kikubwa kasepa, Etihad wamesepa, Exxon Mobil wamesepa, tumebaki kufanya biashara za danganya toto kwa wakulima wa korosho.
Sasa hivi watu wenye international strategy kina Bakhressa ndio wanapeta, biashara Tanzania imekuwa ngumu sana, kwa sababu rais kichwamaji.
Ali Mufuruki alijifanya kumpigia chepuo mwanzo, yeye mwenyewe analalamika sana jinsi Magufuli alivyofanya nchi iwe si rafiki wa wafanyabiashara.
Huyu ni rais anti-business, kalikoroga sasa anaona hawezi kuendesha nchi bila ushirikiano wa wafanyabiashara, anatapatapa.
Hawa makada wengine wapo kazini tu wanatupa hagiography kama kawaida.
Huyu alishamuweka Magufuli sawa na Mungu kwake, siwezi kushanga akileta vituko hapa.
Hahahaa..... Sikukuona mkuu Manyerere wakati wa break ya chakula!Mleta post acha fiksi. Ukiingia Ikulu unaacha simu mlangoni. Wewe umepost kwa kutumia uchawi gani?
Uchaguzi una maana gani wakati CCM imeiba kura tangu kabla Tanzania haijawa na vyama vya upinzani?Hahahaa......uchaguzi mdogo wa madiwani CCM yapita bila kupingwa katika kata zote zaidi ya 30!
Mbona hoja zote zimejibiwa mkuu!. Kama ulifuata ikulu kukalia viti na kuhesabu mara ngapi unafika Ikulu lazima ujisikie amani. Wenzako waliofuata Ikulu mambo ya muhimu hawana amani mpaka rais atakapojibu hoja zao.
Kamanda unaelewa maana ya lunch break lakini?!Nilikuona ulikuwa muoga mpaka umeamua kujifariji na hii mada... Ule ulinzi haukuwa wa kitoto kuanzia kupekuliwa mpaka matumizi ya simu... Sikuona hata mmoja akinyanyua simu pale ndani
Umenena vema maana hata 2020 inawezekana uchaguzi ukafanyika Zanzibar na Mbeya mjini tu!Uchaguzi una maana gani wakati CCM imeiba kura tangu kabla Tanzania haijawa na vyama vya upinzani?
Hahahaa...... Huu ni msimu wa mavuno mkuu na mwaka huu tuna soko la uhakika ndio maana nimehudhuria mkutano huu wa kihistoria!Mnafiki mkubwa we we sijui upo unapalilia mahindi wapi!