Hivi kwanini ukiwa mahali alipo Rais Magufuli unajisikia amani sana!

Hivi kwanini ukiwa mahali alipo Rais Magufuli unajisikia amani sana!

Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.

Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.

Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.

Amina!
Maendeleo hayana vyama!
kwa sababu analindwa na maguruneti na makomandoo. ati yupo vitani! ? sijui anapigana vita nanani? anatengeneza matatizo mwenyewe kisha anajaza makamera kujidai ana majawabu?!
AWALIPE KWANZA WALE WAKULIMA WA KOROSHO ALIOPORA KOROSHO ZAO!
 
Angepokea kijiti kutoka kwa Mwalimu, nchi ingepaa kiuchumi, JPM hoyeeeeeeee!
 
Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.

Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.

Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.

Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Du!!! Ukiwa karibu na mwanaume mwenzio anayeitwa mag....unajisikia amani! Hongera sana
 
Sidhan kama kuna mfanyabiashara mwenye ajili timamu na vigezo vya kuweza kufika ikulu na akawa na muda wa kufungua nyuzi JF tuna uzi wa kipuuzi kama huu.
 
Back
Top Bottom