ungekuwa umepotelewa na mwanao au nduguyo ama wamejeruhiwa na wanatembelea magongo kwa sababu za kisiasa nafikiri ungefurahia zaidi ya hapo na ungeipenda CCM milele.Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Hata ng'ombe mjinga anaweza kujisikia amani akipelekwa machinjioni.
Magufuli alisema (kwa uongo) kwamba kampeni yake haijachukua hata senti tano ya mfanyabiashara, ujumbe ulikuwa kwamba yeye ni msafi sana na pesa zote za wafanyabiashara ni chafu.
Wwafanyabiashara wakubwa wanatimka. Dangote kiasi kikubwa kasepa, Etihad wamesepa, Exxon Mobil wamesepa, tumebaki kufanya biashara za danganya toto kwa wakulima wa korosho.
Sasa hivi watu wenye international strategy kina Bakhressa ndio wanapeta, biashara Tanzania imekuwa ngumu sana, kwa sababu rais kichwamaji.
Aali Mufuruki alijifanya kumpigia chepuo mwanzo, yeye mwenyewe analalamika sana jinsi Magufuli alivyofanya nchi iwe si rafiki wa wafanyabiashara.
Huyu ni rais anti-business, kalikoroga sasa anaona hawezi kuendesha nchi bila ushirikiano wa wafanyabiashara, anatapatapa.
Hawa makada wengine wapo kazini tu wanatupa hagiography kama kawaida.
Huyu alishamuweka Magufuli sawa na Mungu kwake, siwezi kushanga akileta vituko hapa.
Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Alafu nyi ndo mnajidai kupiga vita ushoga, watu makini tunajadili mifumo ya nchi iliyo paralyze (one man show) we unaleta habari za akina James Delicious,Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
mkuu mbona tupo wote hapa mbagala?Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Ni kweli.Nimesikiliza hoja nyingi za wafanyabiashara kwa mtukufu raisi inaonyesha wabunge wetu tunaowachaguwa hawaendi bungeni kutetea wapiga kura wao ipasavyo malalamiko mengi kwa raisi yangepashwa yajadiliwe na bunge kupata uvumbuzi
Hivi unawezaje kuiweka akili kama ya Rugemalila au Manji iozee gerezeni miaka 2, yaani unaiweka gerezani akili kubwa alafu unaita wachuuzi ikulu.Hata ng'ombe mjinga anaweza kujisikia amani akipelekwa machinjioni.
Magufuli alisema (kwa uongo) kwamba kampeni yake haijachukua hata senti tano ya mfanyabiashara, ujumbe ulikuwa kwamba yeye ni msafi sana na pesa zote za wafanyabiashara ni chafu.
Wwafanyabiashara wakubwa wanatimka. Dangote kiasi kikubwa kasepa, Etihad wamesepa, Exxon Mobil wamesepa, tumebaki kufanya biashara za danganya toto kwa wakulima wa korosho.
Sasa hivi watu wenye international strategy kina Bakhressa ndio wanapeta, biashara Tanzania imekuwa ngumu sana, kwa sababu rais kichwamaji.
Aali Mufuruki alijifanya kumpigia chepuo mwanzo, yeye mwenyewe analalamika sana jinsi Magufuli alivyofanya nchi iwe si rafiki wa wafanyabiashara.
Huyu ni rais anti-business, kalikoroga sasa anaona hawezi kuendesha nchi bila ushirikiano wa wafanyabiashara, anatapatapa.
Hawa makada wengine wapo kazini tu wanatupa hagiography kama kawaida.
Huyu alishamuweka Magufuli sawa na Mungu kwake, siwezi kushanga akileta vituko hapa.
. Kama ulifuata ikulu kukalia viti na kuhesabu mara ngapi unafika Ikulu lazima ujisikie amani. Wenzako waliofuata Ikulu mambo ya muhimu hawana amani mpaka rais atakapojibu hoja zao.Nipo hapa Ikulu kwenye mkutano wetu sisi wafanyabiashara na mkuu wa nchi, kwa kweli najisikia amani sana.
Nimewahi kufika mahali hapa katika awamu zilizopita lakini safari hii najisikia amani zaidi kuwepo mahali hapa.
Ule wasiwasi na mashaka havipo kabisa yaani najihisi nipo mahali salama kabisa.
Mungu mbariki Rais Magufuli
Mungu wabariki wafanyabiashara
Mungu wabariki watanzania.
Amina!
Maendeleo hayana vyama!
Hahahahaaaaa,wabongo kwa kujipaisha hamjambo!!!!