Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unarushia mdomoni Mrusho mmoja tuHivi nyama robo inatosha kula? Hasa kwa kijana wa kisukuma?
Mbona analia sasa😳NINA SUGGEST JF IWE INAPIMA WATU AKILI KABLA HAWAJACHUKUA MAAMUZI YOYOTE YA KUPOST CHOCHOTE
View attachment 3237311
Lazima uikuze🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Ndiyo ulitaka uoe mnyakyusa?Inapimwa hiyo vizuri tu.
Kwani nyama robo kilo uko kweni ni shilingi ngapi?Hawa watu wa Buchani wanadharau sana.
Yaani mtu akinunua nyama robo wanamfungia kwenye gazeti.
Tena la michezo, au kwakuwa analeta mchezo na nyama??
Robo mtaani kwetu ni 3500 steki tupu bila mifupaMkuu nyama robo mtaani kwenu shilingi ngapi?
Hata benki wanaokaa kwenye foleni ndefu ni wale wenye tuhela tuchache. Wenye hela za kati wakaenda kwenye bulk teller, na sisi wenye mizigo yetu, tunaenda kuhudumiwa sehemu ya Corporate BankingHawa watu wa Buchani wanadharau sana.
Yaani mtu akinunua nyama robo wanamfungia kwenye gazeti.
Tena la michezo, au kwakuwa analeta mchezo na nyama??