Hivi kwanini wanaume wa zama hizi sio wavumilivu, na hawajiongezi?

Hv unajua zamani mtu anaoa akishabalehe tuu
Mtoa malalamiko hajiu zamani wazazi wetu hawakupitia mifumo tunayo pitia kizaz cha sasa cha kulipiana kodi ya nyumba kununuliana gas wasicha wazamani walikuawa hawatoki chini ya uangalizi wa wazaz kwenda mkoa mwingine kujitafutia maisha bila kuwa na ndugu uko aendapo, kwaiyo mtoa mada husijaribu kulinga nisha maisha ya vijana wa zamani na vijana wa sasa,nimuulize mtoa mada Mama kabla kabla haja olewa alikuwa anaishi Kwa wazaz au alikodi chumba akawa anaishi pekeake
 
Msg sent
 
Mwanaume akikamilika inaboa nafikiri haya yote ni wanawake kuzirahisisha qma kupatikana kirahisi coz we ukibana mwenzio anaachia tena bure.
Bure kabisa
 
Naona umeandika uzi wote unatetea umalaya. Hivi hujui hata dini zinesema mwanamke mpumbavu ataiharibu nyumba yake kwa mikono yake yeye mwenyewe. I see you single mother
Labda utanipa wewe
 
Angalau wewe una maneno mazuri. We ni mwanaume 1 na nusu [emoji2]
 
Siku ambayo wanaume tutakua na uwezo wa kuvumilia kutoomba sex kabla ya ndoa ni pale ambapo nyinyi mtavumilia kutokumuomba mwanaume pesa kabla ya kutoa mbususu ichakatwe.
Kwa hiyo bila bila cyo?.
 
Hv unajua zamani mtu anaoa akishabalehe tuu
Najua na kulikuwa hakuna udanganyifu kama wa Sasa. Hizi kesi za kutekelezewa mimba au za kuoa asiye bikra zilikuwa hazipo kabisa.
 
Mtoa mada naona unatetea kujiuza...unadharau 5000 ambayo hata wewe mwenyewe huna.
Fanya kazi tumeshtuka siku hizi, toa mbunye upewe hela full stop.
Wapi nilipotelea hapo? Badilika ndugu yng
 
Tubarikiwe Sana. Na Mimi nimesemea anayejiongeza, sijasema anayeomba omba Kila siku. Au anayehamishia matatizo ya ukoo wake kwenu nyinyi.
 
Hakuna mwanaume anayekuja na Gia ya kuoa ili ampate msichana [emoji3][emoji3][emoji3] ila wanawake mnakuaga na zile sentensi za "sitaki kuchezewa" muhuni anabend kulingana na mahitaji [emoji3] kazi ibaki kwako sasa binti mfalme ! Nakazia kwenye point ya kwanza na ya pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…