Hivi kwanini wanaume wa zama hizi sio wavumilivu, na hawajiongezi?

Niliishi peke yangu.
 
[emoji13][emoji3] muache hiyo tabia ya kutuambia nataka kukuoa, kumbe unataka ulambe asali uondoke... Muoaji hata hajitangazi hivyo[emoji1787]
 
Fact[emoji419]
 
Sanamu lako tulijenge wapi mkuu
 
Kuanzia point ya 6-8 mtoa mada nakusupport kabisa uko sahihi ! Hizo nyingine ni utopolo mwendelezo wa kina dada na hii changamoto ya CINDERELLA COMPLEXITY SYNDROME !
 
Tatizo kubwa ni kichwaa kidogo kinatawala kichwa kikubwa (NYEGE). Hayo mengine ya kuomba omba hela tulishayajadili
 
Usitufokee
 
[emoji13][emoji3] muache hiyo tabia ya kutuambia nataka kukuoa, kumbe unataka ulambe asali uondoke... Muoaji hata hajitangazi hivyo[emoji1787]
Yaani mwanaume day one mnaingia kwenye mahusiano anajua kabisa hapa naoa ama natumia tu !! Sasa masharti ya binti mwanaume ndo atajua jinsi ya kucheza !! Linapofika suala la kuomba game ya kwanza mwanaume lazima awe smart sana ! Ile akili inakua ni kubwa mno [emoji3][emoji3] Baada ya hapo ndo msululu wa matukio ufuate
 
Yule jamaa aliemdunga MTU Risasi 7 ingekua niwewe ungedungwa Risasi 14,

Yaani nikutongoze unikubalie afu unipangie siku ya kuomba mechi!!! We vipi Tena najua kabisa unagawackwa mshikaji navumiliaje huo ujinga,

Afu kwanini uombe ombe hela kwa aliekutongoza kwani wazazi wako hawapo

Huna Akili
 
[emoji3][emoji3] Kwa hiyo gemu ya kwanza lazima ipangiliwe Kwa ufasaha?
 
Mwanaume akikamilika inaboa nafikiri haya yote ni wanawake kuzirahisisha qma kupatikana kirahisi coz we ukibana mwenzio anaachia tena bure.
Jehovah awabariki sana wanawake wanatoa mbususu kwa urahisi na moto wa milele uwashukie nyie wachoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…