Hivi kwanini wanaume wa zama hizi sio wavumilivu, na hawajiongezi?

Na ukisema ukweli utakufa na nyege zako
 
Acha ngonjera mama ukitongozwa ukikubali, kinachofuata ni kusakata mbususu kwa kwenda mbele.
 
Angalau wewe una maneno mazuri. We ni mwanaume 1 na nusu [emoji2]
Nashukuru best binafsi sipendi maoni yangu yaendeshwe na mihemko ya watu wengine napenda kutoa hoja kutokana kile kilichopo kichwani kwangu
 

Hili pekee ndio Jambo la Msingi uliloandika Mkuu....

Nakazia hapo,,, Vijana someni hili tu,, Mengine ni makasiriko
 
Asante studio 🤣
 
Tafta chako wewe kulia lia huhongwi hela ni mambo ya kishamba. Ma super woman wanajituma sana.
 
Dada umeandika kwa jazba sana..nyie si mnadai haki sawa nyie???haya KAZI IENDELEE
 

Wanawake wanapenda hela kama wallet dah[emoji22]
 
#3. Nyie mkija kwetu huwa mnajiongeza zaidi ya kubeba kanga huku mkitegemea hata wanja mnunuliwe?
 
Simply hujui unachokitaka

Unataka Pesa au unataka mwanaume smart asie na pesa— utamvumilia yupi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…