Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
I’m good kabisa, hofu kwako.Uko poa mdada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I’m good kabisa, hofu kwako.Uko poa mdada?
Na wewe bwawa la mterauchiteme
mwaya uchiteme!! wafupi na vitu vyao vifupi tu....hawa ni ft tano kurudi chini mpaka futi moja ivi hawa ni wafupi!...vinakuwaga na ugwadu sana shauri vinapata kwa nadra!! wee zaa warefu tuu!
Sawa bwana kidoti!...uko sahihi!Na wewe bwawa la mtera
Sawa bi ziwa tanganyikaSawa bwana kidoti!...uko sahihi!
Mie ni bahari namiliki nyangumi na papa!!! ziwa tanganyika umekosea!.....kidoti hakimiliki kitu si umaskini huo!! Bahari ni tajiri!Sawa bi ziwa tanganyika
Vaa hivyohivyoKidume mimi
Kuna mada wa wafupiIla JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu, tena utakugusa kwa namna mbaya.
Haya,leo zamu ya wafupi [emoji23][emoji23][emoji23] Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers [emoji1787]
Huyu hapa ndio Bob riskyBobrisk ndio nini?
Wewe Ina maana HIZO picha Mbili ni za mtu mmoja!?Huyu hapa ndio Bob riskyView attachment 2364884
Kwahiyo watu wafupi wavae nini, kanzu tu?Hata kama hawajajiumba mtu unatakiwa kuvaa kulingana na ulivo
Umesahau Cd ya WachaggaHii thread inarudi mara ya tatu humu...
kuna cd ya masingle Maza,,
cd ya watu wafupi...
na cd ya kitimoto
na cd ya madem wenye mit.ako...
haipi miezi mitatu bila kujirudia....
tofauti ni uletwaji tu rizim ni ile ile
Duuuh, una uzoefu sanaAf wanaume warefu asilimia kubwa wana vipenseli ya kakitu kembamba kanaelea elea tu ila hawa 5 ft kitu kinene urefu wastani,kwakweli kwa ma andunje sibanduki ata wakivaa kama jokeri.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Duuh, Mungu yupoUko sahihi Sana, havipendezi na vina gubu hatari, utadhani vina mimba changa ovyo kabisa hivyo vijitu