Hivi kwanini wanaume wafupi hawapendezi?

Hivi kwanini wanaume wafupi hawapendezi?

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
UTAKUWA NA SHIDA SANA YAKUJIKUBALI DESPITE UREFU ULIONAO INFACT UNA MAPUNGUFU MENGI MNOO NA MALEZI YAKO NI DUNI NA MABAYA
MTU MWENYE UTU NA ALIYEKARIBU NA KUKAMILIKA HAJISIFU WALA KUPONDA MADHAIFU YA WENGINE.........

WEWE NI MTU WA OVYO ULIYELELEWA NA WATU WA OVYO OVYO
PROVE ME WRONG....................NGONGOTI MMOJA WEWE!
 
Kafupii alaf ukute kana matako manene na kamechomekea uwiiii,huwa najikaza bt nacheka tukipisha , hihihiiih hata waki react hawanifikii,
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Tatizo zaidi lipo kwenye gubu, kah hivi vimtu vingi Ni hatari vinazira na visirani Ni noma,


Na inferiority complex kwa sana.

Yani akiwa ndio mume au Mpenzi mwanamke inabidi uwe makini zaidi katika kuhusiana ili kuepuka kumkwaza mara kwa mara.

Lakini msiwaseme vibaya tumuogope Mwenyezi Mungu nyie !
 
Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.

Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.

Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
We umemuona babako au basha wako kashonewa suti oversize au ya kuazima, akawa kama katuni ukaja kuanzisha uzi. Huwa wanapendeza sana hasa wanapovaa suti za size zao. Ninafahamu watu wafupi wengi sana ambao suti zinawapendeza.
 
Na inferiority complex kwa sana.

Yani akiwa ndio mume au Mpenzi mwanamke inabidi uwe makini zaidi katika kuhusiana ili kuepuka kumkwaza mara kwa mara.

Lakini msiwaseme vibaya tumuogope Mwenyezi Mungu nyie !
Vipuuzi Sana hivyo vimtu vina gubu la kijinga jinga
 
Ila JF hakuna anayebakigi salama,

Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu, tena utakugusa kwa namna mbaya.

Haya,leo zamu ya wafupi [emoji23][emoji23][emoji23] Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers [emoji1787]
Wewe ni mfupi au mrefu??
 
Mimi sio kibonge hata kimbau mbau sio

Uliza maswali yote basi,moja moja nitaanza kuona uvivu kujibu
Acha uvivu wa kujibu maswali yangu.Hujui Mimi napenda tuendelee kuchati,Sasa nikiuliza mara moja nitauliza nini tena???.
 
Back
Top Bottom