Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]my name is my nameKwa majibu hya wewe lazima utakuwa mfupi tu mana sio kwa kupanic huku  hv kwanini watu wafupi mnakuaga na hasira [emoji23][emoji23]
Huu mwandiko bila shaka ni wa mwanamke?Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Umeguswa vilivyo usiache laana bhana ni mtazamo wake.🤣🤣Mungu alivomjuzi atakujibu soon katika kizazi chako.
Hawajui kuvaa. In shortHivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.
Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Acha uongo....tafuta picha za Kevin Hart kapiga suti uoneHivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.
Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
UTAKUWA NA SHIDA SANA YAKUJIKUBALI DESPITE UREFU ULIONAO INFACT UNA MAPUNGUFU MENGI MNOO NA MALEZI YAKO NI DUNI NA MABAYAHivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.
Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
huyo jamaa kwenye picha hajui kuigiza, na kuna baadhi ya mabasi ukipanda wana clip zake tu hawana zingine, anakera hadi movie inapoisha. kwanini wasiwe wanaenda chuo cha bagamoyo?Tatizo umeweka picha ya huyo muigizaji na model wa huko uturuki ambapo weupe unambeba
Kwann usingetuwekea picha ya Nagwa Og akiwa amevaa suti maana na yeye ni MrefuView attachment 2041073
Hao wanaigiza kikomedi mkuu hakuna comedian ambae hajui kuigizahuyo jamaa kwenye picha hajui kuigiza, na kuna baadhi ya mabasi ukipanda wana clip zake tu hawana zingine, anakera hadi movie inapoisha. kwanini wasiwe wanaenda chuo cha bagamoyo?
Acha ujinga.Sasa kwa taarifa yako utaolewa na Mwanaume mfupi mnene anayependa kuvaa suti.Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.
Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Mzee mwinyi ana hela Sana!!fedha ni jawabu la mambo yote!!Ufupi ni nini na unalingasha na nini? Mbona Mzee Mwinyi pamoja na ufupi wake anapendeza? Je baba yako ni mfupi au mrefu na kwa vigezo vipi?
Ila JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu, tena utakugusa kwa namna mbaya.
Haya,leo zamu ya wafupi [emoji23][emoji23][emoji23] Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers [emoji1787]