Hivi kwanini wanaume wafupi hawapendezi?

Hivi kwanini wanaume wafupi hawapendezi?

Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.


Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Huu mwandiko bila shaka ni wa mwanamke?
 
Mbona nimewaona wanaume wengi wfupi wanavaa suti na wanapendeza sana, sana tu.
 
Aaaaa jama acha ujinga sema ww upendez kwavile auna ela au aina yasuti unazovaz
 
Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.

Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.

Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Hawajui kuvaa. In short
 
Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.

Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.

Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Acha uongo....tafuta picha za Kevin Hart kapiga suti uone
 
Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.

Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.

Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
UTAKUWA NA SHIDA SANA YAKUJIKUBALI DESPITE UREFU ULIONAO INFACT UNA MAPUNGUFU MENGI MNOO NA MALEZI YAKO NI DUNI NA MABAYA
MTU MWENYE UTU NA ALIYEKARIBU NA KUKAMILIKA HAJISIFU WALA KUPONDA MADHAIFU YA WENGINE.........

WEWE NI MTU WA OVYO ULIYELELEWA NA WATU WA OVYO OVYO
PROVE ME WRONG....................NGONGOTI MMOJA WEWE!
 
Tatizo umeweka picha ya huyo muigizaji na model wa huko uturuki ambapo weupe unambeba

Kwann usingetuwekea picha ya Nagwa Og akiwa amevaa suti maana na yeye ni Mrefu
images%20(1).jpg
 
Tatizo umeweka picha ya huyo muigizaji na model wa huko uturuki ambapo weupe unambeba

Kwann usingetuwekea picha ya Nagwa Og akiwa amevaa suti maana na yeye ni MrefuView attachment 2041073
huyo jamaa kwenye picha hajui kuigiza, na kuna baadhi ya mabasi ukipanda wana clip zake tu hawana zingine, anakera hadi movie inapoisha. kwanini wasiwe wanaenda chuo cha bagamoyo?
 
huyo jamaa kwenye picha hajui kuigiza, na kuna baadhi ya mabasi ukipanda wana clip zake tu hawana zingine, anakera hadi movie inapoisha. kwanini wasiwe wanaenda chuo cha bagamoyo?
Hao wanaigiza kikomedi mkuu hakuna comedian ambae hajui kuigiza
 
Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki.

Alafu awe mfupi halafu mnene hee ukimuona unaweza ukageuza njia kwa hofu. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.

Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo.
View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Acha ujinga.Sasa kwa taarifa yako utaolewa na Mwanaume mfupi mnene anayependa kuvaa suti.
 
Eti "utaku-touch" kwa namna mbaya[emoji38]
Ila JF hakuna anayebakigi salama,

Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu, tena utakugusa kwa namna mbaya.

Haya,leo zamu ya wafupi [emoji23][emoji23][emoji23] Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers [emoji1787]
 
Back
Top Bottom