3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Zinasema "sitaki kuvaliwa na watu wafupi 😭"Kwani suti zenyewe zinasemaje?
Tafuteni uzi wenu huu hauwahusu [emoji23][emoji23][emoji23]Hivi nasi wanaume warefu wembamba tukomenti wapi
Hizi bangi mnazovuta msiwe mnachanganya na ugoro.Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Basi sawa vuta subira kidogo, Muumba wao atakujibuHivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Dude flani hivi hata halielezeki ngoja anayejua atujuze zaidiBobrisk ndo nini?
Pole kwa ufupi mkuu[emoji1787]Tafuteni uzi wenu huu hauwahusu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilidhani Kagame ni mrefu sana baada ya kusimama na Kikwete, ila Kagame aliposimama na Obama, akawa mfupi kwa...Ufupi ni nini na unalingasha na nini? Mbona Mzee Mwinyi pamoja na ufupi wake anapendeza? Je baba yako ni mfupi au mrefu na kwa vigezo vipi?
Kama hawapendezi ni kwako na ujizungumzie peke yako, unadhani ungepata jeuri ya kuwagundua warefu kama wasingekuepo wafupiHivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Asante mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Pole kwa ufupi mkuu[emoji1787]
Unazidi futi 4 lkn?Asante mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee hii ni dhambi Kaka!Kwa sababu moyo wao uko karibu na mfuko wa mavi kwa hio kutokana na joto la oale muda wote wanakua na hasira.
Waje kina Nani? Kuna watu wanategemewa kuja?Ngoja kwanza waje halafu ntakwambia kwanini...
Kma na wewe mfupi usivae suti hupendeziTusredi twingine twa kiboya sana.
5.6 mkuuUnazidi futi 4 lkn?