Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Inategemea na aina ya nguo anayovaa mtu.Zilikua zinawapendeza ila kwa uchunguzi wangu nilioufanya ,nimegundua siku hizi hawazivai.
Shida nini wakuu?
Nguo nyingine ni nzito sana, hakuna haja ya kuvaa undersketi
Zile zinazoangaza sasa ndio huwa tunavalia na hizo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app