Hivi kwanini wanawake wa siku hizi hawavai hizi nguo?

Zilikua zinawapendeza ila kwa uchunguzi wangu nilioufanya ,nimegundua siku hizi hawazivai.
Shida nini wakuu?
Inategemea na aina ya nguo anayovaa mtu.
Nguo nyingine ni nzito sana, hakuna haja ya kuvaa undersketi

Zile zinazoangaza sasa ndio huwa tunavalia na hizo.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Wamecha kuvaa under skirt kitambo sana, siku hizi hata nguo zenyewe hawavai tena... Wanatembea uchi...
 
Labda niliona wanawake wa Geita na Songea ndio wanavaa hizo underskirts
 
pia zinabana tumbo sana unakuwa unaumwa sana. bira kuvaa taiti hata hukumbuki umevaa.
 
Kuna jamaa yang mmoja enzi hzo alikuwa akiona huo ulesi lesi wa chini anapagawa hatari hadi anaweza kumwaga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Old was very crazy...
 
Ugonjwa wangu huo nlikua nalo moja geto ukija na skin tight nakuvua nakuvisha ilo alaf ndo nakuvua

Ndo inanipa mzuka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siku hzi matiti ...matako ...tumbo..hipsi yanapigwa jeki...hiyo nguo haina ufanisi kama zile taiti wanazovaa siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…