Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Inategemea na aina ya nguo anayovaa mtu.Zilikua zinawapendeza ila kwa uchunguzi wangu nilioufanya ,nimegundua siku hizi hawazivai.
Shida nini wakuu?
Wakongwe bado tunavaa.
Imagine alafu nyeusi😅😅😅Na sijawahi ivaa sasa mimi nguo zangu ni fupi ntalivalia wap?
Ahaaa ya mama yako itakushinda, ni ndegu inalingana na sketi ya chalanga zile za wasabato.
Kho!!![emoji1787]Wakongwe bado tunavaa.
Gaguro muhimu ati🤣🤣🤣Kho!!![emoji1787]
Shimizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Gaguro muhimu ati[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zungumzia sketi fupi almaarufu kimini.Hizi zinakaaje ndani ya suruari sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa yang mmoja enzi hzo alikuwa akiona huo ulesi lesi wa chini anapagawa hatari hadi anaweza kumwaga
Huyo kwa nyakati hizo angeuona upaja angepiga hat-trick [emoji3][emoji3][emoji3]Kuna jamaa yang mmoja enzi hzo alikuwa akiona huo ulesi lesi wa chini anapagawa hatari hadi anaweza kumwaga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ugonjwa wangu huo nlikua nalo moja geto ukija na skin tight nakuvua nakuvisha ilo alaf ndo nakuvua
Ndo inanipa mzuka
Yaani unashangaa hiyoo .... Vp kuhusu kuto kufavaa chupii.... #MkuuZilikua zinawapendeza ila kwa uchunguzi wangu nilioufanya ,nimegundua siku hizi hawazivai.
Shida nini wakuu?
View attachment 2441565
Zamani zilikua zinaitwa gaguloHyo Ni under sketi mkuu inafaliwa ndani sas HV wengi wanapiga tight
Mkienda ukweni mtavaa.Yaani auntie zipo sijazifungua ipo siku tu zitavaliwa