HAKUNAMATATA
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 996
- 2,267
Wanawake wa siku hizi kwa kua na mtera dam hamjambooWanaume wa sikuhizi kwa kukimbia majukumu hamjambo
Hujakutana na kipimo chako mkuu acha hyo mtera dam tafuta size ako ilipoWanawake wa siku hizi kwa kua na mtera dam hamjamboo
Acha kusemea wenzio mkuu!Yan kama wamerogwa hivi kweli mtu uniambie nije kwako na nauli nijilipie looh,,so papuch nkuletee bure tu hiyo kitu Hamna,,wanaume nawaambia tena kila mwanamke ana chembe chembe hai za kupenda pesa hata mkeo wa ndani asikufmdanganye mwanamke yeyote kuwa hajakupendea pesa that's a big liar wanawake tumeumbwa kupenda pesa jamani msitushutumu
Mkuu mim ni mwanamke so nawajua wanawake vizuri kuliko mwanaumeAcha kusemea wenzio mkuu!
Mimi wa kwangu hana hizo tabia
Inategemeana na NTU NA NTUMkuu mim ni mwanamke so nawajua wanawake vizuri kuliko mwanaume
[emoji8] [emoji8] [emoji8] ushaliwa hapoInategemeana na NTU NA NTU
Mkuu wewe ulioawaita si ndiyo mwenye shida? Na ndiyo maana ukawaita kwako sasa kwa nini watumie nauli zao?Naombeni ufafanuzi kwa anaejua kwanini...
Haa haaa[emoji8][emoji8] [emoji8] [emoji8] ushaliwa hapo
Hahaha mtu yuko distance ya nauli buku unamwambia njoo home anataka nauli.Kiufupi ni kwamba hatukatai mwanamke lazima umtimizie majukumu ila wanawake muwe na aibu sometimes yaani kwa kua we ni mtu wangu basiii shida zako zote ziwe zangu afu zangu ziwe zangu...holly shiit...Wazamani waliishi kizamani hawakua na distance love kama sasa,,kunihudumia mahitaji ndio uwanaume huo mkuu mim lazima unigharamie kama wajibu wako
Hahahaha wooii hilo jipuHahaha mtu yuko distance ya nauli buku unamwambia njoo home anataka nauli.Kiufupi ni kwamba hatukatai mwanamke lazima umtimizie majukumu ila wanawake muwe na aibu sometimes yaani kwa kua we ni mtu wangu basiii shida zako zote ziwe zangu afu zangu ziwe zangu...holly shiit...
Wanawake wa siku hizi mwanaume akiwa dhaifu kw kila unalomwambia ndo yuko sexxy n manhood hahahaha n boldThat is how being a man is[emoji8]
Unajua sometmes unamuita labda unakuja kumpa hela au kitu chochote kizuri na kwa mtu mstaarabu na anaempenda mtu wake kweli lazima akiondoka utakadiria gharama za nauli aliyokuja nayo plus ya kurudi plus labda ya msosi na vocha n sort of...know what i mean ...!Mimi nikimuita mwanamke huwa natenga nauli yake kabisa akiondoka namkabidhi, na kama nikiona sina hicho kiasi nilichopanga kumpa simuiti au nitamuambia tu ukweli kuwa sina hela saivi kama anakuja basi ajipange mwenyewe
Na haiko hvo mkuu ila kwe majukumu ya kifedha uwajibike ndo unakua mwanaume haswaWanawake wa siku hizi mwanaume akiwa dhaifu kw kila unalomwambia ndo yuko sexxy n manhood hahahaha n bold
Wanawakee mnapendaa kua tegemezii jamaniii, ndo maana hawaolewiiiWazamani waliishi kizamani hawakua na distance love kama sasa,,kunihudumia mahitaji ndio uwanaume huo mkuu mim lazima unigharamie kama wajibu wako
Hiyo ipo mkuu lakini haiwezi kuwa wakati wote kwamba tukiitwa tutatoa nauli wenyew mda mwingi inabidi nyie mtupatieUnajua sometmes unamuita labda unakuja kumpa hela au kitu chochote kizuri na kwa mtu mstaarabu na anaempenda mtu wake kweli lazima akiondoka utakadiria gharama za nauli aliyokuja nayo plus ya kurudi plus labda ya msosi na vocha n sort of...know what i mean ...!
Tunaolewa mkuu sema tu na nyie wanaume mnapenda kujisahaulisha majukumu yenuWanawakee mnapendaa kua tegemezii jamaniii, ndo maana hawaolewiii