Mkuu ni kaushamba flani tu kanawatafuna,Sifa kuu ya msanii ni kutaka attention za watu na kuonekana tofauti na sisi watu wa kawaida.
Msanii kumiliki gari za Japan wanahisi tutawaona wa kawaida tu. Unless wanunue madude kama LC J200 ambazo bila M70 hupati.
Option pekee ni Germany kwa Audi BMW au MBenz.
Wangeenda Italy kwa wakina Ferrari Lamborghini Maselati Porsche etc ila bajeti inakaba.
BMW ni affordable kiasi ku run na maintenance.
Hahaa shem mbabaishaji.Dada etu naye anatumia gani??Kuna Mwanamuziki Mmoja aitwa Malaika,
Bwana wake anahusika na Kuagiza Magari na ndio wasanii wengi wa Bongo wanamtumia yeye kwa maana ya kwamba wanamuungisha "Shemeji" yao.
Pamoja an "Ushemeji" lakini Jamaa bei zake ziko juu sana na pia baadhi yao wamelalamika kutapeliwa nae.
BMW x3 bei yake CIF ni $ 7500. Kodi ya TRA ni 9 to 10 millions.So kama amenunua kwenye yadi hapa Dar ni sawa maana kuna hela ya aliyemuuziaNimejiuliza ila sijapata jibu.
Maana ukikutana na msanii hata kama anamiliki Passo ambayo watu wengine huwa tunauziwa milioni saba, yeye atakwambia amenunua milioni kumi na tano!
Jana nimeshangaa kumsikia MC Pili pili akijidai kuwa ameuziwa gari aina ya BMW X3 kwa zaidi ya sh milioni thelasini, wakati mimi nikipiga garama za kuagiza hiyo gari wala hata hazizidi milioni ishirini na mbili.
Yani kwa haraka haraka MC Pilipili ni kama amepigwa milioni kumi zaidi ya market price ya hiyo gari...
Hivi wasanii huwa hawajuagi ku bargain bei za magari au ni nini? Maana kila msanii akiuziwa gari, basi itakuwa ni bei ya juu kuliko wanunuzi wengine!
Ni msanii wa nyimbo za asili ndo yule alieimba ile nyimbo ya mabata madogo madogo yanaogeleaMC pili pili ndiyo nani na ni msanii wa nini?.
Mwenye nyimbo ya huyo MC
kuna toleo la 2018Yani ndio ananunua bmw x3 leo???? Yuko nyuma sana
lakwako liko wapi mkuu ? naomba kuwasilisha hoja ni hayo tu mkuu.Ukumbuke kuambatanisha risit zote,lakini na kapicha katapendezesha zaidi au vipi mkuu?Yani ndio ananunua bmw x3 leo???? Yuko nyuma sana
Huyo bwana yke na malaika ana showroom au wale wa biashara za mfukoniKuna Mwanamuziki Mmoja aitwa Malaika,
Bwana wake anahusika na Kuagiza Magari na ndio wasanii wengi wa Bongo wanamtumia yeye kwa maana ya kwamba wanamuungisha "Shemeji" yao.
Pamoja an "Ushemeji" lakini Jamaa bei zake ziko juu sana na pia baadhi yao wamelalamika kutapeliwa nae.
Kama wewe ukipata demu mpya wakati mimi nimemgonga miaka 5!Mimi hua sielewi pale ninaposikia eti msanii fulani kanunua gari JIPYA! wakati ukilitizama gari lenyewe sio jipya! Yaani mpaka magazeti huandika mfano Ali kiba/Diamond anunua ndinga mpya,ila gari ni used!!!!
Sasa sijui kusema gari "Jipya" hua wana maanisha nini?!
Wasanii wengi ni malimbukeniNimejiuliza ila sijapata jibu.
Maana ukikutana na msanii hata kama anamiliki Passo ambayo watu wengine huwa tunauziwa milioni saba, yeye atakwambia amenunua milioni kumi na tano!
Jana nimeshangaa kumsikia MC Pili pili akijidai kuwa ameuziwa gari aina ya BMW X3 kwa zaidi ya sh milioni thelasini, wakati mimi nikipiga garama za kuagiza hiyo gari wala hata hazizidi milioni ishirini na mbili.
Yani kwa haraka haraka MC Pilipili ni kama amepigwa milioni kumi zaidi ya market price ya hiyo gari...
Hivi wasanii huwa hawajuagi ku bargain bei za magari au ni nini? Maana kila msanii akiuziwa gari, basi itakuwa ni bei ya juu kuliko wanunuzi wengine!
Kama ni pilipili atakuwa ni kwa ajili ya kachumbari na chakula cha kihindi kwani wanapenda pilipili hakuna mfanoMC pili pili ndiyo nani na ni msanii wa nini?.
Mwenye nyimbo ya huyo MC
Usanii maana yake ingine ni udanganyifu
Naunga mkono hoja kwa 109%Huwa ni washamba ndio maana wanapigwa, pia sijawahi kuona mgogo mjanja.....au le mbebizzzz wakuu.
Hivi kumbe ni shina mti mkavu?Mgogo ni mgogo tu!!! Wacha apigwe tu