Hivi kwanini wasanii (mfano MC Pilipili) huuziwa magari bei juu kuliko watu wengine?

Hivi kwanini wasanii (mfano MC Pilipili) huuziwa magari bei juu kuliko watu wengine?

Kuna Mwanamuziki Mmoja aitwa Malaika,
Bwana wake anahusika na Kuagiza Magari na ndio wasanii wengi wa Bongo wanamtumia yeye kwa maana ya kwamba wanamuungisha "Shemeji" yao.

Pamoja an "Ushemeji" lakini Jamaa bei zake ziko juu sana na pia baadhi yao wamelalamika kutapeliwa nae.
 
Sifa kuu ya msanii ni kutaka attention za watu na kuonekana tofauti na sisi watu wa kawaida.

Msanii kumiliki gari za Japan wanahisi tutawaona wa kawaida tu. Unless wanunue madude kama LC J200 ambazo bila M70 hupati.

Option pekee ni Germany kwa Audi BMW au MBenz.

Wangeenda Italy kwa wakina Ferrari Lamborghini Maselati Porsche etc ila bajeti inakaba.

BMW ni affordable kiasi ku run na maintenance.
Mkuu ni kaushamba flani tu kanawatafuna,

Au ni zile za kuletewa mlangoni,bw flani nimefulia nina kigari changu hiki hapa nipe mill 10 kitakufaa wewe msanii mkubwa bwana.

Kuna Benz,Volvo,Audi,ford nk.
 
Kuna Mwanamuziki Mmoja aitwa Malaika,
Bwana wake anahusika na Kuagiza Magari na ndio wasanii wengi wa Bongo wanamtumia yeye kwa maana ya kwamba wanamuungisha "Shemeji" yao.

Pamoja an "Ushemeji" lakini Jamaa bei zake ziko juu sana na pia baadhi yao wamelalamika kutapeliwa nae.
Hahaa shem mbabaishaji.Dada etu naye anatumia gani??
 
Nimejiuliza ila sijapata jibu.
Maana ukikutana na msanii hata kama anamiliki Passo ambayo watu wengine huwa tunauziwa milioni saba, yeye atakwambia amenunua milioni kumi na tano!
Jana nimeshangaa kumsikia MC Pili pili akijidai kuwa ameuziwa gari aina ya BMW X3 kwa zaidi ya sh milioni thelasini, wakati mimi nikipiga garama za kuagiza hiyo gari wala hata hazizidi milioni ishirini na mbili.
Yani kwa haraka haraka MC Pilipili ni kama amepigwa milioni kumi zaidi ya market price ya hiyo gari...
Hivi wasanii huwa hawajuagi ku bargain bei za magari au ni nini? Maana kila msanii akiuziwa gari, basi itakuwa ni bei ya juu kuliko wanunuzi wengine!
BMW x3 bei yake CIF ni $ 7500. Kodi ya TRA ni 9 to 10 millions.So kama amenunua kwenye yadi hapa Dar ni sawa maana kuna hela ya aliyemuuzia
 
Yani ndio ananunua bmw x3 leo???? Yuko nyuma sana
lakwako liko wapi mkuu ? naomba kuwasilisha hoja ni hayo tu mkuu.Ukumbuke kuambatanisha risit zote,lakini na kapicha katapendezesha zaidi au vipi mkuu?
 
Kuna Mwanamuziki Mmoja aitwa Malaika,
Bwana wake anahusika na Kuagiza Magari na ndio wasanii wengi wa Bongo wanamtumia yeye kwa maana ya kwamba wanamuungisha "Shemeji" yao.

Pamoja an "Ushemeji" lakini Jamaa bei zake ziko juu sana na pia baadhi yao wamelalamika kutapeliwa nae.
Huyo bwana yke na malaika ana showroom au wale wa biashara za mfukoni
 
Wenzio hadi ndala wananunua elfu thelathini, shilole alinunua gauni milioni kumi,,teh


Ukweli ni kwamba wananunua bei ya kawaida tu wanasema bei kubwa ili waonekane wako kistar na wanapesa,,hawana lolote
 
Huwa waongo hao wanaropoka hili waonekane wametumia pesa ndefu.....yale yale ya ommy dimpoz eti mark x ya mwaka 2005 kanunua mil.30
 
Mimi hua sielewi pale ninaposikia eti msanii fulani kanunua gari JIPYA! wakati ukilitizama gari lenyewe sio jipya! Yaani mpaka magazeti huandika mfano Ali kiba/Diamond anunua ndinga mpya,ila gari ni used!!!!

Sasa sijui kusema gari "Jipya" hua wana maanisha nini?!
Kama wewe ukipata demu mpya wakati mimi nimemgonga miaka 5!
 
Ndo iyo gari anayo endesha msichana wake
Nicole!!?
 
Huwa ni washamba ndio maana wanapigwa, pia sijawahi kuona mgogo mjanja.....au le mbebizzzz wakuu.
 
Nimejiuliza ila sijapata jibu.
Maana ukikutana na msanii hata kama anamiliki Passo ambayo watu wengine huwa tunauziwa milioni saba, yeye atakwambia amenunua milioni kumi na tano!
Jana nimeshangaa kumsikia MC Pili pili akijidai kuwa ameuziwa gari aina ya BMW X3 kwa zaidi ya sh milioni thelasini, wakati mimi nikipiga garama za kuagiza hiyo gari wala hata hazizidi milioni ishirini na mbili.
Yani kwa haraka haraka MC Pilipili ni kama amepigwa milioni kumi zaidi ya market price ya hiyo gari...
Hivi wasanii huwa hawajuagi ku bargain bei za magari au ni nini? Maana kila msanii akiuziwa gari, basi itakuwa ni bei ya juu kuliko wanunuzi wengine!
Wasanii wengi ni malimbukeni
 
Back
Top Bottom