Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 991
Kuna Mwanamuziki Mmoja aitwa Malaika,
Bwana wake anahusika na Kuagiza Magari na ndio wasanii wengi wa Bongo wanamtumia yeye kwa maana ya kwamba wanamuungisha "Shemeji" yao.
Pamoja an "Ushemeji" lakini Jamaa bei zake ziko juu sana na pia baadhi yao wamelalamika kutapeliwa nae.
Bwana wake anahusika na Kuagiza Magari na ndio wasanii wengi wa Bongo wanamtumia yeye kwa maana ya kwamba wanamuungisha "Shemeji" yao.
Pamoja an "Ushemeji" lakini Jamaa bei zake ziko juu sana na pia baadhi yao wamelalamika kutapeliwa nae.