Hivi kwanini watu wapole wako hivi?

Hivi kwanini watu wapole wako hivi?

Wasalaam wakuu.

Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole, jinsia zote wa kike na wa kiume.

Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.

Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.

Hebu tusaidiane hapa wakuu.

Ni kweli kabisa, hata mi very selective hata sijui kwanini. Kiufupi inanichukua muda kumpenda mtu
 
Mmoja wapo mim nina ulemavu moyon wa kudumu kisa niliyofanyiwa na huyo mpole[emoji21]
Nina experience mbaya na watu wapole!

Ama kweli usione ukadhani!

Huwa wanajifanya kuwa wanaogopa kuumizwa lkn behnd the scene ni dracula!

Ushangao utakaoupata ukiyajua ya nyuma ya pazia yanaweza kuupa moyo wako ulemavu wa kudumu!

Be ware!

A word is eneogh for the wise!
 
Mmoja wapo mim nina ulemavu moyon wa kudumu kisa niliyofanyiwa na huyo mpole[emoji21]
pole sana bibie, maisha lazima yaendelee,

Huo ulemavu uwe ni ukumbusho wa kutokurudia kosa!

We are living in a crazy world!

God bless you!
 
Wasalaam wakuu.

Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole, jinsia zote wa kike na wa kiume.

Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.

Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.

Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Kwa maelezo yako yawezekana una maanisha wakimya hapa.
 
Wasalaam wakuu.

Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole, jinsia zote wa kike na wa kiume.

Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.

Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.

Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Ila kwelii wapole sioo mimi ni mpolee na mkimyaa sana. Ni mtu naweza kaa ndani siku nzimaa na nikawa happy kabisa.

Na jamii huwa inaniona kama jamaa flanii mpole sana mtu wa dini mtakatifuu.

Mtu asie kuwa na skendo za hapa na pale hasa kwa mademu. Ila behind the scene ni hatarii yanii type zote twendee, popote napitaa. Na anae jua ni mtu wa karibu best friend yangu.
 
Wanaume wengi huingia mkenge pale wanapoona mwanamke mkimya na kumuoa sasa mwanamke akishaingia ndani anaanza kutoa makucha yote nje [emoji108][emoji108]

Hakuna cha upole wala zaidi ya ukimya!
 
Nina experience mbaya na watu wapole!

Ama kweli usione ukadhani!

Huwa wanajifanya kuwa wanaogopa kuumizwa lkn behnd the scene ni dracula!

Ushangao utakaoupata ukiyajua ya nyuma ya pazia yanaweza kuupa moyo wako ulemavu wa kudumu!

Be ware!

A word is eneogh for the wise!
Mkuu mbona nyundo nzito hivi kama ya mawe vile[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanamatukio ya ajabu mnoo...unaweza bishana na malaika kwa kumtetea mtu mpole

[emoji28][emoji28]upole wao unanivutiaga ni kinyama.sipend mtu anaeongea sana[emoji85]
Alaah[emoji2]
 
Back
Top Bottom