Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Ndiyo staili yangu hiyo,mtu akiniboa huwa simuoneshi muda huo huo bali huwa namuweka kiporo siku za mbeleni nakuja kumfanyia bonge la tukio ambalo hawezi kusahau kwa zaidi ya miaka 20
Hii kitu ni mbaya sana, kuweka vinyongo sio vizuri na natumai pia huwa hujuti kufanya ubaya kwa mtu aliekukosea