Ndiyo staili yangu hiyo,mtu akiniboa huwa simuoneshi muda huo huo bali huwa namuweka kiporo siku za mbeleni nakuja kumfanyia bonge la tukio ambalo hawezi kusahau kwa zaidi ya miaka 20
Wasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole, jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Viwembe vile vya Supermax hawafai hawa watu, mambo wanayofanya na sura zao vitu tofautiNi wahuni hatari.
Nina experience mbaya na watu wapole!
Ama kweli usione ukadhani!
Huwa wanajifanya kuwa wanaogopa kuumizwa lkn behnd the scene ni dracula!
Ushangao utakaoupata ukiyajua ya nyuma ya pazia yanaweza kuupa moyo wako ulemavu wa kudumu!
Be ware!
A word is eneogh for the wise!
Hii kitu ni mbaya sana, kuweka vinyongo sio vizuri na natumai pia huwa hujuti kufanya ubaya kwa mtu aliekukosea
pole sana bibie, maisha lazima yaendelee,Mmoja wapo mim nina ulemavu moyon wa kudumu kisa niliyofanyiwa na huyo mpole[emoji21]
Kwa maelezo yako yawezekana una maanisha wakimya hapa.Wasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole, jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Ila kwelii wapole sioo mimi ni mpolee na mkimyaa sana. Ni mtu naweza kaa ndani siku nzimaa na nikawa happy kabisa.Wasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole, jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
NdioNa wewe ni kati ya hao wapole mkuu??
Ndio au hupendiOhooo 🤣🤣🤣
Naupenda wa mwamba wa ❤️ Wangu mkuNdio au hupendi
Sawa mkuuNaupenda wa mwamba wa ❤ Wangu mku
Mimi pamoja na ukimya wangu ni penda penda, yaani kila nikimuona demu mzuri lazima nimtamaniNi kweli kabisa, hata mi very selective hata sijui kwanini. Kiufupi inanichukua muda kumpenda mtu
Kwa sauti ya upoleAlieanzisha Jf moja kwa moja peponi
Mkuu mbona nyundo nzito hivi kama ya mawe vile[emoji23][emoji23][emoji23]Nina experience mbaya na watu wapole!
Ama kweli usione ukadhani!
Huwa wanajifanya kuwa wanaogopa kuumizwa lkn behnd the scene ni dracula!
Ushangao utakaoupata ukiyajua ya nyuma ya pazia yanaweza kuupa moyo wako ulemavu wa kudumu!
Be ware!
A word is eneogh for the wise!
Alaah[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanamatukio ya ajabu mnoo...unaweza bishana na malaika kwa kumtetea mtu mpole
[emoji28][emoji28]upole wao unanivutiaga ni kinyama.sipend mtu anaeongea sana[emoji85]
huwezi kuamini wala kutarajia ukipatiwa cv zao.Viwembe vile vya Supermax hawafai hawa watu, mambo wanayofanya na sura zao vitu tofauti
Usually they run in tandemMkuu, naona umechanganya wapole na wakimya...[emoji848][emoji848]