Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Unajuaje kama alikuwa anatomba kisiri siri . Pindi anasafiri safari unajua alipokuwa analala ? . Ni maisha yake yote yaliandikwa kwa kitabu bila kuruka tukio ?Yeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Bila shaka mwamba alikuwa anamla mage.Hakuoa ila alikuwa na mwanamke aliyekuwa karibu yake sana hata jamii ikamshuku kuwa huenda ni wapenzi, hata miongoni mwa wafuasi wake.
Hata baada ya kuondoka kwake yule mwanamke alisema kaachiwa maagizo na hayo maagizo yalikuwa tofauti na aliyoachiwa Petro na wanafunzi wengine.
Petro akaona mambo yasiwe mengi akaelekea.zake Roma ambapo baadae sana kukazaliwa catholic.
Ila Maria wa Magdala alipewa kipaumbele cha kipekee san na Yesu, kuanzia mwanzo hadi mwisho wa uwepo wake.
Kuna kitu tumechukua hapo wakuu wa kataa ndoa.
Yule fundi seremala alikuwa famba sana . Huwezi niambia umepata mimba sio yangu kupitia roho mtakatifu nikakuelewaAcheni upumbavu , mbona hamsemi kwa nini yeye hakuwa na Baba halafu nyinyi mpaka mzaliwe lazima tendo lifanyike kati ya Baba na Mama ?
Kwahyo mkuu unataka kusema mshkaji alikuwa mvulana?Ndoa ni kwa wanaume tuu, wavulana daima hawana uwezo wa kuvumilia hekaheka za ndoa
Trinity ni mafundisho potovu ya madhehebu ya dini....Soma kuhusu trinity mkuu
Baba yako ni baba yako na NaniMama baba yangu ni nani ?
Muhammad alikuwa genius kwa wapumbavu tu siyo kwa genius. Nikama kina mwamposa na kiboko ya wachawi koko ...ni majiniasi kwa watu wapumbavuMuhammad alioa, hakuwa genius?
Nakubali kweli Kuna watu wametajwa wake zao lkn walio wengi ni kweny agano la kale kama wakina Ayubu, ibrahimu, yakobo n.k . Ila kwenye agano jipya imekuwa tofauti kidogo maana hata wanafunzi 12 wa yesu hawaja tajwa kama walikuwa na wake zao, kwa hiyo inawezekana yesu na wanafunzi wake walikuwa na pisi zao lkn sisi hatujui maan hawakuandika na wangeandika yote bible ingekuwa na page bilion kadhaa.Mbona kuoa na kuolewa imeandikwa kwenye biblia yaani kutaja yesu kama alioa au la ndiko kuingeijaza biblia?
Huo ni uwongo mkubwa. Kumbukumbu zote zinaonesha Bwana wetu Masiha Yesu Kristo, hakuwahi kuoa wala hakuwahi kutenda dhambi yoyote. Alifanana nasi wanadamu kwa umbile lakini hakuwahi kutenda dhambi.
😁Unampambania Jesus, wakati yeye mpaka Leo hajakanushaHuo ni uwongo mkubwa. Kumbukumbu zote zinaonesha Bwana wetu Masiha Yesu Kristo, hakuwahi kuoa wala hakuwahi kutenda dhambi yoyote. Alifanana nasi wanadamu kwa umbile lakini hakuwahi kutenda dhambi.
Acha uongo bhana yani Mungu alizaliwa na mwanamke? Huyo Mungu alikuwa anakula na kwenda chooni; acheni kutupiga mchana kweupe ndugu zangu.Yeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
Kumtoa mwanao wa pekee badala ya kumuua yule adui mwovu Shetani, Ni upumbavu na unafiki.Yohana 3 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁶ Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
¹⁷ Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
¹⁸ Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
¹⁹ Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
Na weweBaba yako ni baba yako na Nani
sisi waislamu hatuitaji huo upuuzi wako, wewe utakuwa na laana ya viumbe vyote sio kwa matusi hayo. Muache Mtume wetu usimtukane sisi tunampenda sana. Kama inakuuma chukua kamba jitundikeKina FaizaFoxy baada ya kujifunza kwangu kuhusu dini zao ..siku hizi kapoteza tumaini la kuingia peponi na kupewa mabasha 70 baada ya kugundua kuwa mudi boy ni muongo .. mudi boy wala siyo mtume wa mungu wala yeye mwenyewe alikuwa ajui utume ni kitu gani... waislamu niombeni kwa kububujikwa na machozi nizidi kuwafunulieni upumbavu uliopo ndani ya hizo dini zenu za ukristo na uislamu...mtakuja kunishukuru sana
Onyesha tusi ...ukiona wakina FaizaFoxy wamenyamaza ujue wanajua kuna kitu... Nakuona unakuja kichwa kichwa kuuaibisha uislamu wako bora ungekaa kimya .....nakuuliza swali moja tu nijibu ...Je Muhammad alikuwa KAFIRI AU LA nipe jibu?sisi waislamu hatuitaji huo upuuzi wako, wewe utakuwa na laana ya viumbe vyote sio kwa matusi hayo. Muache Mtume wetu usimtukane sisi tunampenda sana. Kama inakuuma chukua kamba jitundike
Usipende kuamini tu umepewa akili jaribu kudadisi mambo..Unachagua unachotaka kuamini, na unachoamini kinabeba uzito gani.. Lakini katika maisha ya ukristo tunafata muongozo wa biblia kujua ni ni ni kweli nini si kweli.. Kwenye biblia hakuna mahali inaonyesha Yesu alioa labda ipo ila mimi sijaisoma.. Sasa kwa ni ni nikubali kitu ambacho hakipo kwenye neno la Mungu
Ni Mungu au alikuja kufanya kazi ya Mungu???!!!Yeye ni Mungu alikuja kuifanya kazi ya Mungu, hakuja duniani kuoa Bali kuokoa roho zilizopotea
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yule fundi seremala alikuwa famba sana . Huwezi niambia umepata mimba sio yangu kupitia roho mtakatifu nikakuelewa
AiseeYesu alikua masikini hana chakula hana pakulala mzururaji tu
Inafikirisha.Kumtoa mwanao wa pekee badala ya kumuua yule adui mwovu Shetani, Ni upumbavu na unafiki.
Huyo Mungu kama aliupenda Ulimwengu, Angemuua shetani.
Huyo Mungu kama anaupenda ulimwengu, Amuue Shetani.
Kumuua mwanao wa pekee badala ya kumuua huyo muovu shetani muhusika mwenyewe. Ni unafiki, ujinga na upumbavu.