soma hiiDrake anapiga hela youtube[emoji23][emoji23][emoji23] au unazani drake ni millard ayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Si amesha toa na Singo inaitwa Hunikomoi haya ngoja tuone......Harmonize huu mwaka hamalizi. muda wake wa kutamba kamati ya husda walishauhesabu.
Jibu zuri lenye kuelewekakwa sababu ni mbaya na hana funs wengi ukimlinganisha na konde boy
Hapa drake amezungumzia jinsi ambavyo watu wamekuwa wakipromote video kwenye social media bila wao kujijua ila hajaspecify ni social media ipi.soma hii
Kwa uelewa wa wengi followers/subscribers ndio kiwakilishi cha fanbase. Kondeboy ana 4.8m insta na1.47 you tube. Ndani ya wiki moja, 1m hawajaangalia ngoma zake!!! Tukubaliane tu fanbase ya Kondeboy mitandaoni bado ni ndogo!!!
nikikwambia anapiga pesa kutokana na social network, we unafikiri ni malipo anayolipwa kutoka huko au pia kupromote single au album?Hapa drake amezungumzia jinsi ambavyo watu wamekuwa wakipromote video kwenye social media bila wao kujijua ila hajaspecify ni social media ipi.
Swali je ukifananisha mauzo yaliyopatika kwenye itune au sportfy yanafanana na yale aliyo yapata kwenye youtube?
Nadhani jibu utakuwa umelipata na kama hujalipata sema nikuletee taarifa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka kusema youtube ndio sehemu ambayo scorpion ilifanyiwa promotion?nikikwambia anapiga pesa kutokana na social network, we unafikiri ni malipo anayolipwa kutoka huko au pia kupromote single au album?
tuanzie hapa kwanza
Naunga mkono hoja. Kuna nyimbo nyingi sana ndani na nje ya Tz ambazo zimebamba kiafrica hadi dunia, ambazo mtaani zinapigwa yani Hit song
ila ukiingia Youtube viewers 500k
kama Wimbo wa burna boy anybody una viewers milioni 21 kwa miezi7 umehit worldwide na hauchoshi viewers wakawaida sana kwa ukubwa wa hio ngoma.
sidhani kama viewers wana mata sana labda kwenye hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumtakie heri. Ila Kondeboy sidhani kama anashauriwa vizuri kwenye kutoa ngoma.
Naunga mkono hoja. Kuna nyimbo nyingi sana ndani na nje ya Tz ambazo zimebamba kiafrica hadi dunia, ambazo mtaani zinapigwa yani Hit song
ila ukiingia Youtube viewers 500k
kama Wimbo wa burna boy anybody una viewers milioni 21 kwa miezi7 umehit worldwide na hauchoshi viewers wakawaida sana kwa ukubwa wa hio ngoma.
sidhani kama viewers wana mata sana labda kwenye hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi wanafanya boosting na hii ni mipango ya kuhalibu upepo upande wa pili ndo mana Inakuwa hivyo rayvan hajawahi kufikisha viewers 1M kwa siku tatu
Mapema sana kuongea hivyo,acheni MUDA MENYEWE UTAONGEA.
Yeye hapendi kiki kama DiamondThis is not fair kwa kweli kuna mahala anakosea....View attachment 1356242View attachment 1356243
pumbaYeye hapendi kiki kama Diamond
Ina faida kwenye brandingIdadi ya views kwenye wimbo haina faida sana. YouTube haiwapi hela nyingi sana wasanii wa Tanzania ukifananisha na wasanii wengine wa kimataifa. Kuna sababu nyingi sana:
- Idadi ya views/viewers. Nyimbo nyingi za TZ zina views wengi ila viewers (device) ni walewale.
- Region. Nyimbo nyingi za TZ viewers wake wengi ni local. Yaani from TZ tu. Kwahiyo Youtube yale matangazo yao (ambao yanawapa hela YouTube wenyewe) unakuta hayawafikii walengwa kwahiyo kiwango atakacholipwa Konde Boy kwa Viewers Mil 1 ni tofauti na Beyonce kwa viewers Hao hao Mil 1.
- Wabongo wengi lile tangazo la mwanzo likiplay kabla ya wimbo uwa tuna SKIP. Hapo hatumpi support msanii bila kujijua.
- Wengi pia hatu subscribe kwenye channel zao za YouTube..
nafikiri niwataje kabisa mkuu hans mtanashati, innocent dependent ,(juma lukole) bila kumsahau JosephTanzania imejaa malimbukeni.
Siku hizi ubora wa nyimbo eti unapimwa kwa YouTube Views !
Ndio maana Diamond siku hizi kaacha Muziki, anafanya YouTubing na kuuza Drama.
Kaangalie Nyimbo zifuatazo:
1. Billie Eilish ( Huyu Kazoa Tuzo 5 Za Grammy 2020 ) na hana views 800M au bilions kama wenzake.
2. Lizzo ( Kachukua Grammy 3 )
Tatizo Tanzania Kuna Ujinga Umekuwa Mwingi kutoka kwa vitoto vilivyo radicalised na Instagram
Ni Kama Tumerogwa Siyo Bure.
Siku hizi hata nyimbo nzuri hazipati nafasi kabisa Kwasababu Ya Ujinga Wa Watu Wachache.
Ndio maana mpaka kina Young Killer nao wameanza kuwaomba collabo kina Gigy Money ili watrend wapate 1M Views.
Good Music Compromised
Lisha kuku wakopumba
Buuuu u wish satan......Harmonize huu mwaka hamalizi. muda wake wa kutamba kamati ya husda walishauhesabu.
Kwakila kitu angalia despacito dogo okNaunga mkono hoja. Kuna nyimbo nyingi sana ndani na nje ya Tz ambazo zimebamba kiafrica hadi dunia, ambazo mtaani zinapigwa yani Hit song
ila ukiingia Youtube viewers 500k
kama Wimbo wa burna boy anybody una viewers milioni 21 kwa miezi7 umehit worldwide na hauchoshi viewers wakawaida sana kwa ukubwa wa hio ngoma.
sidhani kama viewers wana mata sana labda kwenye hela
Sent using Jamii Forums mobile app