Hivi kweli Harmonize ndio wa kutafuta views milioni 1 kwa siku 5?

Hivi kweli Harmonize ndio wa kutafuta views milioni 1 kwa siku 5?

Attachments

  • Screenshot_2020-02-14-12-04-42.png
    Screenshot_2020-02-14-12-04-42.png
    205.8 KB · Views: 1
Hapa drake amezungumzia jinsi ambavyo watu wamekuwa wakipromote video kwenye social media bila wao kujijua ila hajaspecify ni social media ipi.

Swali je ukifananisha mauzo yaliyopatika kwenye itune au sportfy yanafanana na yale aliyo yapata kwenye youtube?

Nadhani jibu utakuwa umelipata na kama hujalipata sema nikuletee taarifa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uelewa wa wengi followers/subscribers ndio kiwakilishi cha fanbase. Kondeboy ana 4.8m insta na1.47 you tube. Ndani ya wiki moja, 1m hawajaangalia ngoma zake!!! Tukubaliane tu fanbase ya Kondeboy mitandaoni bado ni ndogo!!!

Katika followers ambao sijawahi waelewa ni wa Instagram. Kwanza account nyingi ni dominant, sio active, zilizo active unakuta ni multi-user yaani mtu mmoja ana account zaidi ya 5 na zote kamfollow Konde.

Ndio maana unakuta Msanii ana followers Mil 6+ lakini hakuna ata video/pic ambayo amewahi post ikafikisha Likes Laki 5.

Pia kwenye YouTube uko ndio kituko. Watu video wanatumiana WhatsApp, mchezo umeisha, hawaangalii sana Online.
 
Hapa drake amezungumzia jinsi ambavyo watu wamekuwa wakipromote video kwenye social media bila wao kujijua ila hajaspecify ni social media ipi.

Swali je ukifananisha mauzo yaliyopatika kwenye itune au sportfy yanafanana na yale aliyo yapata kwenye youtube?

Nadhani jibu utakuwa umelipata na kama hujalipata sema nikuletee taarifa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
nikikwambia anapiga pesa kutokana na social network, we unafikiri ni malipo anayolipwa kutoka huko au pia kupromote single au album?

tuanzie hapa kwanza
 
Idadi ya views kwenye wimbo haina faida sana. YouTube haiwapi hela nyingi sana wasanii wa Tanzania ukifananisha na wasanii wengine wa kimataifa. Kuna sababu nyingi sana:
  1. Idadi ya views/viewers. Nyimbo nyingi za TZ zina views wengi ila viewers (device) ni walewale.
  2. Region. Nyimbo nyingi za TZ viewers wake wengi ni local. Yaani from TZ tu. Kwahiyo Youtube yale matangazo yao (ambao yanawapa hela YouTube wenyewe) unakuta hayawafikii walengwa kwahiyo kiwango atakacholipwa Konde Boy kwa Viewers Mil 1 ni tofauti na Beyonce kwa viewers Hao hao Mil 1.
  3. Wabongo wengi lile tangazo la mwanzo likiplay kabla ya wimbo uwa tuna SKIP. Hapo hatumpi support msanii bila kujijua.
  4. Wengi pia hatu subscribe kwenye channel zao za YouTube..
 
Naunga mkono hoja. Kuna nyimbo nyingi sana ndani na nje ya Tz ambazo zimebamba kiafrica hadi dunia, ambazo mtaani zinapigwa yani Hit song
ila ukiingia Youtube viewers 500k
kama Wimbo wa burna boy anybody una viewers milioni 21 kwa miezi7 umehit worldwide na hauchoshi viewers wakawaida sana kwa ukubwa wa hio ngoma.
sidhani kama viewers wana mata sana labda kwenye hela

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi na yeye atatoboa kama burna
Tuwape moyo wasanii wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumtakie heri. Ila Kondeboy sidhani kama anashauriwa vizuri kwenye kutoa ngoma.
Huwezi kutoa mingoma kila siku hadi watu wamasahau hata majina yake achilia mbali kuimba lyrics!!!
 
Umeongea sahihi
Naunga mkono hoja. Kuna nyimbo nyingi sana ndani na nje ya Tz ambazo zimebamba kiafrica hadi dunia, ambazo mtaani zinapigwa yani Hit song
ila ukiingia Youtube viewers 500k
kama Wimbo wa burna boy anybody una viewers milioni 21 kwa miezi7 umehit worldwide na hauchoshi viewers wakawaida sana kwa ukubwa wa hio ngoma.
sidhani kama viewers wana mata sana labda kwenye hela

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idadi ya views kwenye wimbo haina faida sana. YouTube haiwapi hela nyingi sana wasanii wa Tanzania ukifananisha na wasanii wengine wa kimataifa. Kuna sababu nyingi sana:
  1. Idadi ya views/viewers. Nyimbo nyingi za TZ zina views wengi ila viewers (device) ni walewale.
  2. Region. Nyimbo nyingi za TZ viewers wake wengi ni local. Yaani from TZ tu. Kwahiyo Youtube yale matangazo yao (ambao yanawapa hela YouTube wenyewe) unakuta hayawafikii walengwa kwahiyo kiwango atakacholipwa Konde Boy kwa Viewers Mil 1 ni tofauti na Beyonce kwa viewers Hao hao Mil 1.
  3. Wabongo wengi lile tangazo la mwanzo likiplay kabla ya wimbo uwa tuna SKIP. Hapo hatumpi support msanii bila kujijua.
  4. Wengi pia hatu subscribe kwenye channel zao za YouTube..
Ina faida kwenye branding
 
Tanzania imejaa malimbukeni.

Siku hizi ubora wa nyimbo eti unapimwa kwa YouTube Views !

Ndio maana Diamond siku hizi kaacha Muziki, anafanya YouTubing na kuuza Drama.

Kaangalie Nyimbo zifuatazo:

1. Billie Eilish ( Huyu Kazoa Tuzo 5 Za Grammy 2020 ) na hana views 800M au bilions kama wenzake.

2. Lizzo ( Kachukua Grammy 3 )

Tatizo Tanzania Kuna Ujinga Umekuwa Mwingi kutoka kwa vitoto vilivyo radicalised na Instagram

Ni Kama Tumerogwa Siyo Bure.

Siku hizi hata nyimbo nzuri hazipati nafasi kabisa Kwasababu Ya Ujinga Wa Watu Wachache.

Ndio maana mpaka kina Young Killer nao wameanza kuwaomba collabo kina Gigy Money ili watrend wapate 1M Views.

Good Music Compromised
nafikiri niwataje kabisa mkuu hans mtanashati, innocent dependent ,(juma lukole) bila kumsahau Joseph
 
Naunga mkono hoja. Kuna nyimbo nyingi sana ndani na nje ya Tz ambazo zimebamba kiafrica hadi dunia, ambazo mtaani zinapigwa yani Hit song
ila ukiingia Youtube viewers 500k
kama Wimbo wa burna boy anybody una viewers milioni 21 kwa miezi7 umehit worldwide na hauchoshi viewers wakawaida sana kwa ukubwa wa hio ngoma.
sidhani kama viewers wana mata sana labda kwenye hela

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakila kitu angalia despacito dogo ok

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom