lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
Power is not permanent.
Machina anafuata Kwa mbali in terms of per Capita ila Kwenye GDP anamkaribia. Ukweli mchungu USA ataendelea kutuburuza miaka mingi ijayo labda utokee muujiza wa Mungu.
View attachment 2223364
Mkuu umesahau USSR.Nikukubushe kidogo tu.
Ilikuwa Misiri na civilization ya kutosha, badae akaja muashuru akafata Mbabeloni Tena akaja umedi na uajemi, then Mambo yakarudi ulaya ambabo Ugiriki ilitamba chini ya Alexander the great na badae Roma chini ya mpompei, Mambo yalirudi mashariki ya Kati katika enzi za Ottoman empire. Mkuu ulaya iliendelea Tena hapo mara Uk, mara Ujerumanu chini ya Hitler na mambo yakarudi USA miaka ya 1900s. History never stop, the power will continue to shift from one country to another and from one continent to another. Don't worry mabadiliko huwa pole pole lakini huwa linajitokeza Jambo moja tu ndani ya one year na kila kitu kinabadilikika kabisa.
Huyu jamaa anpotosha anashau kuhusu utawala wa Trump ulivoikalia kooni china vikwazo vya kutosha Mwisho wa siku vikawaumiza wafanyabiashara wa marekani na kuanza kulia lia wao[emoji1] Biden nae kasema china akiisadia urusi atakutana na rungu la vikwazo .alafu mtu anakuambia china Hana madhara kwa U.S.AAngekuwa amemwachia kama unavyo taka kutudanganya hapa,iweje kila Utawala ukiingia wanaikomalia China na vikwazo vya kiuchumi.
Hilo nimeliandika wapi?Kwa hiyo hizo Kampuni za USA zilizo China zikizalisha bidhaa na zikaenda kuuzwa zinaandikwa zimetokea USA.
Rudia kusoma nilichoandika.Unafahamu ni wachina wangapi wamewekeza marekani?[emoji848] Je ni sahihi kusema uchumi wa China ni jumla uchumi unaopatikana china mainland na marekani ?[emoji848]
Umesema marekani anaimiliki china kupitia makampuni yake yaliyopo china na Mimi nikakuuliza je ni sahihi kusema china anaimiliki marekani kutokana na wachina wengi kumiliki mahekali ya ardhi U.S.A na pia kupitia uwekezaji wa matajiri wakichina waliowekeza U.S.A ?[emoji848]Hilo nimeliandika wapi?
Kwa vile umetumia takwimu za GDP kufanya comparison, na ukatumia kigezo hicho kudhania USA hawezi kupita,basi kupitia hicho hicho kigezo cha GDP nakuhakikishie after 20-30 years China atampiku USA kiuchumi ni swala la muda.
Machina anafuata Kwa mbali in terms of per Capita ila Kwenye GDP anamkaribia. Ukweli mchungu USA ataendelea kutuburuza miaka mingi ijayo labda utokee muujiza wa Mungu.
View attachment 2223364
Kwa hio uchumi wa China ni uchumi wa marekani na je nikisema uchumi wa marekani pia ni uchumi wa China nitakuwasahihi?Rudia kusoma nilichoandika.
?[emoji848]Marekani anaimiliki China yenyewe. Kapeleka makampuni yake kule halafu kawaleta huku wanunue bond zake.
Ukiona China ujue huyo ni mmarekani. Kwahiyo jumla ya uchumi wa marekani ni kujumlisha na huo wa China.
?[emoji848]CIA wanaangalia mbali sana sana. Mataifa yote yanayojipambanua kwamba hawaipendi marekani wananunua bidhaa zake kutokea china.
Marekani anaimiliki China yenyewe. Kapeleka makampuni yake kule halafu kawaleta huku wanunue bond zake.
Ukiona China ujue huyo ni mmarekani. Kwahiyo jumla ya uchumi wa marekani ni kujumlisha na huo wa China.
[emoji106]Kwa vile umetumia takwimu za GDP kufanya comparison, na ukatumia kigezo hicho kudhania USA hawezi kupita,basi kupitia hicho hicho kigezo cha GDP nakuhakikishie after 20-30 years China atampiku USA kiuchumi ni swala la muda.
Miaka 30 iliyopita (1990),uchumi wa USA ulikuwa USD 5.9 trillion-huku Leo hii mwaka (2022) upo 22 Trillion sawa na ukuaji wa 269%.
Kwa miaka 30 (1990) China alikiwa ba GDP ya USD 360 Billion, Leo hii (2022) China na GDP ya 17.5 trillion sawa na ongezeko la 4762%.
Nakuachia homework, tumia ajili yako hapo ya kawaida kabisa,after 20-30 years to come nani atakuwa na uchumi mkubwa?
Usidhani viongozi wa USA ni wajinga kila siku kumpiga vikumbo China na vikwazo vya biashara,wanajua kinachoenda kutoka baada ya miaka kadhaa.
BashiteMleta mada hivi unajua kuna watu waliamini jiwe hawezi kufa?
punguza msongo wamawazoKama dolla yake imepigwa chini basi ujue hata uchumi wake utapigwa chin fast tu
Bonge moja la akiliCIA wanaangalia mbali sana sana. Mataifa yote yanayojipambanua kwamba hawaipendi marekani wananunua bidhaa zake kutokea china.
Nikukubushe kidogo tu.
Ilikuwa Misiri na civilization ya kutosha, badae akaja muashuru akafata Mbabeloni Tena akaja umedi na uajemi, then Mambo yakarudi ulaya ambabo Ugiriki ilitamba chini ya Alexander the great na badae Roma chini ya mpompei, Mambo yalirudi mashariki ya Kati katika enzi za Ottoman empire. Mkuu ulaya iliendelea Tena hapo mara Uk, mara Ujerumanu chini ya Hitler na mambo yakarudi USA miaka ya 1900s. History never stop, the power will continue to shift from one country to another and from one continent to another. Don't worry mabadiliko huwa pole pole lakini huwa linajitokeza Jambo moja tu ndani ya one year na kila kitu kinabadilikika kabisa.
hayo mengine hayakutawala dunia bali yalitawala sehemu kadhaa za ulimwengu , kwasasa hata Mchina akisikia jina USA anaweweseka , hata huyo Mrusi , yaan USA anaogopeka dunian kote , hao wakina Ottoman hawatawala hata nusu ya duniaAsante kwa kutema facts vijana wanadhani kuwa U.S.A ndio taifa la kwanza kuwa taifa lenye nguvu duniani kumbe yamepita mengi tu na yatakuja mengi tu .uyo U.S.A mwenyewe kapigwa gap na mchina kwenye Mambo kadhaa yamebaki Mambo machache mchina amovertake mmarekani especially kwenye uchumi na ushawishi
Huyu ni pure comedian,mkute kule kwa Uzi wa Live utacheka comments zakeUkisikia utahira ndo huu
Unafahamu namna utawala wa roma ulivyokuwa unaogopeka unajua ni wakinani walitoa amri ya masihi[kuuwawa] wakati alikuwa si mroma, unafahamu utawala wa kigiriki , unafahamu Ujerumani lishikiria maeneo kiasia gani , alafu ni ajabu kusema china au urusi akiisika marekani anatetemeka .washindwe kutetemeka Vietnam, Afghanistan,Somalia,Iran,Cuba,Korea kaskazini waje watetemeke magiant China na Russia[emoji1]hayo mengine hayakutawala dunia bali yalitawala sehemu kadhaa za ulimwengu , kwasasa hata Mchina akisikia jina USA anaweweseka , hata huyo Mrusi , yaan USA anaogopeka dunian kote , hao wakina Ottoman hawatawala hata nusu ya dunia
Swali zuri[emoji106]Sawa lakini nina swali fikirishi kidogo, hizi tawala zilizoanguka iliodumu muda mrefu ni ipi? Na je hawa jamaa wao hawalijui hili kweli?