antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Mkuu,Uongo mkubwa sana huu na matangopori ya vijiweni tu, unahitaji kuwa kichwa panzi sana kuamini ujuha na propaganda kama hii.
Don't argue with a FOOL or else he'll drag you down to his level..
Utafiti hupingwa kwa utafiti, ila pimbi kama hilo haliwezi kukuwekea hapa data za kiutafiti. Linakuja tu na uongo wa kupika kutoka kichwani kwake. Ukimuomba rejea (reference) ya andiko lake hana!