Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina taaluma na wala uzoefu wa haya mambo lakini sichukulii poa kama ilivyo kwako kwani ninapotoka kwa tabibu huwa sioni sehemu yoyote anapoandika 2x3 ila hilo huwa ninalikuta kwa mgawa dawa huyo unaye dharau taaluma yake.Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili
Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Kama watu wamavyo mu underate MTU anaesomea food science au human nutrition, (huku mtaani wanaitwa mama ntilie)
ODaah miaka 4 kugawa panadol nomaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ODaah miaka 4 kugawa panadol nomaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah miaka 4 kugawa panadol nomaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anakuandikiaje dawa Fulani, wakati mtaalam wa hayo madawa yupo?S
Sina taaluma na wala uzoefu wa haya mambo lkn sichukulii poa km ilivyo kwako kwani ninapotoka kwa tabibu huwa sioni sehemu yoyote anapoandika 2x3 ila hilo huwa ninalikuta kwa mgawa dawa huyo unaye dharau taaluma yake.
Sasa mleta mada ulitakaje?Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili
Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.
Daah miaka 4 kugawa panadol nomaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe umeona nimeandika jina la dawa hapo?Anakuandikiaje dawa Fulani, wakati mtaalam wa hayo madawa yupo?
Sasa mleta mada ulitakaje?
Ulitaka mfamasia apewe majukumu ya Daktari au Daktari anyang'anywe majukumu yake?
Unailaumu tu serikali, lakini hilo suala ni jambo la kiulimwengu
Yani nachomanisha hata Daktari kusema dawa flani sio sawa,Ni kazi ya mfamasiaWewe umeona nimeandika jina la dawa hapo?
Mimi nimesema 2x3.
Hapo sawa.Yani nachomanisha hata Daktari kusema dawa flani sio sawa,Ni kazi ya mfamasia
Na Laboratory wanafanya nini?Mfamasia unataka atibu anajua kudiagnose?
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kujua sayansi ya dawa (Taaluma ya ufamasia) na sayansi ya kutibu (taaluma ya utabibu).Anakuandikiaje dawa Fulani, wakati mtaalam wa hayo madawa yupo?
Umetisha Sana,Very interesting topic.
Lazima kuwe na connection kati ya mfamasia na tabibu. Ili wakutane mahali ni lazima kuna masomo wanasoma yanayowakutanisha mahali. At the end, wote lazima wajue kufanya diagnosis(mfamasia kwa kiwango kidogo na tabibu kwa kiwango kikubwa), wote lazima wajue kufanya prescription (mfamasia kwa kiwango kikubwa na tabibu kwa kiwango fulani).
Uliwahi kuona nchi gani hili? Mfamasia anaweza kukupa Dawa tofauti na aliyokuandikia daktari kama mbadala, mfano hata wewe unajuwa mtu akihitaji coca cola kama huna utampa Pepsi, Wafamasia wanajuwa vizuri Equivalent.Yani nachomanisha hata Daktari kusema dawa flani sio sawa,Ni kazi ya mfamasia
Exactly, anayefanya kwenye viwanda na yule wa hospital wanakuwa na majukumu tofauti.Ukifanyakazi kwenye viwanda vya kutengeneza dawa majukumu ya Pharmacist yanakuwa tofauti na anayefanyia hospital kwahyo issue hapo ni sehemu ya kazi