bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
- Thread starter
- #41
Hizi taaluma ziheshimiweExactly, anayefanya kwenye viwanda na yule wa hospital wanakuwa na majukumu tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi taaluma ziheshimiweExactly, anayefanya kwenye viwanda na yule wa hospital wanakuwa na majukumu tofauti.
Hapa unamaanisha mfamasia kuwa kwenye lab au lab tech kazi yake nini? Sijaelewa swali...Na Laboratory wanafanya nini?
Tanzania wengi wanakufa kwa style hiyo, kuna ndugu yetu ni marehemu kuna hospitali kubwa tu alikuwa anatibiwa, immunity zake zikawa zinashuka baadaye tulimpeleka Acha Khan akalazwa pale, kwenye Doctors discussion wakagunduwa Dawa alizokuwa anapewa ndio zinashusha immunity, walipombadirishia Dawa hali yake ikawa inaimarika.Umetisha Sana,
Kuna siku nimeingia morning report wilaya ya ilala, MD na Clinical officers wakaanza kubishana kwa kumpa mgonjwa wrong dose.., mwisho kabisa
Mfamasia akaongea kwamba mgonjwa alitakiwa kupewa dose flani kwa kiwango flani, na sio Kama madaktari walivyoandika apewe.
Ukiwa nje huwezi kuelewa na ni rahisi kufanya judgement. Tuheshimu taaluma za watu.Hizi taaluma ziheshimiwe
Sio kweli.Hata pharmacist anasoma diagnosis first year na second year
Mfamasia kujua kufanya dianosis au kufanya prescription hiyo ni by interest or for fun tu, hawajibiki kwa hilo kwa mujibu wa taaluma yake. Hilo ni jukumu kamili la Daktari.Very interesting topic.
Lazima kuwe na connection kati ya mfamasia na tabibu. Ili wakutane mahali ni lazima kuna masomo wanasoma yanayowakutanisha mahali. At the end, wote lazima wajue kufanya diagnosis(mfamasia kwa kiwango kidogo na tabibu kwa kiwango kikubwa), wote lazima wajue kufanya prescription (mfamasia kwa kiwango kikubwa na tabibu kwa kiwango fulani).
Kingine hakuna Kurugenzi ya Famasi kule Wizarani inayohusiana na kada hii ...
Kiufupi hii kada imewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wizarani ..
Hawajui kazi za wafamasia ni zipi...
Unakuta Zahanati sehemu ya dawa amekaa nurse ...ndie anatoa dawa ..
Kuna vitu vingi sana vya kubadilisha hii kada
Ila Bongo kuna Wafamasia wanawazidi madaktari.Exactly, anayefanya kwenye viwanda na yule wa hospital wanakuwa na majukumu tofauti.
Sio kweli kwamba hilo ndilo tatizo.Kingine hakuna Kurugenzi ya Famasi kule Wizarani inayohusiana na kada hii ...
Kiufupi hii kada imewekwa chini ya uangalizi wa madaktari wizarani ..
Hawajui kazi za wafamasia ni zipi...
Unakuta Zahanati sehemu ya dawa amekaa nurse ...ndie anatoa dawa ..
Kuna vitu vingi sana vya kubadilisha hii kada
Vitu vya namna hii wangekuja waliosoma hizi course watoe maelezo yaliyoshiba zaidi.Umetisha Sana,
Kuna siku nimeingia morning report wilaya ya ilala, MD na Clinical officers wakaanza kubishana kwa kumpa mgonjwa wrong dose.., mwisho kabisa
Mfamasia akaongea kwamba mgonjwa alitakiwa kupewa dose flani kwa kiwango flani, na sio Kama madaktari walivyoandika apewe.
Dawa za magonjwa yote zipo kwenye Pharmacopia. Daktari anasoma tu baada ya ku diagnoseMedical officer anajua dawa?
Sasa mleta mada ulitakaje?
Ulitaka mfamasia apewe majukumu ya Daktari au Daktari anyang'anywe majukumu yake?
Unailaumu tu serikali, lakini hilo suala ni jambo la kiulimwengu
Japo sheria haimruhusu kufanya matibabu, au nakosea?Ila Bongo kuna Wafamasia wanawazidi madaktari.
Yupo mmoja namfahamu ana famasi yake na laboratory hapo na anatibu wagonjwa hasa wanawake na Watoto, hilo Nyomi lake si la kitoto, anapiga sana pesa.
Jamaa anajuwa Dawa nadhani ndio siri ya mafanikio yake.
Kweli mkuuKitu nilichojifunza kwenye career life ni kuwa ni rahisi kuichuikulia poa field ya mwenzio kwa sababu ya mtazamo wa nje kama outsider, Ila ukipata bahati ya kuielewa au kuifanya hata kwa siku tu. Utabadili mtazamo wako
Yaani hio pharmacotherapy ndo unataka kuifananisha na mtu anayesoma na kupitia both junior na senior rotation za Major Departments (IM,OG,GS&Paed) kwenye kufanya diagnosis..??Hata pharmacist anasoma diagnosis first year na second year
Tueleze wewe kazi ya mfamasia. Na kule MSD wafanyekazi watu gani?Ulimwengu mzima kazi ya mfamasia ni kugawa dawa?
Akili kisoda, dunia nzima unajua Panadol tuu.Daah miaka 4 kugawa panadol nomaa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtoto Bibi yako ,komaYaani hio pharmacotherapy ndo unataka kuifananisha na mtu anayesoma na kupitia both junior na senior rotation za Major Departments (IM,OG,GS&Paed) kwenye kufanya diagnosis..??
Watoto wa intern mnakuwaga na akili za kipumbavu sana.
Wanagawa tu mbona huku mitaani?Unafikiri Dawa ni chapati kila mtu agawe tu?