Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy miaka 4 kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili

Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy miaka 4 kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebisheni hili

Hii ni obvious chai kabisa. Hakuna pharmacist anaweza kutibu zaidi ya Medical Officer, this is very wrong. Wanaweza wakawa na uelewa sahihi na wa kushahibiana kwenye prescription za dawa ila kwenye kutibu (taking hx, knowing what right investigation to do and formulating right diagnosis) Medical Officer knows and can do a lot compared to hao watu wa dawa. Na hii, hiko wazi wala haina uhitaji wa ubishi. Na get to know this, kisheria huyo mtu wako wa dawa haruhusiwi kufanya hayo anayoyafanya hapo kwenye maelezo yako.
Bangi siyo nzuri, wapi nimesema anaruhusiwa?

Uliza Muhimbili kuna kichwa kinaitwa Dr Kabote MD ni surgeon mzuri sana, kwenye huo mtaa alichukuliwa na dispensary moja kufanya consultation akitoka Muhimbili alikosa wagonjwa na anawaona kwa jamaa Nyomi linamsubiri mfamasia afike SAA 12 jioni kwenye pharmacy yake aanze kuhudumia wateja na yeye MD mzima hana mgonjwa amekaa tu barazani.

Tatizo la watu wajinga unadhani kila mtu yuko mtandaoni kuandika ujinga wakati hapa tunashare experience.

Mimi hapa nilipo nipo camp na first aid box Mimi ndio Mfamasia wao, Wa kumpa Flamar najuwa, wa kumpa ibufen najuwa and likes, nidanganye ili nifaidike nini?

Jinga kabisa.
 
Very interesting topic.
Lazima kuwe na connection kati ya mfamasia na tabibu. Ili wakutane mahali ni lazima kuna masomo wanasoma yanayowakutanisha mahali. At the end, wote lazima wajue kufanya diagnosis(mfamasia kwa kiwango kidogo na tabibu kwa kiwango kikubwa), wote lazima wajue kufanya prescription (mfamasia kwa kiwango kikubwa na tabibu kwa kiwango fulani).
Umeusemea vyema mjadala:

1: Kila mmoja ni muhimu kwa mwenzake.

2: Kila mmoja amesoma masomo ya mwenzake ila akijielekeza zaidi kwenye sehemu yake.

3: Wote wanakutana katikati katika kumhudumia mgonjwa.

4: Kazi ya mfamasia si kugawa dawa tu kama watu wanavyowatizama. Wafamasia ni sehemu ya drug molecules development/ugunduzi wa dawa.

5: Wafamasia ni watu wanaotakiwa kufanya compounding of molecules/kutengeneza michanganyiko ya dawa kulingana na mahitaji ya taasisi husika kwa usalama.

6: Mfamasia ni sehemu ya mnyororo wa manunuzi ya dawa na vifaa tiba kwa taasisi.

7: Mfamasia ni srhemu ya mnyororo wa utunzaji salama wa dawa na vifaa tiba.

8: Mfamasia ni mratibu wa matumizi ya dawa na vifaa tiba.

9: Mfamasia ni mratibu wa makosa yasiyokamilika/near miss kwenye utoaji wa tiba.

10: Mfamasia ni mratibu wa mpangilio wa dawa kwenye eneo la kazi.

11: Mfamasia ni mratibu wa madhira tarajiwa na yasiyotarajiwa ya dawa kwenye eneo lake.

12: Mfamasia ni mtoa elimu ya matumizi ya dawa kwa wateja anaowahudumia.

13: Nk.👇

Hivyo, hawa watu wanahitajiana sana. Mtu mmoja kutokutekeleza au kuzembea majukumu si sababu ya kulaumu fani nzima au kuishusha thamani na kinyume chake.

Kutokupata nafasi ya kutimiza majukumu yako kifasaha si sababu ya kuhitaji kazi nyingine kutoka fani tofauti. Tujitahidi kuelewa majukumu ya watu kabla ya kuwajadili na kutoa hitimisho.

Ukiondoa majivuno ya kibinadamu, mfamasia ana nafaai ya kumshauri daktari na daktari ana nafasi ya kumshauri mfamasia. Ni suala la uelewa tu.
 
Umetisha Sana,

Kuna siku nimeingia morning report wilaya ya ilala, MD na Clinical officers wakaanza kubishana kwa kumpa mgonjwa wrong dose.., mwisho kabisa

Mfamasia akaongea kwamba mgonjwa alitakiwa kupewa dose flani kwa kiwango flani, na sio Kama madaktari walivyoandika apewe.
Huu ni uongo, Clinical officer hawezi kukaa hospitali ya wilaya. Tena afadhali ingekuwa peripheral huko, ila Ilala hapo hauwezi kumkuta CO kwenye district hospital
 
Hata hyo miaka minne wanasoma kwa pressure haitoshi mwili binadamu uko delicate sana ukiingiza kitu kigeni kwa kiwango kisichotakiwa jua unaudhuru mwili kwa sumu kwani hzo dawa anazogawa ni sumu na zinaua zikitumika bila usimamizi wa mtaalamu hvyo jaribu kuwaheshimu
Nimeeleza kwenye post za juu, kuna mama yangu Fulani tumezika kwa sababu ya Dawa zilikuwa zinashusha immunity badala ya kumtibu, sitaki kutaja jina la hospitali itakuwa si uungwana lakini hospitali kubwa tu
 
Bangi siyo nzuri, wapi nimesema anaruhusiwa?

Uliza Muhimbili kuna kichwa kinaitwa Dr Kabote MD ni surgeon mzuri sana, kwenye huo mtaa alichukuliwa na dispensary moja kufanya consultation akitoka Muhimbili alikosa wagonjwa na anawaona kwa jamaa Nyomi linamsubiri mfamasia afike SAA 12 jioni kwenye pharmacy yake aanze kuhudumia wateja na yeye MD mzima hana mgonjwa amekaa tu barazani.

Tatizo la watu wajinga unadhani kila mtu yuko mtandaoni kuandika ujinga wakati hapa tunashare experience.

Mimi hapa nilipo nipo camp na first aid box Mimi ndio Mfamasia wao, Wa kumpa Flamar najuwa, wa kumpa ibufen najuwa and likes, nidanganye ili nifaidike nini?

Jinga kabisa.
Hakuna dawa inaitwa Ibufen, kafanye ushoga labda ila you are not even close to being a medical professional.
 
Hakuna dawa inaitwa Ibufen, kafanye ushoga labda ila you are not even close to being a medical professional.
Wewe huna akili, first aid box hazitumiwi na madaktari pumbavu wewe.

Layman yoyote eneo la kazi anajuwa pain killer ipi atumie.

Yani unategemea mtu ambaye siyo field yake azitaje Dawa kitaaluma? Au ukiona Dr unajuwa ni Doctor of medicine?
 
Hivi kweli mtu anasomea Pharmacy 4 yrs, kuja kugawa dawa tu? Serikali rekebishenu hili

Medical officer ana recommend dawa hakiwa Hana uzoefu wowote Wala Elimu kuhusu dawa, hii sio sawa,
Viongozi wetu wa juu Kuna sehemu mnakwama sana, waacheni wafamasia WAFANYIE kazi walichofundishwa darasani.

Viongozi wenu wa juu wanahusika nini hapa?
 
Nimeeleza kwenye post za juu, kuna mama yangu Fulani tumezika kwa sababu ya Dawa zilikuwa zinashusha immunity badala ya kumtibu, sitaki kutaja jina la hospitali itakuwa si uungwana lakini hospitali kubwa tu
Wewe ni mtaalamu unashindwaje kujua dawa zina side effect linaweza kutokea kama ilivyotokea kwa huyo mama yetu though ni case chache lakini hutokea nkupe mfamo mimi nkitumia dawa yeyote yenye asprin au paracentm kichwa huvimba na kuwa na manundu manundu it has nothng to do na wafamasia ni side effect tu
 
Mmmmh!
Hapana kwa 100%.
Huwezi na huruhusiwi kufanya prescription kama huna hizi sifa.
1. Hujaapishwa kutibu mtu (Hii previlege wamepewa madaktari tu)
2. Huna mamlaka na hufahamu wa kufanya diagnosis. (Hili lipo mikononi mwa madaktari tu)

Hata hao madaktari wana level mbalimbali katika kufanya prescription, sio kila daktari anaweza (anaruhusiwa) kufanya prescription fulani.
Ndio maana mpaka leo hii, dunia nzima kuna Prescription huwezi kuandikiwa na Daktari yoyote, ni mpaka level fulani ya Daktari wa specialised fulani ndio ana ruhusa hiyo.
Yaani Mkuu umemuelewesha kwa level ya juu sana na kwa hekima sana maana anatia hadi hasira anavyoshindwa ku grasp knowledge ndogo hivyo. Hizi topic tunazo kila mwaka, watoto wakianza intern. Na hapa wameanza ku report last week, kwahyo jaribu tu kuwaelewa kwamba they are frustrated na Job description yao.
 
Back
Top Bottom