Ni sawa kama anachapa kazi, sasa kumtoa huko kumleta huku ni katika kutunuku utendaji wake au ndo kamaliza kazi huko?Kanachapa kazi haka kabaiby isee! Mengine hayo ni umbeya tuuúuuuuu 😡!
Lazima wataitwa kuoewa a b c za uongozi.Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.
DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.
Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!
Mungu ibariki Tanzania!
DED ni taaluma mkuu. Si suala tu la uteuzi pekee.Kwa ma DC sawa tu,lakini kosa hili asijaribu kwa ma DED,
..uko sahihi, mama angeshauriwa vizuri, wakurugenzi wanapaswa kutoka ndani ya utumishi wa umma sio wanasiasa au makada, vinginevyo atajaribu utumishi wa ummaHalafu kwa uelewa wangu, nilikuwa najua ma DED angalau ni wale waajiriwa wa serikali wenye uzoefu, mfano wakuu wa idara katika halmashauri. Kwa sababu mkurugenzi anaenda kusimamia uchumi wa halmashauri. Ngoja tusubiri tuone.
...haahaa Jpm aliweka makada wote walioshindwa kwenye kura za maoni, akavunja kabisa kanuni na taratibu za utumishi wa ummaDED ni taaluma mkuu. Si suala tu la uteuzi pekee.
...haahaa, Cha msingi ateue watumishi wa umma, aliweka makada, yaleyaleYaani DEDs ndo roho ya maendeleo usipoteua mkuu wa idara ukamleta mtu from nowhere yaani hachomoi
Ukweli mtupu,hivi hao wote rais anateua mwenyewe au anateuliwa na wasaidizi wake?Bila katiba hakuna jipya
EeeenHeeee!Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.
DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.
Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!
Mungu ibariki Tanzania!
Eeeeeeh??Tulieni sindano iwaingia. ''Kwa jina la Jamuhuri ya Tanzania,'' lazima mdemke tu. Si mnataka BTC nyie na bakuli tayari limefika Bretton Woods.
Mfano ulitaka katiba ifanyaje hapa?Bila katiba hakuna jipya
Ungeteuliwa wewe ungekataaKwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.
DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.
Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!
Mungu ibariki Tanzania!
Lakini kumbukeni mwendazake aliteuawa mpaka watangazaji wa shilawadu kuwa ma-DED mpaka leo wanatusua!Yaani DEDs ndo roho ya maendeleo usipoteua mkuu wa idara ukamleta mtu from nowhere yaani hachomoi
Mbona alikuwa DC tangu enzi za mwendazake? Ukikuwa wapi kulalamika? Wacha hizo wewe!!Mfano eti Nkumba kawa DC mtu ndo kahitimu tu chuo kichwani mweupee peee!
Akaongoze kamati ya Ulinzi na Usalama!!! Aisee
Kahitimu chuo GANI?Mfano eti Nkumba kawa DC mtu ndo kahitimu tu chuo kichwani mweupee peee!
Akaongoze kamati ya Ulinzi na Usalama!!! Aisee
.nakuunga mkono, hawa vijana wa juzi hapa jf wanashindwa kutifautisha uigizaji kama kazi na Elimu ya mtu. YAni kufungua mageti kwenye movie ndo mlinzi wa ukweli kwenye maisha ya kawaida???Acheni dharau wateule almost wengi wa uDC ni wasomi wazuri sana huyo mfungua mageti wa filamu za Kanumba ana Masters MPA, Nikki ana Masters Simalenga msomi, Mwaipaya Msomi.
...huo u serious mnaoujaji ni upi....wateule wote ni makada wa chama Chao na wenye rekodi safi...acheni roho za kichawi waacheni vijana wenzenu wakafanye kazi na kuijenga Tanzania.
Kuna watu huwa mnajikuta nyie ndio mnastahili sana...mnajihesabia haki...hao waliopata wamekuwa vetted na wana sifa stahiki waacheni wakafanye kazi tuache kutia siasa kwenye kila kitu.
Ukiona unaumia uteuzi au mafanikio ya mwenzio na Huna sababu za msingi jitambue Huna tofauti na MCHAWI