Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hapana, usahihi ni tumetoka kwenye moto mkali tumeingia kwenye kikaango.
EeeenHeeee!
Nacheka huku nikilia machozi kwa nchi yangu Tanzania.
Tunatoka kwenye kikaango tunaangukia kwenye makaa ya moto mkali.
Mungu Ibariki Tanzania.