Hivi kweli Rais Samia umedhamiria kuleta maendeleo nchini?

Hivi kweli Rais Samia umedhamiria kuleta maendeleo nchini?

DC ni cheo ambacho hata kisipokuwepo hakuna kitakachokwama.

Sema maRPC ndio watakaopata tabu, imagine utatakiwa kuwaheshimu hao kama wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama🤣

Uaskari ni kazi ngumu sana.

RPC ni ngazi ya mkoa.
Hawa wanawasimamia ma OCD.
 
Acheni dharau wateule almost wengi wa uDC ni wasomi wazuri sana huyo mfungua mageti wa filamu za Kanumba ana Masters MPA, Nikki ana Masters Simalenga msomi, Mwaipaya Msomi.

...huo u serious mnaoujaji ni upi....wateule wote ni makada wa chama Chao na wenye rekodi safi...acheni roho za kichawi waacheni vijana wenzenu wakafanye kazi na kuijenga Tanzania.

Kuna watu huwa mnajikuta nyie ndio mnastahili sana...mnajihesabia haki...hao waliopata wamekuwa vetted na wana sifa stahiki waacheni wakafanye kazi tuache kutia siasa kwenye kila kitu.

Ukiona unaumia uteuzi au mafanikio ya mwenzio na Huna sababu za msingi jitambue Huna tofauti na MCHAWI
Umenena kweli, yaani kila anaeteuliwa iwe Waziri, Katibu Mkuu, Mkuu wa Mkoa au Wilaya basi kwa baadhi ya watu huwa hawafai. Sijui wanataka wateuliwe watu kutoka mbinguni au vipi.
 
Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
Kwa joketi mlisema hivi hivi
 
Ni afadhali mara milioni moja kuwa na wapaka poda katika hiyo nafasi kuliko watu aina ya Sabaya, bashite, Odunga, Byakanwa n.k
Sabaya na Bashite nawajuwa, hawa wawili, Odunga na Byakanwa sijapata kuwasikia!

Unasema ni "Afadhali mara milioni..."? Hapana.

Madhara ya hao akina Odunga, Bashite, n.k., yanaumiza sana kwa vile ni ya papo kwa papo.

Haya ya "wapaka poda" ni maumivu makubwa sana ambayo huyaoni sasa hivi kwa ukali wake, lakini matokeo ya jumla (cumulative) kwa muda mrefu kwa nchi huenda ni makubwa zaidi ya hayo ya akina Odunga.
 
Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
Nimekuwa supporter mkubwa wa siasa za mama Samia the way alivyotutoa kwenye hali tuliyokuwa nayo ya mawazo mengi, uoga, unyonge nk lakini kwa sasa inatosha kusema hakuna atakapotupeleka .

Sio kwamba siasa zake ni mbaya Ila nna ambavyo anaendesha mambo kama vile nae ni mwinyi fulani. Naangalia hizi teuzi kwakweli naona tatizo kubwa sana kwenye aina ya uongozi anayoitaka.

Budget hii sio yake, let's wait ya mwakani, Ila naona kabisa tutapigwa sana sitaki kumuongelea Magu maana nae alikuwa mpigaji tu Ila nilidhani huyu mama atatunyooshea mambo but same business tena ni hewa kabisa.

Hapa ndipo watakuwa wamemaliza kutuaminisha kwamba mwanamke anaweza. Huyu atageuka kuwa mwiba mchungu kushinda JK. Haieleweki.
 
Nimekuwa supporter mkubwa wa siasa za mama Samia the way alivyotutoa kwenye hali tuliyokuwa nayo ya mawazo mengi, uoga, unyonge nk lakini kwa sasa inatosha kusema hakuna atakapotupeleka .

Sio kwamba siasa zake ni mbaya Ila nna ambavyo anaendesha mambo kama vile nae ni mwinyi fulani. Naangalia hizi teuzi kwakweli naona tatizo kubwa sana kwenye aina ya uongozi anayoitaka.

Budget hii sio yake, let's wait ya mwakani, Ila naona kabisa tutapigwa sana sitaki kumuongelea Magu maana nae alikuwa mpigaji tu Ila nilidhani huyu mama atatunyooshea mambo but same business tena ni hewa kabisa.

Hapa ndipo watakuwa wamemaliza kutuaminisha kwamba mwanamke anaweza. Huyu atageuka kuwa mwiba mchungu kushinda JK. Haieleweki.
Yeto haya kisa hajateua ndugu yako hata mmoja au hujateuliwa?
 
Ipo siku utakumbuka tulichokuwa tunakitetea hapa JF
Tatizo lako hujui ninaposimamia katika mambo haya.

Tuliza mshono upate akili, maana tulipokuwa tunakuambia ya maana ulituona wapuuzi.
Na kama unanielewa, basi kwa maksudi unajifanya huelewi ili mradi tu upiganie msimamo wako uliokuja kugundua baadae kwamba ulikuwa ni msimamo wa hovyo na kuanza kuukana mwenyewe.

Hili linakusumbua sana hadi sasa, na ndiyo maana ya kutapatapa kwingi huku unakokufanya hapa.
 
Asilimia tisini ( 90% ) ni mzigo hawafai Huu ndio ukweli tusubiri muda utaongea .
Sasa SSH afanyaje wakati amri imeshatolewa na wenyewe wanaomwamrisha? Ngoja sindano iwaingie Watanzania kisawasawa, kujenga nchi si lelemama. Hivi imekuwaje hadi haya yatokee, kwa kumbukumbu zangu tu Amiri Jeshi mkuu lazima awe amepitia Jeshi. Hapa ni kosa la nani? CCM / Serikali? Happy to be corrected.
 
Watanzania mna wivu balaa
Unless wewe ni mtu usiyedadisi, usiyejali wala kujua athari za kuwa na viongozi wabovu. Moja ni kwamba wanaweza kuacha nchi ijiendeshe yenyewe (autopilot) kwa sababu hawajui kinachoendelea lakini pia wanaweza kutupeleka shimoni bila kujua kwa kutaka kuonyesha vitu vipya ambavyo havitafanikiwa kwa uchumi wetu.

Siyo wivu ila tahadhari ni muhimu!
 
Yeto haya kisa hajateua ndugu yako hata mmoja au hujateuliwa?
JF imepoteza umahiri sababu ya watu kama nyie. In fact Waziri wa nchi ofisi ya Rais utawala bora ni ndugu yangu, same as kuna DC wawili wamepata mmoja ni classmate.

Naongea kwa michango wa kiujumla sio wa kibinafsi, laiti tungefahamiana usingejaribu hata kuandika ulichoandika.

Otherwise karibu whisky.
 
Halafu kwa uelewa wangu, nilikuwa najua ma DED angalau ni wale waajiriwa wa serikali wenye uzoefu, mfano wakuu wa idara katika halmashauri. Kwa sababu mkurugenzi anaenda kusimamia uchumi wa halmashauri. Ngoja tusubiri tuone.
Kwani waliopo wote wana kasoro? Kwanini abadilishe wote? Hela za kufanya hivyo zipo?
 
Kwa namna ulivyoteua ma-DC sioni kama uko serious. Nafasi ya u-DC inashuka hadhi kila kukicha, kwa sababu inaonyesha kila mtu anaweza kitu ambacho si kweli.

DC ni mtu ambaye anatakiwa atoe dira ya maendeleo ya wilaya yake lakini kwa baadhi ya hawa uliowateua ni sawa na wapiga debe wa daladala! DC ni mtu ambaye anatakiwa kumshauri RC kudumisha amani ndani ya wilaya yake lakini hawa ni ma-DJ watakaokesha katika kumbi za starehe. DC ni mlezi wa vijana katika wilaya yake lakini hawa ni comedians.

Kwa kifupi hakuna uongozi katika wilaya, hakuna mlezi, hakuna busara uliyopeleka wilayani bali kuna washereheshaji! Tafadhali Rais Samia hebu kuwa serious kidogo wananchi tupate imani! Nalilia nchi yangu inavyoangamia! Hawa vijana wako angalau wangepewa orientation ya uongozi!

Mungu ibariki Tanzania!
Mama ameamua kutufanyia MZAHA ULIOPITILIZA, ni wakati sasa wa kuidai KATIBA MPYA kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom