Hivi kweli Wasukuma ni wachawi sana kama wanavyoandikwa hapa JF?

Hivi kweli Wasukuma ni wachawi sana kama wanavyoandikwa hapa JF?

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Jamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu.

Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi.

Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
 
Jamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu.

Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi.

Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
Kweli hawana Akili kichwani
Wanaamini uchawi
Wengi wao wanatumi
 
Jamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu.

Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi.

Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
Ni wachawi balaa, asikwambie mtu
 
Back
Top Bottom