Chakula Kibaya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 689
- 1,562
Inhiiiiii fungulaga ipiemuuuuu nalizhaga gete.[emoji28][emoji28][emoji28]Ng’wanza dohooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inhiiiiii fungulaga ipiemuuuuu nalizhaga gete.[emoji28][emoji28][emoji28]Ng’wanza dohooo
okalombe bhusheke! Ling'wana liyoInhiiiiii fungulaga ipiemuuuuu nalizhaga gete.[emoji28][emoji28][emoji28]
Jamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu.
Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi.
Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
Lakini mnaigawaga kama karanga wankima!Wanatuchafua tu hakuna hayo ingekuwa uchawi Upo ningekuwa mchawi na mim niwaroge 😂😂
Wachagga unawaacha wapi katika ushirikina hasa KiboshoWasukuma na ushirikina ni Pete na kidole, hilo wala sio Siri.
Ingawaje Makabila yote ya TANZANIA na Afrika yanaamini katika ushirikina.
Ila Kwa hapa Tanzania Wasukuma ni namba moja Kutokana na matukio waliyowahi kuyafanya na wanayoendelea kuyafanya,
Kama mauaji ya wenye macho mekundu, Shinyanga, mauaji ya Albino, Usukumani kote,
Lakini mnaigawaga kama karanga wankima!
Wachagga unawaacha wapi katika ushirikina hasa Kibosho
Jibu zuriUnataka ikaliwe na nyenyere
Hatari sanaWasukuma na ushirikina ni Pete na kidole, hilo wala sio Siri.
Ingawaje Makabila yote ya TANZANIA na Afrika yanaamini katika ushirikina.
Ila Kwa hapa Tanzania Wasukuma ni namba moja Kutokana na matukio waliyowahi kuyafanya na wanayoendelea kuyafanya,
Kama mauaji ya wenye macho mekundu, Shinyanga, mauaji ya Albino, Usukumani kote,