Hivi kweli Wasukuma ni wachawi sana kama wanavyoandikwa hapa JF?

Hivi kweli Wasukuma ni wachawi sana kama wanavyoandikwa hapa JF?

Kila jamii ina wachawi ila wasukuma wamezidi kuonewa kila uchafu wanatupiwa wao
Nadhanu awamu iliyopita ilisababisha wasukuma wakajengewa taswira za aina zote

Ila wasukuma ni wenzetu tunaishi nao na kushirikiana nao, as time goes, tutasahau na tutawachukulia kama wanadamu wa kawaida
 
Wasukuma wameanza kuandamwa tangu zamani. Ile awamu ni kisingizio tu
Nadhanu awamu iliyopita ilisababisha wasukuma wakajengewa taswira za aina zote

Ila wasukuma ni wenzetu tunaishi nao na kushirikiana nao, as time goes, tutasahau na tutawachukulia kama wanadamu wa kawaida
 
Jamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu.

Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi.

Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
Wachawi sana
 
Ushirikina umejaa mwanza ndio maana maendeleo kwao hakuna. Kazi kuuwa vikongwe na albino tu ili wapate utajiri
 
Ndo mara ya kwanza kuona na maduka ya tunguli na uganga ni hatar hawa watu
 
....nipo Kanda ya ziwa naishi na wasukuma kwa ukaribu kwa muda sasa, sijawahi logwa, .......ni wakarimu sana wanapenda watu, wanajali wageni, utafurahi kwenye rafudhi yao, na kupenda kufupisha majina eg doto-doi, ndebile-ndebi, Frank-fule, Mathias- tia.....
 
Jamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu.

Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi.

Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
It is in their DNA
 
Back
Top Bottom