Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
- Thread starter
- #21
Ila wakija Dar wanakuwa wakawaida?Ni wachawi balaa, asikwambie mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wakija Dar wanakuwa wakawaida?Ni wachawi balaa, asikwambie mtu
Nadhanu awamu iliyopita ilisababisha wasukuma wakajengewa taswira za aina zoteKila jamii ina wachawi ila wasukuma wamezidi kuonewa kila uchafu wanatupiwa wao
Jemima umeolewa?Ila wakija Dar wanakuwa wakawaida?
Nadhanu awamu iliyopita ilisababisha wasukuma wakajengewa taswira za aina zote
Ila wasukuma ni wenzetu tunaishi nao na kushirikiana nao, as time goes, tutasahau na tutawachukulia kama wanadamu wa kawaida
Unatafuta mchumba?Jemima umeolewa?
Wachawi sanaJamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu.
Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi.
Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
Si Umeona mwenyewe kasema yeye mchawi wa hisabati😭Naye mchawi?
Mchawi uyo utaleta uzi hapa😂😂😂Mi nampenda hivyohivyo.....Nimemwingiza Jehova katikati yetu🙏
🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃🤸🤸🤸Mchawi uyo utaleta uzi hapa😂😂😂
Hata mie nilitaka kumuuliza hivyo hivyo, so Akikujibu nitag
ndio..Unatafuta mchumba?
It is in their DNAJamani nimekaa na Wasukuma, ni watu wakarimu sana na wenye upendo wa hali ya juu.
Hapa JF siku za karibuni yametokewa masimumulizi mengi ya riwaya yakiwaelezea Wasukuma kwamba ni jamii iliyooza na kutopea kwenye uchawi.
Jamani kweli mambo ndio yako hivyo? Au ndio wanaonewa na kumezewa mate?
Usukumani, Sumbawanga, Tanga, Pemba na Kigoma wapi wachawi zaidi?It is in their DNA
Bhebhe ng'wanike,olehale??