Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambayo walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Lengo lao ni kuifuta israel kama walivyoagizwa na alla,ila cha kushangaza wanafutwa wao kila uchwao.
 
Hamas walifanya makosa October 7. Ni kweli kitendo kile hakikuwa na faida kwa wapalestina.

Ni kweli wapalestina wanadhulumiwa na wanaonewa sana kwa miaka mingi, ila uamuzi wa Hamas kufanya tukio lile Oct 7 haukuwa sawa. Hawakuzingatia maslahi na madhara ya kitakachotokea. Kama walilenga kuondoa madhara yaliyokuwepo kabla ya Oct 7, basi wamesababisha shari kubwa zaidi na damu nyingi zaidi ya wapalestina kumwagika na uharibifu mkubwa zaidi kutokea ndani ya muda mfupi.

Ndio maana kuna clips zinaonesha baadhi ya watu wa Gaza wanaomba Dua dhidi ya Hamas.

Tunawaombea ushindi ndugu zetu wapalestina. Ushindi dhidi ya maadui zao wote, na Allah ndio Mjuzi zaidi wa yaliyo nyuma ya pazia, Mjuzi zaidi wa Siri na Dhahiri. Macho yanatoa machozi na mioyo inaumia, wala hatusemi ila lile analoliridhia Allah, Hakika sisi ni wa Allah na hakika kwake tutarejea. Ni kwa Allah tu ndio tunashtakia udhaifu wetu na unyonge wetu.

Nimekumbuka wamongolia walivyowavamia Waislam, kuna watu waliwaprovoke wamongolia ilihali Waislam walikuwa hawana nguvu ya kuwapiga wamongolia wakati ule. Wamongolia wakawavamia Waislam na baadhi ya miji yao, ikiwemo huko Iran na Iraq, wakaiteketeza Baghdad yote. Wakaua na kufanya uharibifu ambao haukupata kufanyika mfano wake kwa Ummah wa Muhammad. Lakini wamongolia walikuja kushindwa na spidi yao ikaishia Shaam (Palestine) katika mikono ya Waislam (Kuanzia Battle of Ain Jalut) watu walipoanza kurejea katika Tawheed.
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.

Hili swali niliuliza sana.. kwamba kama kigezo ni kuwa mnakandamizwa na kunyang'anywa ardhi yenu.. sasa kwa nini muanzishe shambulio ambalo ndo litazidi kuwaumiza zaid.. kama
Lengo ni ukomboz maana yake mnatakiwa mkajipange mkitoa
Kipigo adui awe hana uwezo wa kurudisha.. ila Inaonekana
kuwa Hamas walipewa na maelekezo na kaka mkubwa iran.. kwa kigezo kuwa israel ikijibu basi iran, na proxy wake hizbolah na houthi waishambulie..

Ndio maana u unaona baada ya shambulio iran akaanza kupiga mkwara
Mzito israel asivuke Mpaka kuingia Gaza.. ila Iran hakuwa na nia ya dhati kuwasaidia Hamas alikuwa anawatumia tu kisiasa .. Iran angekuwa kweli anajitoa walau nusu tu ya USA anavyojitoa kwa Israel hamas walau wangekuwa na pakushika.. fedha na uwekezaji ambao iran ametumia kwa zaid ya miaka 16 kuijenga hizbola angeutumia kwa hamas kama alikuwa na nia.. hizbola nae kakubali cease fire wakat alisema kigezo ni lazima Israel aondoke Gaza

It was a cordinated mission ingawa mafanikio yanaonekana ni less than 50% hamas kaachwa peke yake
 
Hili swali niliuliza sana.. kwamba kama kigezo ni kuwa mnakandamizwa na kunyang'anywa ardhi yenu.. sasa kwa nini muanzishe shambulio ambalo ndo litazidi kuwaumiza zaid.. kama
Lengo ni ukomboz maana yake mnatakiwa mkajipange mkitoa
Kipigo adui awe hana uwezo wa kurudisha.. ila Inaonekana
kuwa Hamas walipewa na maelekezo na kaka mkubwa iran.. kwa kigezo kuwa israel ikijibu basi iran, na proxy wake hizbolah na houthi waishambulie..

Ndio maana u unaona baada ya shambulio iran akaanza kupiga mkwara
Mzito israel asivuke Mpaka kuingia Gaza.. ila Iran hakuwa na nia ya dhati kuwasaidia Hamas alikuwa anawatumia tu kisiasa .. Iran angekuwa kweli anajitoa walau nusu tu ya USA anavyojitoa kwa Israel hamas walau wangekuwa na pakushika.. fedha na uwekezaji ambao iran ametumia kwa zaid ya miaka 16 kuijenga hizbola angeutumia kwa hamas kama alikuwa na nia.. hizbola nae kakubali cease fire wakat alisema kigezo ni lazima Israel aondoke Gaza

It was a cordinated mission ingawa mafanikio yanaonekana ni less than 50% hamas kaachwa peke yake
Sadly, hata Waarabu [hivi Wapalestina ni Waarabu?] wenzao huko Mashariki ya kati hawawaungi mkono kivile.

Miscalculation yao imeleta mateso tu kwa raia wa kawaida wa Gaza.
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.

Hammas ni wapumbavu.
Nafikiri walivuta Bangi.
Hata kama mnapigania HAKI yenu huwezi pigania HAKI alafu ukaacha AKILI pembeni.
Ndicho walichofanya Hammas. Kupigania HAKI yao bila Akili
 
Kipigo adui awe hana uwezo wa kurudisha.. ila Inaonekana
kuwa Hamas walipewa na maelekezo na kaka mkubwa iran.. kwa kigezo kuwa israel ikijibu basi iran, na proxy wake hizbolah na houthi waishambulie..
Nami pia nina wasiwasi na hili, kuwa dola la kishia la Iran ndio liko nyuma ya mipango ya tukio lile. Hamas wako karibu mno na akina Khamenei. Matokeo yake mazayuni wamewageukia wapalestina wasio na nguvu na kuwaua na kuwaumiza kwa kuchupa mipaka na dhulma.

Na tukio lile ghafla limekuja wakati Saudia akiwa katika mchakato wa mazungumzo ya amani na mazayuni. Kuna watu walipinga lile kwa jazba, lakini kufanya amani na mazayuni haikuwa na maana wanawapenda mazayuni na wanaunga mkono mambo yao, bali kufanya vile ilikuwa ni kutengeneza mazingira ndugu zetu angalau wawe na amani na wapumzike na zipungue shida kwa sababu kwa wakati huo/huu hawakuwa na nguvu ya kupigana na mazayuni. Lakini ghafla linatokea tukio hilo...

Qaddara Allahu maa shaa fa'ala
 
Hammas ni wapumbavu.
Nafikiri walivuta Bangi.
Hata kama mnapigania HAKI yenu huwezi pigania HAKI alafu ukaacha AKILI pembeni.
Ndicho walichofanya Hammas. Kupigania HAKI yao bila Akili


Mababu zetu waliopambana na wakoloni wakiwatesa nchini kwao ndio wanaelewa hili swali lako, au Washout Africa wanajuwa kunyanyaswa ni nini? Sisi wengine wacha tuliweke kiushabuki wa dini tu hapa.
 
Hammas ni wapumbavu.
Nafikiri walivuta Bangi.
Hata kama mnapigania HAKI yenu huwezi pigania HAKI alafu ukaacha AKILI pembeni.
Ndicho walichofanya Hammas. Kupigania HAKI yao bila Akili
Sijui walidhani Israel asingejibu mapigo?

Hali ya sasa ya Gaza ni mbaya sana kuliko ilivyowahi kuwa tokea Gaza iwe Gaza.
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Ni ngumu sana kuelewa , ila kutokana na huo ugumu wa kuelewa inaonesha walikua na sababu kubwa iliyowasukuma, ugumu wa maisha inaweza kua moja wapo , so huenda ilikua ni suicide mission
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
If you go for the king, you best not miss!!
 
Back
Top Bottom