Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.
Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?
Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.
Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.
Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.
Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambayo walijua kabisa hawawezi kuimudu?
Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.
Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.
Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.
In the end, was it all worth it? I think not.
Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?
Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.
Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.
Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.
Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambayo walijua kabisa hawawezi kuimudu?
Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.
Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.
Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.
In the end, was it all worth it? I think not.