Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Logic yako haitamake sense mpaka ukieka "Hannibal directive"

Lengo la Hamas ni kuteka Askari wa IDF ili kubadilishana Mateka. Kitu ambacho walifanikiwa.

Israel akaja akaua Raia wake na Kulipua Concert, inakadiriwa takriban Raia 600-800 wameuliwa na Polisi wa Israel na Sio Hamas.

Janga lote hilo akabwagiwa Hamas na issue kukuzwa na propaganda zikaanza sijui watoto walichinjwa, na wengine wakawekwa kwenye Oven etc.
 
Logic yako haitamake sense mpaka ukieka "Hannibal directive"

Lengo la Hamas ni kuteka Askari wa IDF ili kubadilishana Mateka. Kitu ambacho walifanikiwa.

Israel akaja akaua Raia wake na Kulipua Concert, inakadiriwa takriban Raia 600-800 wameuliwa na Polisi wa Israel na Sio Hamas.

Janga lote hilo akabwagiwa Hamas na issue kukuzwa na propaganda zikaanza sijui watoto walichinjwa, na wengine wakawekwa kwenye Oven etc.
Hivi upo serious kweli Mwamba?
😁😁
 
Hao waarabu wanaoishi dola la kikaburu la kizayuni (Nabii Israel/Ya'aqub (Amani iwe juu yake) yuko mbali nao, nao wako mbali ya yeye) wanaishi kama second class citizens wakinyimwa baadhi ya haki zao, sio kwamba wako poa kabisa.
Haki kama ipi kwa mfano. Ukienda leo Israel unaweza kunitofautishia kati ya jews na hao waarabu kimaisha au kikawaida.
 
Unaweza shangaa kukuta hamasi ni chama cha wayahudi na mipango ili ilikuwa kama sababu ya myahudi kuchukua eneo lote
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Dah nikikumbuka iyo October 7 walivyokuwa wakibweka Allah akbar Allah akabar na kukata mauno hadharani. Basi huyo Allah angewasaidia sasa anawaogopa wayahudi ambao amewaumba?
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Walijazwa upepo na Iran kwamba atawaunga mkono kwenye harakati zao kupitia Hizbullah, Houth na wale wanamgambo kule Iraq.

Bahati mbaya kwao upepo uliwabadilikia wakajikuta wako peke yao.
 
Kwa yule asiyefikiria mbali anafikira Hamas walikosea, sasa kwa taarifa tu lengo lao ni hili hapa kama hiyo lugha haikupi shida:
 
Kwa yule asiyefikiria mbali anafikira Hamas walikosea, sasa kwa taarifa tu lengo lao ni hili hapa kama hiyo lugha haikupi shida:
Wapalestina zaidi ya elfu 40 wameuliwa!

Kabisa watu na akili zao timamu wanaona walichofanya Hamas kusababisha yote haya yaliyotokea kuanzia Oktoba 7, 2023 ni sawa/ sahihi?
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Walitumainishwa na Irani!
Huku wakijua MUNGU wa Yahudi Amewafundisha this Moto!
👇👇
Kumbukumbu la Torati 19:20-21
20 Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

21 Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.

Gaza Imekuwa kifusi Bado Lebanon NAYO wameanza kuweka Mipaka....
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Walijua lijapo swala la raia zake serikali ya Israel ipo tayari kutii masharti yoyote yale watakayopewa ili tu warudishiwe raia wao au maiti zao. So waliwachukua kama bargaining chips.
Kuhusu yale mauji ilkuwa ni watia hofu Waisrael ili waone hawapo salama nchin mwao waanze kukimbia kwenda sehemu mbalimbali duniani.

Mwisho walina dunia imepoa sana, kwa muda mrefu haijasema "Allah Akbar " kwa sauti moja na kwa pamoja. Hivyo wakajua kupitia tukio lile wao watakuwa Wameita "Takbiiir" na dunia ya itaitikia "Allah Akbaaaar".

Na ndivyo ilivyokuwa ingawa sasa baada ya kuita na kujibiwa "allah akbar" sasa wanalia hawana makaazi, Chakula, madawa.

Hawamuombi tena allah awasaidie wamewageukia wazungu wa Ulaya wawasaidia, baada ya kuona Allah hatoi msaada tena wameamua kuwageukia "Allah" wa Ulaya na Marekani yaani wazungu.

Sasa hvi wanafuatilia zaidi matamko ya Marekani kuliko maandishi ya Quran, wapo tayari wasisali swala zote tano hata kwa mwezi mzima lakini wasikose buundle kujua Mareksni na Israel wanasemaje.
 
Kwa yule asiyefikiria mbali anafikira Hamas walikosea, sasa kwa taarifa tu lengo lao ni hili hapa kama hiyo lugha haikupi shida:
Hiyo resolution inaweza ikaishia kwenye dustbin. Miaka yote ni Palestina wenyewe wamekuwa wakipinga two state solution, wakasimamia ushauri wa Iran kwamba Israel haitakiwi kuwepo bali inatakiwa kufutwa.
Ni sababu ya simamo huo wamekuwa wakifanya mashambulizi ya mara kwa mara kuelekea Israel na ni sababu ua mashambulizi hayo Israel iazidi kujitanua.
So, iwazo cha two state solution ni Iran
 
Back
Top Bottom