Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Nami pia nina wasiwasi na hili, kuwa dola la kishia la Iran ndio liko nyuma ya mipango ya tukio lile. Hamas wako karibu mno na akina Khamenei. Matokeo yake mazayuni wamewageukia wapalestina wasio na nguvu na kuwaua na kuwaumiza kwa kuchupa mipaka na dhulma.

Na tukio lile ghafla limekuja wakati Saudia akiwa katika mchakato wa mazungumzo ya amani na mazayuni. Kuna watu walipinga lile kwa jazba, lakini kufanya amani na mazayuni haikuwa na maana wanawapenda mazayuni na wanaunga mkono mambo yao, bali kufanya vile ilikuwa ni kutengeneza mazingira ndugu zetu angalau wawe na amani na wapumzike na zipungue shida kwa sababu kwa wakati huo/huu hawakuwa na nguvu ya kupigana na mazayuni. Lakini ghafla linatokea tukio hilo...

Qaddara Allahu maa shaa fa'ala

Na hasa ndio approach iliiotakiwa.. mbona Jordan wanashare mipaka na israel hakuna migogoro.. tatizo palestina upande wa gaza wamekubali kutawaliwa na watu radicals ambao wanaamini katika dawa ya moto ni moto..

hamas wanataka israel ifutike kabisa kitu ambacho haiwezekani. Matokeo yake kwa kadiri wanavyojaribu ndio wanaIdi kupoteza.. na tatizo wanatumika na waraabu wenzao .. kungekuwa na nia ya dhati ya waarabu kuwapa utaifa palestina ingeshatokea zamani sana

We fikiria sudan tu hapo walipoanza kuchapana kwa misingi ya dini .. mara likatolewa wazo.. dunia ikalisimamia sudani ikagawanywa.. kwa nini ishindikane kwa palestina kuwa na utaifa
Jibu ni kuwa Israel hakubali kwa sababu anajua nia ya Hamas wao wanataka kufuta taifa la israel same to Iran. Maana yake ikiwa palestina itakuwa taifa.. italindwa na soverignity laws.. inaweza hata ikamruhusu iran akaweka silaha kali pale waka cordinate na Lebanon .. waka attack israel na kuifuta maana hilo
Ndio lengo mama .. hata vitabu vyao vya dini vinataka iwe hivyo.. na kijiografia Israel ni ndogo sana..

Ndio maana netanyau alisema palestina kuwa na utaifa its a death sentence kwa Israel

sasa hivi dunia imebadilika.. ili kumuwin Israel wangeleta approach ambayo israel wangeona kuwa hawa jamaa sio Threat kisha wakaja na proposal ambayo wangewekeana mipaka basi Palestina ikawa nchi kamili
Wakaanza kupata wawekezaji na misaada.

Hapo Hata Israel wangeona aibu.. na dunia nzima ingekuwa upande wa Palestina kama ingetokea Israel kafanya ndivyo Sivyo.. lakini toka enzi na enzi approach ya wa palestina imekuwa ni jino kwa jino..

Arafat alijaribu kutafuta suluhu ya mezani hadi wakaingia mkataba na israel.. ila hamas wakagoma
Ndio chanzo cha Mgawanyiko na alipokufa gaza ikabaki kwa Hamas. Kule west babk wakabaki Fatah chama ambacho kinaongozwa na Abbas..
 
Kwa yule asiyefikiria mbali anafikira Hamas walikosea, sasa kwa taarifa tu lengo lao ni hili hapa kama hiyo lugha haikupi shida:
Gaza imeshageuka kifusi!; Hilo lengo walikuwa watakufa.40000..na Gaza kugeuka
Kwa yule asiyefikiria mbali anafikira Hamas walikosea, sasa kwa taarifa tu lengo lao ni hili hapa kama hiyo lugha haikupi shida:
Gaza imegeuzwa kifusi na wa-Gaza wamesha kufa.40000++
Sasa Hilo lengo Kwa faida ya nani?
Acheni Ashki majunun 🙄😜
 
Sadly, hata Waarabu [hivi Wapalestina ni Waarabu?] wenzao huko Mashariki ya kati hawawaungi mkono kivile.

Miscalculation yao imeleta mateso tu kwa raia wa kawaida wa Gaza.

Ki asili Wapalestina hawa wa sasa hivi ni waarabu ambao walihamia hapo mashariki ya kati kipindi Cha Arab conquest ndio maana Arab culture imeshika hatam maana Utawala wa mwisho wa eneo hilo ulikuwa ni utawala wa Ottoman... kabla ya British kuuangusha baada ya WW1

Ottoman walichukua eneo hilo
La Mashariki ya kati kutoka kwa Byzantines au Roman sina hakika.. ila
Hapo watawala Wamepita wengi kuanzia kina Assyrians, Babylonians, Persians, Greeks, wakaja Romans na Byzantines, and eventually the Islamic Caliphate and the Ottoman Empire.

kisha Muingereza na washirika wake wakauangusha na kulichukua hilo eneo .. na ndio Mwanzo wa kuzaliwa nchi kama oman na Qatar..

ila kabla ya arab conquest waliokuwa wanaishi hapo ni cannanites.. na palikuwa panajulikana kama "Levant" ambapo kama kumbumumbu ziko sawa eneo lake ni mjumuisho wa sasa wa israel, palestina, jordan lebanon na baadhi ya maeneo ya Syria ( hasa upands wa Alepo)
 
Ki asili Wapalestina hawa wa sasa hivi ni waarabu ambao walihamia hapo mashariki ya kati kipindi Cha Arab conquest ndio maana Arab culture imeshika hatam maana Utawala wa mwisho wa eneo hilo ulikuwa ni utawala wa Ottoman... kabla ya British kuuangusha baada ya WW1

Ottoman walichukua eneo hilo
La Mashariki ya kati kutoka kwa Byzantines au Roman sina hakika.. ila
Hapo watawala Wamepita wengi kuanzia kina Assyrians, Babylonians, Persians, Greeks, wakaja Romans na Byzantines, and eventually the Islamic Caliphate and the Ottoman Empire.

kisha Muingereza na washirika wake wakauangusha na kulichukua hilo eneo .. na ndio Mwanzo wa kuzaliwa nchi kama oman na Qatar..

ila kabla ya arab conquest waliokuwa wanaishi hapo ni cannanites.. na palikuwa panajulikana kama "Levant" ambapo kama kumbumumbu ziko sawa eneo lake ni mjumuisho wa sasa wa israel, palestina, jordan lebanon na baadhi ya maeneo ya Syria ( hasa upands wa Alepo)
Palestines siyo waarabu bali waliamua ku dump language, religion, and culture zao na kuamua ku adopt kila kitu cha waarabu na kuanza kujitambulisha kama waarabu na wanatambulika hivyo.
 
walijua ni kama kipindi cha nyuma, sababu walikuwa wameteka mateka kama mtaji kwamba Israel itapigana vita kwa majuma kazaa baada ya hapo kutakuwa na seize fire ,wataingia kwenye negotiation ya kuwaachia mateka .Chaajabu mwamba Benjamin Netanyahu kumbe katia pamba masikio sakii la mtu yeyote kiminyo cha pro max
 
Gaza ni concentration camp

Si sawa kumhukumu mtu anayetafuta uhuru wake, ukamuacha muonevu anayemkandamiza mwenzie daily.
 
Palestines siyo waarabu bali waliamua ku dump language, religion, and culture zao na kuamua ku adopt kila kitu cha waarabu na kuanza kujitambulisha kama waarabu na wanatambulika hivyo.

Umemjibu vyema.

Watu wengi wasichokijua ni kuwa wengi wa tunaowaita wapalestina leo wana damu ya kiyahudi, ila tu waliamua kuukubali uislamu na baadhi yao kuukubali ukiristo.

Hawa walowezi kutoka ulaya wanadhani wana haki zaidi.
 
Mababu zetu waliopambana na wakoloni wakiwatesa nchini kwao ndio wanaelewa hili swali lako, au Washout Africa wanajuwa kunyanyaswa ni nini? Sisi wengine wacha tuliweke kiushabuki wa dini tu hapa.
Wakoloni walikuja huku ambako sio kwao; Israel na Palestinians wanajuana kabla hata ya kuanza kwa maandishi, yaani kabla watu hawajaanza kuandika, hawa wanajuana. Sidhani kama kuna watu wamepigana dunia hi for decades and millennium kama hawa watu. Wakoloni wa Africa tulikua tunajua waliko toka, Israel na Palestinian tunajua wametokea wapi? Ile vita ni ngumu and this is why, Waarabu halisi hawawaungi mkono Wapalestina
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Ngoja na mimi nijaribu kuchambua.

Binafsi nahisi ule ulikuwa ni mtego kutoka kwa majasusi wa Israel ndani ya Hamas ambapo Israel alishaanza kuona Hamas inazidi kujiimarisha hivyo alikuwa anatafuta namna ya kuingamamiza na kuichukua Gaza.

Inasadikika (hakuna uthibitisho wa moja kwa moja) Israel ndiye alianzisha Hamas kwa lengo la kuwavuruga kina Yasser Arafat enzi hizo lakini baadae ni kama vile Hamas wakaona utamu wa kujitawala na wakaiasi Israel rasmi.

Miaka ingeenda bila hivi vita, hakika Hamas ingekuwa imara na mwisho wa siku ilikuwa ni hatari kwa Israel ndiyo maana akaanzisha huu mgogoro kwa kutumia majasusi ndani ya Hamas kushambulia Israel ili apate sababu ya kuanzisha vita huko Gaza.

Pia, inasadikika, Israel alikuwa anataka aichukue tena Gaza kwa sababu utajiri wa gas na mafuta ila alikuwa anakosa namna ya kuingia pale kwa hii miaka ya karibuni.

Hata wakati vita vinaendelea Marekani naye alienda kuanzisha bandar gaza. Juzi kati Israel kaonywa asijenge kambi za jeshi gaza mana ni kama vile hana mpango wa kuondoka hivi karibuni.
 
Kulivuruga Taifa lenye Historia ya miaka zaidi ya 3,000 ila lilianzishwa 1948.😂😂
 
Serious with evidence, chochote ambacho unakiona hapo unaona kama kamba kina ushahidi wake.
Hamna lolote most of Arabian Muslims ni Extremists!
Hua wanafanya vitu kwa mihemko kwao busara ni zero sijui Allah hua hawapi moyo wa kupooza mambo maana kila kitu wanaamini kutumia Shari kutatua!
Kinachoendelea middle east ni Panic war!
😁😁
 
Ngoja na mimi nijaribu kuchambua.

Binafsi nahisi ule ulikuwa ni mtego kutoka kwa majasusi wa Israel ndani ya Hamas ambapo Israel alishaanza kuona Hamas inazidi kujiimarisha hivyo alikuwa anatafuta namna ya kuingamamiza na kuichukua Gaza.

Inasadikika (hakuna uthibitisho wa moja kwa moja) Israel ndiye alianzisha Hamas kwa lengo la kuwavuruga kina Yasser Arafat enzi hizo lakini baadae ni kama vile Hamas wakaona utamu wa kujitawala na wakaiasi Israel rasmi.

Miaka ingeenda bila hivi vita, hakika Hamas ingekuwa imara na mwisho wa siku ilikuwa ni hatari kwa Israel ndiyo maana akaanzisha huu mgogoro kwa kutumia majasusi ndani ya Hamas kushambulia Israel ili apate sababu ya kuanzisha vita huko Gaza.

Pia, inasadikika, Israel alikuwa anataka aichukue tena Gaza kwa sababu utajiri wa gas na mafuta ila alikuwa anakosa namna ya kuingia pale kwa hii miaka ya karibuni.

Hata wakati vita vinaendelea Marekani naye alienda kuanzisha bandar gaza. Juzi kati Israel kaonywa asijenge kambi za jeshi gaza mana ni kama vile hana mpango wa kuondoka hivi karibuni.
Yaani yote hayo at the expense ya maelfu ya watu waliouliwa bila kuwa na hatia yoyote ile?

Nah…..that strains credulity way too much.
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Kwa hakika, Hamas ni vichaa punguani.

Ebu fikiria:

Mwaka 1947, Wayahudi walitaka kutambuliwa kwa Taifa moja la Israel, ambalo lingekuwa na jamii kubwa mbili, waarabu na wayahudi. Ardhi ya Taifa hilo ingeluwa ni eneo lote ambalo Warumi wakati wanaitawala iliyokuwa inaitwa Israel Kingdom, waliibadilisha jina na kuliita the land of Palestine. Waarabu wa Palestine, baada ya kushawishiwa na mataifa ya kiarabu, wakagoma.; huku mataifa ya kiarabu yakiwaambia yatawasaidia kuwaangamiza wayahudi. Mwaka 1948, Umoja wa mataifa ukaridhia wayahudi wapewe 56% na waarabu wapewe 44% ya iloyokuwa Palestine land, waarabu wa Palestine wakagoma, na huku wakidanganywa na waarabu wenzao kuwa watawasaidia kuwafuta wayahudi Duniani, na kisha wao kumiliki 100%.

Mwaka 1948, waarabu wa Palestine mara moja wakaanzisha vita dhidi ya Wayahudi, wakapigwa vibaya. Israel ikachukua 60% ya ile 44% waliyokuwa wamegawiwa waarabu.

Mwaka 1967 waarabu wa Palestine wakisaidiwa na mataifa ya kiarabu, wakaanzisha tena vita dhidi ya Israel, wakapigwa tena vibaya, Israel ikayachukua maeneo yote yaliyosalia, na kuongeza baadhi ya maeneo ya Syria.

Mwaka 1972 wakaanzisha vita tena, wakapigwa vibaya, baadhi ya mataifa kama Misri yakaamua kufuta uhasama dhidi ya Israel.

Mara zote kwenye vita hivyo, idadi ya waarabu waliouawa ilikuwa karibia mara 20 ya vifo vya wayahudi.

Hivi kwa mtu mwenye akili, inawezekana vipi, kila wakati unatumia mbinu zile zile, na kila unapoanzisha vita, unapigwa na kupoteza maradufu, halafu unarudia yale yale! Hivi wewe utakuwa na akili?

Waarabu wa Palestine walipewa mamlaka ya ndani, na chini ya Oslo Accord, hiyo ilikuwa ni hatua ya kuelekea kupewa Taifa kamili. Mara hao Hamas wakaanzisha vita dhidi ya mamlaka ya ndani ya Wapalestina, na kisha kwa usaidizi wa Iran, wakanyakua eneo la Gaza!! Hivi hawa unaweza kusema kweli wanajua wanachokitaka? Baada ya mashauriano,
Hamas walijibadilisha kuwa chama cha siasa, wakaachwa wajitawale huko Gaza, mara wakaanza kuingia Israel kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga. Baada ya hapo Israel ikajenga uzio na kuwawekea sheria kali, ambazo ilikuwa ukiwa kwenye vivuko vya kuingia Israel, ukikosea kidogo tu kufuata zile taratibu za kwenye vivuko, ulichukuliwa ni gaidi, unawashwa risasi. Na hiyo hali ndiyo waliyoilalamikia sana hawa waarabu wa Palestine kuwa wanaishi kama wapo jela. Lakini mazingira ya hali hiyo waliyatengeneza wenyewe.

Ukweli ni kama ulivyosema, walikuwa kwenye shida, lakini vitendo vyao vya October mwakajana, vimewafanya kuwa kwenye shida kubwa zaidi. Kama waliishi kama wapo jela, sasa wanaishi kama wapo kaburini.
 
Mababu zetu waliopambana na wakoloni wakiwatesa nchini kwao ndio wanaelewa hili swali lako, au Washout Africa wanajuwa kunyanyaswa ni nini? Sisi wengine wacha tuliweke kiushabuki wa dini tu hapa.
Acha uongo wewe Babu Yako Gani kapambana na ukoloni hivi unawajua wakoloni vizuri wale wamewachoa tu nchi muuendeleze ujinga wenu kama wa Sasa hivi wa kutwaliana weusi Kwa weusi
 
Kwa hakika, Hamas ni vichaa punguani.

Ebu fikiria:

Mwaka 1947, Wayahudi walitaka kutambuliwa kwa Taifa moja la Israel, ambalo lingekuwa na jamii kubwa mbili, waarabu na wayahudi. Ardhi ya Taifa hilo ingeluwa ni eneo lote ambalo Warumi wakati wanaitawala iliyokuwa inaitwa Israel Kingdom, waliibadilisha jina na kuliita the land of Palestine. Waarabu wa Palestine, baada ya kushawishiwa na mataifa ya kiarabu, wakagoma.; huku mataifa ya kiarabu yakiwaambia yatawasaidia kuwaangamiza wayahudi. Mwaka 1948, Umoja wa mataifa ukaridhia wayahudi wapewe 56% na waarabu wapewe 44% ya iloyokuwa Palestine land, waarabu wa Palestine wakagoma, na huku wakidanganywa na waarabu wenzao kuwa watawasaidia kuwafuta wayahudi Duniani, na kisha wao kumiliki 100%.

Mwaka 1948, waarabu wa Palestine mara moja wakaanzisha vita dhidi ya Wayahudi, wakapigwa vibaya. Israel ikachukua 60% ya ile 44% waliyokuwa wamegawiwa waarabu.

Mwaka 1967 waarabu wa Palestine wakisaidiwa na mataifa ya kiarabu, wakaanzisha tena vita dhidi ya Israel, wakapigwa tena vibaya, Israel ikayachukua maeneo yote yaliyosalia, na kuongeza baadhi ya maeneo ya Syria.

Mwaka 1972 wakaanzisha vita tena, wakapigwa vibaya, baadhi ya mataifa kama Misri yakaamua kufuta uhasama dhidi ya Israel.

Mara zote kwenye vita hivyo, idadi ya waarabu waliouawa ilikuwa karibia mara 20 ya vifo vya wayahudi.

Hivi kwa mtu mwenye akili, inawezekana vipi, kila wakati unatumia mbinu zile zile, na kila unapoanzisha vita, unapigwa na kupoteza maradufu, halafu unarudia yale yale! Hivi wewe utakuwa na akili?

Waarabu wa Palestine walipewa mamlaka ya ndani, na chini ya Oslo Accord, hiyo ilikuwa ni hatua ya kuelekea kupewa Taifa kamili. Mara hao Hamas wakaanzisha vita dhidi ya mamlaka ya ndani ya Wapalestina, na kisha kwa usaidizi wa Iran, wakanyakua eneo la Gaza!! Hivi hawa unaweza kusema kweli wanajua wanachokitaka? Baada ya mashauriano,
Hamas walijibadilisha kuwa chama cha siasa, wakaachwa wajitawale huko Gaza, mara wakaanza kuingia Israel kufanya mashambulio ya kujitoa mhanga. Baada ya hapo Israel ikajenga uzio na kuwawekea sheria kali, ambazo ilikuwa ukiwa kwenye vivuko vya kuingia Israel, ukikosea kidogo tu kufuata zile taratibu za kwenye vivuko, ulichukuliwa ni gaidi, unawashwa risasi. Na hiyo hali ndiyo waliyoilalamikia sana hawa waarabu wa Palestine kuwa wanaishi kama wapo jela. Lakini mazingira ya hali hiyo waliyatengeneza wenyewe.

Ukweli ni kama ulivyosema, walikuwa kwenye shida, lakini vitendo vyao vya October mwakajana, vimewafanya kuwa kwenye shida kubwa zaidi. Kama waliishi kama wapo jela, sasa wanaishi kama wapo kaburini.
Sijui walitegemeaje vile ambavyo Israel ingejibu!

Viongozi wa Hamas wamewaponza raia wa Gaza.
 
Yaani yote hayo at the expense ya maelfu ya watu waliouliwa bila kuwa na hatia yoyote ile?

Nah…..that strains credulity way too much.
Nilifuatilia kipindi kile vita imeanza. Huwa kuna walinzi wa Israel mpakani ambao ni wasichana ambao kazi yao ni kufuatilia nyendo za wapalestina mpakani na kutoa taarifa sehemu husika.

Hao wasichana wanajeshi wanalinda kwa zamu mpakani huku wakiangalia macho yao yote mpakani na hakuna kugeuka, ila wanalinda kwa zamu. Sasa wachambuzi wanauliza, ilikuwaje Hamas wakapenya mpakani na ile hali hao wasichana walikuwepo? Ina maana waliwaachia makusudi sasa, au walipitiwa usingizi?

Hapo unaweza kuona ulikuwa mkakati wa Hamasi kujichanganya kupitia majasusi wa Israel ndani ya Hamasi ambao wakawahamasisha wenzao waende kushambulia kule Israel!
 
you've got a very little uncertain moment, of life, so you need to accomplish your good life mission on time to the best maximum point of life moment (time) on earth.
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambaye walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.
Israel miaka nenda miaka rudi walikuwa wanawanyanyasa wapalestine kuwauwa kuwapiga na kuwanyanyasa ndani ya ardhi yao, maeneo yao muhimu ya kiibada hawana uhuru nayo kufanya Ibada yoyote mara wanazuiwa na kufanyiwa unyanyasaji lakini yote ardhi yao kila uchao walikuwa wanaimega, maeneo kadhaa kama West bank, hapo Gaza nk. walishasiginwa hadi ukutani hivyo subira ilifikia mwisho wake ndio hichi kinachoendelea kutokea muda huu
 
Mababu zetu waliopambana na wakoloni wakiwatesa nchini kwao ndio wanaelewa hili swali lako, au Washout Africa wanajuwa kunyanyaswa ni nini? Sisi wengine wacha tuliweke kiushabuki wa dini tu hapa.
Suala siyo kupigania haki, bali unatumia mbinu gani kupigania hiyo unayoiona ni haki yako.

Sijasikia waafrika kusini waliwahi kuvamia familia za makaburu, wakawaua watoto, na kuwabaka wabinti, na kuwateka wengine. Wala sikuwahi kusikia kama akina Chabruma, Mkwawa, Mirambo na Isike au akina Nyerere waliwahi kufanya uwendawazimu huo. Tena hawa walikuwa wanapambana na wavamizi wa kigeni kwenye mataifa yao, lakini Hamas inapambana na jamii ambayo nayo ina haki katika ardhi hiyo hiyo ambayo hawa waarabu wa Palestine wana haki pia.

Ukikosa akili na utashi kama ilivyo kwa Hamas, unaweza kuwa unapigania haki, lakini matendo yako yakakuondoa kutoka kuwa mwenye haki, na ukaonekana ni mhalifu kwa kila mtu.

Leo hii, hata kama kulikuwa na haki wanayoipigania, vitendo vyao vile vya kishetani vya October 7 mwakajana, vimewafanya waonekane kwa sura moja tu, sura ya ugaidi. Ndiyo maana huwezi kusikia masikitiko yoyote kutoka Taifa lolote, liwe la kiarabu au kizungu, linalosikitikia vifo vya hao Hamas. Watu wanahuzunishwa na raia ambao hawana uhusiano wowote na huo uovu wa Hamas. Ndiyo maana hata wale wafanyakazi wa umoja wa mataifa ambao ni waarabu, waliothibitika kushiriki kwenye ule uovu, wengine wamefukuzwa kazi na wengine Israel imewaua.

Masikitiko yetu wote, ni vifo vya raia ambao hawahusiki na huo uharamia wa Hamas.
 
Back
Top Bottom