Na hasa ndio approach iliiotakiwa.. mbona Jordan wanashare mipaka na israel hakuna migogoro.. tatizo palestina upande wa gaza wamekubali kutawaliwa na watu radicals ambao wanaamini katika dawa ya moto ni moto..
hamas wanataka israel ifutike kabisa kitu ambacho haiwezekani. Matokeo yake kwa kadiri wanavyojaribu ndio wanaIdi kupoteza.. na tatizo wanatumika na waraabu wenzao .. kungekuwa na nia ya dhati ya waarabu kuwapa utaifa palestina ingeshatokea zamani sana
We fikiria sudan tu hapo walipoanza kuchapana kwa misingi ya dini .. mara likatolewa wazo.. dunia ikalisimamia sudani ikagawanywa.. kwa nini ishindikane kwa palestina kuwa na utaifa
Jibu ni kuwa Israel hakubali kwa sababu anajua nia ya Hamas wao wanataka kufuta taifa la israel same to Iran. Maana yake ikiwa palestina itakuwa taifa.. italindwa na soverignity laws.. inaweza hata ikamruhusu iran akaweka silaha kali pale waka cordinate na Lebanon .. waka attack israel na kuifuta maana hilo
Ndio lengo mama .. hata vitabu vyao vya dini vinataka iwe hivyo.. na kijiografia Israel ni ndogo sana..
Ndio maana netanyau alisema palestina kuwa na utaifa its a death sentence kwa Israel
sasa hivi dunia imebadilika.. ili kumuwin Israel wangeleta approach ambayo israel wangeona kuwa hawa jamaa sio Threat kisha wakaja na proposal ambayo wangewekeana mipaka basi Palestina ikawa nchi kamili
Wakaanza kupata wawekezaji na misaada.
Hapo Hata Israel wangeona aibu.. na dunia nzima ingekuwa upande wa Palestina kama ingetokea Israel kafanya ndivyo Sivyo.. lakini toka enzi na enzi approach ya wa palestina imekuwa ni jino kwa jino..
Arafat alijaribu kutafuta suluhu ya mezani hadi wakaingia mkataba na israel.. ila hamas wakagoma
Ndio chanzo cha Mgawanyiko na alipokufa gaza ikabaki kwa Hamas. Kule west babk wakabaki Fatah chama ambacho kinaongozwa na Abbas..
Unawalaumu wapalestina peke yao na unawatoa katika hatia mazayuni. Mazayuni ni tatizo kubwa. Unasema kuwa vitabu vya dini vya wapalestina vinataka dola ya kizayuni iliyoanzishwa mwaka 1948 na wazungu ambao wengi waliikimbia Ulaya kuwakimbia "ndugu" zao waliokuwa wakiwatesa, ifutwe, ila husemi kuwa mazayuni wanatumia vitabu ambavyo wengi wao hata hawaviamini kuhalalisha kuunda taifa Lao pale na kufanya mauaji ya kimbari pale! Au unafikiri reference ya "kuangamiza mbegu za amalekites" wanazitoa Geneva Conventions?
Hamas na Iran (dola ya kishia) ni tatizo pia, na ndio wanaowaponza wapalestina zaidi na kuharibu fursa za amani zinapojitokeza. Ila fursa hizo za amani zinapopotea hata mazayuni wanafurahi pia. Kwa sababu agenda zao zinasonga. Akina Netanyahu walipinga Oslo Accords na wakati ule waliona uwepo wa Hamas ni fursa ya kuwadondosha akina PLO. Waliona Hamas inaweza kutumika kama "tool" yao. Na ndio maana kila hata Oct 7 , attack imefanywa na Hamas lakini mazayuni wanashambulia mpaka West Bank iliyo chini ya Fatah.
Mazayuni ni watu wa khiana, hilo linajulikana, ila fursa za kupata amani zinapopatikana wapalestina japo wana haki lakini wafanye tu amani na mazayuni na nchi za kiislam zifanye tu amani na mazayuni. Na waheshimu hiyo mikataba ya amani kwa dhati kabisa (wakijua moyoni kuwa mazayuni ni watu wa khiana). Na warudi katika Dini yao kwa sawa. Mazayuni wakifanya khiana, baada ya hiyo amani, basi wapalestina watasaidiwa tu na Mola Mlezi wa viumbe vyote.
Mtume alifanya amani na mayahudi wa Madinah na akaheshimu mikataba, ni mayahudi ndio walivunja mikataba hiyo, na wakapata sehemu ya yale yaliyofanywa na mikono yao.
Mtume alifanya mkataba wa amani na washirikina wa Kiquraish na akauheshimu, na terms za ule mkataba zilikuwa zinaonekana harsh kwa Waislam, ila aliuheshimu mkataba kwa uaminifu. Ni.maquraish ndio waliuvunja mkataba huo, na yakawapata yaliyowapata.