Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Hivi lengo la Hamas lilikuwa ni nini ile Oktoba 7, 2023?

Unaongea mengi yasiyo na maana yoyote. Nitajie kirefu cha Hamas.
Acha kujaza maneno kwa kulinganisha vitu visivyofanana hata kidogo.
Visivyofananq kivipi wakati ANC walifanya kila kitu wanachofanya Hamas kma kutega mabomu, kuteka, n.k. ila Mandela ni shujaa ila wakifanya Hamas wanageuka magaidi na sijui waislam wenye msimamo mkali!!
 
na kikundi cha harakati za kidini kinachopigania dini.
Haujitambui kwahiyo Christian Democratic Union cha ujerumani kinapigania dini? Ni hivi Hamas ni chama cha siasa kilishinda bunge na kupewa mamlaka ya kuunda utawala kisheria kabisa sasa hayo ya jina kuwekwa Islam kusikuchanganye maana 90%+ ya Gazans ni waislam. Na ambavyo hujitambui unaingiza dini sasa kama wanapigania Dini kumbuka Gazans wengi ni Sunni Muslims ila Hamas iko supported na Shia Muslims wa Iran kwahiyo ukisema wanapigania uislam ni upi huo Sunni au Shia?
Unawakosea ANC na Mandela pamoja na waliokuwa wanawaunga mkono
Nawakosea kivipi? Kwani Mandela hakuwa "Gaidi"? Hakulipua majengo au kuteka watu? Mandela mwenyewe kwa mdomo wake alisema Africa kusini haiwezi kuwa huru mpaka Palestina iwe huru na kwamba wote ni SAWA. Cha ajabu wewe myahudi wa Kinampanda unalazimisha ni tofauti? Are you insane?
 
Was Palestine a country before Israel?


From a purely historical perspective, “Israel” predates “Palestine” by more than a millennium. But, with the Jewish people then dispersed from their homeland, “Palestine” became home to a substantial Arab population, again for more than a millennium.
Muwe mnaweka link, inakuwa rahisi mtu kupakua madini.
 
Wapi hii historia yako ya kidwanzi. Wapi Mandela aliteka na kuua wazungu? Si angekuwa tu ni kichaa na mwendawazimu
Kelele nyingi kumbe hujui ANC walikua magaidi?? Au kisa ni wakristo?. Kajifunze kwanza historia ya Mabomu ya Pretoria 1983 kiliua mamia ya watu.

View: https://youtu.be/JtjTIS1NOJI?si=y3zz8KZj1Gb6jnE7
Pia hujui kuwa Mandela alifungwa sababu ya kuchoma moto kituo cha umeme na mashamba?
uMkhonto weSizwe - Wikipedia.

Kwahiyo ANC walikua "magaidi" sasa mbona mnawaita mashujaa. Ila Hamas wakifanya hiki hiki walichofanya ANC mnasema ni wajinga na wapumbavu?
 
Nyie ndio mnahesabu waliouliwa katika vita ni wafu wale ni mashahidi wako hai ticketi ya peponi moja kwa moja tena hapo inabidi namba isome angalau laki. Sidhani kama kwa hamas hilo ni tatizo kwasababu fate ya binadamu iko mikononi kwa Mwenyezi Mungu, na hao wako katika faida ya kuingia uzima wa milele hivyo hapo wanapata kotekote, kuhusu kifusi usijipe taabu dunia ulikuja bila hata chupi watajenga mengine kama ni muhimu sna kama wa waliotangulia mbele ya haki kwenye jengo hapo kariakoo wako peponi je wale wanaopitia madhila Gaza wanaogelea katika rank za juu kabisa maghorofa ya peponi
Allah Akbar
 
How is Hezbollah dead? Si bado kipo in power huko Lebanon?
Utajiju! Na Iran hiyo inafuata wewe subiri kidogo tu. Na tuliwaambia humu kuwa Hezbollah au Iran wakijichanganya tu, wamekwisha. Matokeo ndiyo hayo mdogo mdogo Khamenei anaondoka
 
Kuonesha dunia kwamba israel anaweza kupigika kiurahisi saana
Hapo ndipo unaona kuna nyaya fulani zimekatika katika ubongo wao! Kwa hiyo wamekubali kupoteza watu 45,000! na kuicha Gaza magofu! Walikuwa wanasema Gaza ni jela, sasa imekua jela kweli, maana ule mpaka wao na Egpty ( Philadephi corridor hawana acces tena! Anyway kama walitaka dunia tuone, tumeona!

1733760383656.png
 
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda sasa bila kupata majibu.

Kwa nini Hamas walianzisha chokochoko ambayo msukosuko wake hawawezi kuustahimili?

Wapalestina wa Gaza wanapaswa kuilaani kabisa Hamas na kuipinga kwa hali zote.

Ndiyo, Wapalestina hao wa Gaza walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu sana, kwa hisani ya Israel.

Lakini kabla ya Oktoba 7, hali haikuwa mbaya kama ilivyo hivi sasa.

Sasa hao Hamas wakijua kabisa uwezo wao pamoja na ule wa adui yao, kwa nini waanzishe songombingo ambayo walijua kabisa hawawezi kuimudu?

Labda walikuwa wakiichukulia poa Israel.

Viongozi wa Hamas ni wapumbavu sana. Gaza haitorudi kuwa Gaza tena.

Ndo matatizo ya kuongozwa na watu wapumbavu.

In the end, was it all worth it? I think not.

Mkuu Nyani Gabu,

Ukiwa rational na logical thinker utajiuliza maswali kama hayo, lakini jamaa zetu hawana hilo! Si vyema kubeza dini ya mtu yoyote, lakini wakati mwingine unajiuliza mbona hawa jamaa wana twisted thinking, maana Israel lazima ingelipiza kisasi, furaha yao ilikua ya muda mfupi mno! na imewaachia madhara ya miaka mingi, na ile compromise ya "Two State Solution" sasa hivi haipo tena. Kwa kifupi wamejiletea NAKBA Nyingine, na mbaya zaidi kuliko ile ya 1948! Na ambayo imesababisha hata swaiba wao mkubwa Syria kuangushwa!

Nadhani walidanganywa na Iran, wakitegemea Iran itaingia kwenye vita kamili na Israel (total war) na Hezbollah itashambulia kutoka North! Hilo halikutokea! Lakini kwa mtu anayefuatilizia kwa makini, Iran haitaki vita vya moja kwa moja na Israel ! Kama ingetaka ingefanya hivyo muda mrefu sana! Hiyo ni kauli mbiu yao toka Khomeini alipomwondoa Shah 1978, na vita vya moja kwa moja na Israel vinaweza kufungulia mlango ndani ya Iran na kusababasha utawala wao kuanguka! Hilo lilikuwa kosa kubwa kwa Hamas.

Lakini vile vile Hamas hawakutegemea Israel itakuwa brutal kiasi hicho! Walijua ile mbinu ya kujificha ndani ya raia italipa! Ulimwengu utaipigia kelele Israel, na Israel itasimisha mapigano, hilo halikutokea, na vile vile walitegemea pigo la October 7 litaleta mgawanyiko mkubwa ndani ya Israel, lakini mgawanyiko hakuondoa uwezo wa IDF.

Kwa kifupi Hamas na Hezbollah hawana kabisa strategic thinking, walikuwa na plan ya October 7 tu! Sio zaidi ya hapo! Najua wengi hawatakubali, kijeshi, huwezi kulinganisha uwezo wa jeshi la Israel na Hamas, vita vya leo vinataka kutumia anga ( air power) vinataka mechanized infantry etc, mwenye kufikiri angeona wazi vita vikichukua muda mrefu Hamas ingekosa pumzi!

kama ulivyosema Gaza haitakuwa Gaza tena!
 
Mkuu Nyani Gabu,

Ukiwa rational na logical thinker utajiuliza maswali kama hayo, lakini jamaa zetu hawana hilo! Si vyema kubeza dini ya mtu yoyote, lakini wakati mwingine unajiuliza mbona hawa jamaa wana twisted thinking, maana Israel lazima ingelipiza kisasi, furaha yao ilikua ya muda mfupi mno! na imewaachia madhara ya miaka mingi, na ile compromise ya "Two State Solution" sasa hivi haipo tena. Kwa kifupi wamejiletea NAKBA Nyingine, na mbaya zaidi kuliko ile ya 1948! Na ambayo imesababisha hata swaiba wao mkubwa Syria kuangushwa!

Nadhani walidanganywa na Iran, wakitegemea Iran itaingia kwenye vita kamili na Israel (total war) na Hezbollah itashambulia kutoka North! Hilo halikutokea! Lakini kwa mtu anayefuatilizia kwa makini, Iran haitaki vita vya moja kwa moja na Israel ! Kama ingetaka ingefanya hivyo muda mrefu sana! Hiyo ni kauli mbiu yao toka Khomeini alipomwondoa Shah 1978, na vita vya moja kwa moja na Israel vinaweza kufungulia mlango ndani ya Iran na kusababasha utawala wao kuanguka! Hilo lilikuwa kosa kubwa kwa Hamas.

Lakini vile vile Hamas hawakutegemea Israel itakuwa brutal kiasi hicho! Walijua ile mbinu ya kujificha ndani ya raia italipa! Ulimwengu utaipigia kelele Israel, na Israel itasimisha mapigano, hilo halikutokea, na vile vile walitegemea pigo la October 7 litaleta mgawanyiko mkubwa ndani ya Israel, lakini mgawanyiko hakuondoa uwezo wa IDF.

Kwa kifupi Hamas na Hezbollah hawana kabisa strategic thinking, walikuwa na plan ya October 7 tu! Sio zaidi ya hapo! Najua wengi hawatakubali, kijeshi, huwezi kulinganisha uwezo wa jeshi la Israel na Hamas, vita vya leo vinataka kutumia anga ( air power) vinataka mechanized infantry etc, mwenye kufikiri angeona wazi vita vikichukua muda mrefu Hamas ingekosa pumzi!

kama ulivyosema Gaza haitakuwa Gaza tena!
Mkuu umeeleza vizuri saana na mpaka sasa hawa waarabu wameshindwa kuelewa waelekee wapi hasa haya makundi ya kigaidi/waasi kwa maana sirya hali mbaya iran nae kama haoni yanayoendelea urusi ambaye huwa wanamtegemea yuko bize na vita vya ukraine waarabu wengine kama saudi na egypt wao walishaona waarabu wanafikiri kwa kutumia mihemko kuliko akili.
 
😂😂
Wewe unayejitambua endelea kufananisha Jihad na mapambano ya kusaka uhuru.
Kwa wewe unayejitambua kwanini hamas waliita Al Aqsa Flood badala ya Palestian flood?

Pamoja na kujitambua kwako ila dini imekupa upofu, pole sana.
Dini ipi? mbona mimi ni mkristo tena mlokole kabisa unless threads zangu za Jamii intelligence husomagi.

Issue hapa ni kwamba Mandela alitumia ugaidi kupata uhuru ila aliitwa shujaa ila mbinu hizo hizo katumia Hamas anaitwa mchokosi, gaidi, asiye na akili ndio nashangaa mnaoshabikia hii thread huu unafiki ni kwa faida ya nani?
 
Back
Top Bottom