Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti anajaribu na kuzungumza kisukuma kidogo....aibu najisikia mimi yaniCCM na Samia wanatapatapa sana, kweli kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza 😂
Wewe waache tu wamtukuze hadi kumuweka daraja la Mungu, madhara yake watayaona sson.Naangalia kinachoendelea Mwanza ni kutumtukuza rais aliyepo madarakani na si kumkumbuka Mwalimu Nyerere.
Naona pia gharama kubwa itakuwa imetumika kusomba watu, wasanii na viongozi wakubwa wote.
Ni kweli wanamuenzi Nyerere au kumtukuza Samia?
Wapambe nuksi sana.Wanaokutukuza na kukusifu sana leo ndio haohao watakaokubeza na kukusuta kesho..!
Ogopa sana wapambe.. Nyerere nakupenda kabisa huu upuuzi
Asitunajisie lugha yetu pendwa.Eti anajaribu na kuzungumza kisukuma kidogo....aibu najisikia mimi yani
Chama Cha MachawaNaangalia kinachoendelea Mwanza ni kutumtukuza rais aliyepo madarakani na si kumkumbuka Mwalimu Nyerere.
Naona pia gharama kubwa itakuwa imetumika kusomba watu, wasanii na viongozi wakubwa wote.
Ni kweli wanamuenzi Nyerere au kumtukuza Samia?
Leo ni Nyerere Day.Naangalia kinachoendelea Mwanza ni kutumtukuza rais aliyepo madarakani na si kumkumbuka Mwalimu Nyerere.
Naona pia gharama kubwa itakuwa imetumika kusomba watu, wasanii na viongozi wakubwa wote.
Ni kweli wanamuenzi Nyerere au kumtukuza Samia?
Na uanze wewe nao watafuata.MiTano Tenaa ,wenye chuki wajinyonge
Naona vijana nao wanamuumiza kichwa sana....naona kuwateka na kuwapoteza kume backfire vibaya sana....Huyu Mama anato........anatoa hotuba sasa hivi?
Kama baba wataifa angekuqepo mpaka leo, angeongezea, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI, KUJIPENDEKEZA NA UCHAWA..Leo ni Nyerere Day.
Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Ni hovyo kabisa ni kampeni tupuNaangalia kinachoendelea Mwanza ni kutumtukuza rais aliyepo madarakani na si kumkumbuka Mwalimu Nyerere.
Naona pia gharama kubwa itakuwa imetumika kusomba watu, wasanii na viongozi wakubwa wote.
Ni kweli wanamuenzi Nyerere au kumtukuza Samia?
Nyerere Day haiwezi kufanyika Mwanza badala ya Butiama, Hilo ni Tamasha la kumsifia MamaNaangalia kinachoendelea Mwanza ni kutumtukuza rais aliyepo madarakani na si kumkumbuka Mwalimu Nyerere.
Naona pia gharama kubwa itakuwa imetumika kusomba watu, wasanii na viongozi wakubwa wote.
Ni kweli wanamuenzi Nyerere au kumtukuza Samia?
Very true.Kama baba wataifa angekuqepo mpaka leo, angeongezea, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI, KUJIPENDEKEZA NA UCHAWA..
Yote haya alaumiwe Maboyo kwa kujifanya kutetea katibaMakamu wa Rais lazima awe kiongozi aliyekomaa kimadaraka siyo kuokoteza watu kisa jinsia au ukanda anaposhika madaraka makubwa ndipo anapoanza kupuyanga puyanga asijue nini la kufanya, sijawahi kusikia sera za Rais kuhusu uchumi zaidi ya kuhangaika kutafuta madaraka mengine wakati bado yupo madarakani.
Kuna shida kubwa.Naangalia kinachoendelea Mwanza ni kutumtukuza rais aliyepo madarakani na si kumkumbuka Mwalimu Nyerere.
Naona pia gharama kubwa itakuwa imetumika kusomba watu, wasanii na viongozi wakubwa wote.
Ni kweli wanamuenzi Nyerere au kumtukuza Samia?