Nyoko zao hawa wapumbavu, yaani kitu zima linatingisha simuNg'ombe nyingine hizi huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoko zao hawa wapumbavu, yaani kitu zima linatingisha simuNg'ombe nyingine hizi huku
Sasa wewe unamchafua vipi mtu kama pumbavu mwamposa kwenda kuua watu kwenye kukanyaga mafuta. Yule kajichafua mwenyewe shenzi zake, na serikali ilivyo dhaifu ikamwachia huru bila kumfungulia mashtakaacha kuchafua watu kwa kuwataja majina. Ukisema hao fahamu na wengine wapo wengi kwenye ile dini inayofungafunga na kufungua kwa kutangaza. Hakuna tofauti ujinga ni uleule tofauti ni masaa ya kufunga tu
Pia mwamposa alisababisha watu kufa kwenye mafuta kama alivyosababisha huyo mkenya kwa kufungisha watuHukumbuki tukio la mmoja wao kuigiza akifufua mfu? Au na wewe ni blind follower.
Mkuu usifananishe ibada tukufu ya swaumu ya ramadhani na huo upuuzi wa kuuza mali zote na kwenda kumkabidhi tapeli na si hapo tu pamoja na kushinda na njaa mpaka kufa, huu ni upuuzi kabisa usiofanana na funga hata kidogo, huko ni kushinda njaa au kujiua.acha kuchafua watu kwa kuwataja majina. Ukisema hao fahamu na wengine wapo wengi kwenye ile dini inayofungafunga na kufungua kwa kutangaza. Hakuna tofauti ujinga ni uleule tofauti ni masaa ya kufunga tu
HivI nyie wanawake malaya huyooooo mwamposa amewapa nn mbona akiguswa tu mnacharuka?Unasemaje wewe?
Hao uliowataja wameamua nani? Au wapi uliona wametapeli Watu km huko Kenya?
Au wapi uliona wamewaamrisha Watu kufunga?
Au ndo umejisikia TU kuchafua majina ya Watu?
We mpuuzi kweli, na usipotubu , utashangaa sn!
We msenge kweli, Gwajima cyo tapeli? Amechafuliwa wapi? C alituongopea mwenyeww kufufua wafu?acha kuchafua watu kwa kuwataja majina. Ukisema hao fahamu na wengine wapo wengi kwenye ile dini inayofungafunga na kufungua kwa kutangaza. Hakuna tofauti ujinga ni uleule tofauti ni masaa ya kufunga tu
Katika msako unaoendelea katika eneo la ekari 800 linalomilikiwa na "Mchungaji Feki" Paul Mackenzie, polisi wamemkamata Mchungaji mwenza anayejulikana kama "Zablon wa Yesu". akiwa anasoma Biblia akieleza yeye angelianza kufunga Juni 2023![emoji23]MAREHEMU BETTY AJENTA CHARLES:
Hadithi ya Betty Ajenta Charles (pichani), inasikitisha. Mwili wake umefukuliwa baada ya kufunga mpaka kufa katika sakata linaloendelea nchini Kenya la Mchungaji Paul Mackenzie ambaye anawafungisha Wakenya hadi umauti ("Fasting to Death") ili wafike Mbinguni kirahisi.
Mwili wake ni kati ya miili 73 iliyofukuliwa katika zoezi la kiuchunguzi linaloendelea kwenye jimbo la Kilifi - Kanisa la Shakahola. Marafiki na ndugu za Betty wamepata mshtuko mkubwa sana.
Betty alikuwa mfanyakazi wa Shirika moja kuubwa la ndege duniani, ambaye aliamua kuacha kazi yake, akauza ardhi yake kwa Kshs 7,000,000 = Tzs 121,170,000 na kumkabidhi "Mchungaji Wakala wa Shetani" Paul Mackenzie wa Malindi - Kenya.
Betty alirejea Kenya kutoka ughaibuni baada ya mtoto wake aitwaye Jason kulazimishwa kufunga hali iliyopelekea mtoto huyo aage dunia. Wakati mtoto huyo wa Betty anafunga kula hadi kufariki, Betty alikuwa nchini Qatar. Mtoto wa Betty, Jason, alikuwa akiishi na babu na bibi yake wakati huo. Haijulikani ni nani alimfungisha mtoto huyo hadi kufa.
Baada ya kupokea taarifa za kifo cha mwanaye, inaelezwa Betty alifunga safari kutoka Qatar hadi Kenya kwa ajili ya mazishi ya mwanaye lakini akapotea na hakujulikana alipo tena.
Dada ya Betty anayeishi eneo la Umoja - Nairobi, anasema Betty aliacha barua ya hisia kali kwa Mume wake akionesha asingelirejea tena milele. Baada ya kuandika barua hiyo Betty aliondoka na wanaye kuelekea Malindi.
Inaonekana alifuta akaunti zake zote za mitandao ya kijamii, akauza vitu vyake vyote kabla ya kupanda Ndege kuelekea Malindi - Kenya.
Rafiki ya Betty anasema, Betty alimuaga akimjulisha kuwa anaenda kuonana ana kwa ana na Yesu siku ya tarehe 08 Aprili 2023 na kwamba alilazimika kuondoka tarehe 07 Aprili 2023. Rafiki ya Betty alipoifuatilia tiketi yake ya ndege akagundua ni tiketi ya moja kwa moja na siyo ya nenda rudi.
Katika msako unaoendelea katika eneo la ekari 800 linalomilikiwa na "Mchungaji Feki" Paul Mackenzie, polisi wamemkamata Mchungaji mwenza anayejulikana kama "Zablon wa Yesu". akiwa anasoma Biblia akieleza yeye angelianza kufunga Juni 2023!
Dini ni sumu mkuuNyoko zao hawa wapumbavu, yaani kitu zima linatingisha simu
Sasa matusi ya Nini!? Mwenzako akinyolowe,wwe tia maji!!Unasemaje wewe?
Hao uliowataja wameamua nani? Au wapi uliona wametapeli Watu km huko Kenya?
Au wapi uliona wamewaamrisha Watu kufunga?
Au ndo umejisikia TU kuchafua majina ya Watu?
We mpuuzi kweli, na usipotubu , utashangaa sn!
Alafu akamuachia barua Kali sana baba Mtoto wake! Yaani hii Dunia Ina Binaadamu wa ajabu sana ukitafakari kwa kina!!Inawezekana pia kuna ka ushirikina hapo, maana ukiangalia scenario ya huyo dada alivyo chotwa ni fikirishi sana.
Yani badala ya kumshitaki mchungaji kwa kumfungisha mtoto mdogo mpaka kufa matokeo yake na yeye akaenda kufungishwa hadi kufa.
Serekali hakumuachia bure tu,bali ali compromise na system!!Sasa wewe unamchafua vipi mtu kama pumbavu mwamposa kwenda kuua watu kwenye kukanyaga mafuta. Yule kajichafua mwenyewe shenzi zake, na serikali ilivyo dhaifu ikamwachia huru bila kumfungulia mashtaka
kuwa mstarabu, we ndio msenge mwenyewe, hebu dadavua utapeli wake usilete matusi ya kilevi hapaWe msenge kweli, Gwajima cyo tapeli? Amechafuliwa wapi? C alituongopea mwenyeww kufufua wafu?
Mwamposa ana utofauti gani na huyo wa Kenya? C aliua watu pale moshi?
Mwakasege na yeye c ni tapeli tu, c ni juzi anasema ametoka mbinguni kupiga story na yesu? Shtuka acha kukaza fuvu matako wewe
acha matusi k* wewe, unatakiwa upangue hoja, halafu ujenge hoja yako kusadifu hao unaowaona ni matapeli. Mi nimetoa ufafanuzi wa huduma zao, habari za utapeli wao unazijua wewe. Na wewe elezea hao ni matapeli kivipi? Unakupuka kama umepanuliwa kule. Acha matusi jenga hoja uungwe mkono au upingwe kwa hoja mpuuzi weweWe msenge kweli, Gwajima cyo tapeli? Amechafuliwa wapi? C alituongopea mwenyeww kufufua wafu?
Mwamposa ana utofauti gani na huyo wa Kenya? C aliua watu pale moshi?
Mwakasege na yeye c ni tapeli tu, c ni juzi anasema ametoka mbinguni kupiga story na yesu? Shtuka acha kukaza fuvu matako wewe
Toa maoni yako ila usitukaneWe msenge kweli, Gwajima cyo tapeli? Amechafuliwa wapi? C alituongopea mwenyeww kufufua wafu?
Mwamposa ana utofauti gani na huyo wa Kenya? C aliua watu pale moshi?
Mwakasege na yeye c ni tapeli tu, c ni juzi anasema ametoka mbinguni kupiga story na yesu? Shtuka acha kukaza fuvu matako wewe
Yeah nazani Kuna kitu kama HichiLabda biashara ya viungo vya binadamu live live huko
Kitu kama Hicho kipoSidhani kwa mazingira yale, na pia kama ungekuwepo huo uhuni basi maiti pia kwa namna moja au nyingine zingeonyesha.
Huyo mchungaji na wasaidizi wake ni wauwaji na waporaji wa mali za watu kwa kigezo cha dini.
Nazani itakuwa ni masaa 12 jioni mnakulaKanisa langu tunaanza mfungo wiki ijayo itatuchukua siku 40
Hatuli kituNazani itakuwa ni masaa 12 jioni mnakula