Hivi lini hii dunia wajinga wataisha? Hivi msomi nae anaweza kuwa na vivyo hivyo ukawa mjinga! Dada Betty ujinga umekufanya upoteze maisha

Umefika wakati Sasa wa kuyachunguza haya madhehebu lukuki hasa haya ya kiprotestant, mengi ni ya matapeli tu.
Tuige mfano wa Rwanda kwamba ili uwe mchungaji ni lazima uwe na shahada.
 
Umefika wakati Sasa wa kuyachunguza haya madhehebu lukuki hasa haya ya kiprotestant, mengi ni ya matapeli tu.
Tuige mfano wa Rwanda kwamba ili uwe mchungaji ni lazima uwe na shahada.View attachment 2600172
Wasiishie kwenye madhehebu hadi kwa waganga, Hakuna kusajiliwa uganga kama huna degree, maana wote ni wale wale madhara yao makubwa kwenye jamii
 
Mama na baba yako wanatatuliwa malinda kwa sababu ya ujinga na upumbavu ambao na ww umeurithi.

Kuwa na akili hata za kuvukia barabara usije kujikuta na ww unaanza kufirw@ na kina gwajima wafufua watu, Mwamposa muua watu mfuasi wa shetani
we si mzima kichwani, sasa unataka ligi ya matusi nini? Kuwa na adabu mfia dini uliyechanganyikiwa. Pumbavu, unajuaje kama nina wazazi shetani mkubwa we
 
Wasiishie kwenye madhehebu hadi kwa waganga, Hakuna kusajiliwa uganga kama huna degree, maana wote ni wale wale madhara yao makubwa kwenye jamii
tena waganga ndio wabaya zaidi, wanawafanya vibaya wateja wake mambo ya ajabu sana. Shida na kukosa maarifa hutumbukiza watu hatarini
 
Pana mmoja mwanza aliitwa Babagodi huyu Mchungaji laiti asingekiuka masharti ya kichawi angekuja kuleta kilio kikubwa Sana kwa wakaazi wa Mwanza alikuwa na nguvu za kichawi kuliko zumaridi. Sema ndo hivyo Mungu aliingilia kati kuepusha madhara.
 
Ukishakosa maarifa ya kiroho wewe utakuwa windo la waganga na mitume na manabii wa uongo
 
Dini imepenya kwenye damu ya Mwafrika, humuambii kitu. Kuna wakati nilisema Yesu hakufufuka kidogo nipigwe mawe. Ukimuuliza Mwafrika kuhusu utamadumi wake hajui kitu ila wa Wazungu anaujua. Mf. Kanisa la Waroma, la Mwafrika ni lipi?
 
Mackenzie anatofauti gani na hawa wabongo eti toa sadaka ya kujimaliza sijui kujiteketeza yeye anajengea hotel wewe unarudi mbagala kwa miguu,
Sadaka ya kujimaliza ni wizi wa kisaikolojia Hakuna fundisho hilo kwenye maandiko. Utoi sadaka Ili uumie. Huo ni wizi.
 
Unasemaje wewe?
Hao uliowataja wameamua nani? Au wapi uliona wametapeli Watu km huko Kenya?
Au wapi uliona wamewaamrisha Watu kufunga?
Au ndo umejisikia TU kuchafua majina ya Watu?
We mpuuzi kweli, na usipotubu , utashangaa sn!
Kwani wanatofauti gani, kwani hawakuua watu Moshi,awaambii watu watoe sadaka za kujimaliza kama sio wizi ni nini,wapi pana fundisho la kutoa sadaka Ili uumie kwenye maandiko.
Je watu awatembei kwa miguu kurudi kwao baada ya kuporwa KILA kitu na hao manabii wa uongo? Waonee huruma wakinamama na watoto wanaotembea kwa miguu hadi mbagala,kimara,bunju wao wanaendesha mav8 wanajenga mahoteli, helicopter, mashamba we uoni hawa ni wezi wanawaibia masikini tofauti yao na waganga wa kienyeji ni ipi?.
 
we jamaa zinakutosha kweli? Jamaa yako anatukana matusi we una like.
We choko acha kujilengesha,unataka kunipangia maisha kiazi wewe? Huoni aibu kumfuatitilia kidume mpaka comment anazo like? Wewe ni kituko cha JF na uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,ndio maana unapigwa spana humu kwa comment zako zilizojaa matapishi,hivi hujajishtukia tu bado?
 
napigwa spana na nani k* wewe? Mpuuzi fulani hivi uliomo humu. Mi huwa napenda kuwachezea akili wapuuzi wenzako kama wewe, mimi ndio nawapiga spana na wingi wenu mpaka mnakosa cha kujibu mnakimbilia matusi. Kwa ligi ya matusi nako nakutoa rinda
 
Unionapo humu acha kun quote huna hoja usitake kuanzisha ligi ya matusi huko nako hutaniweza nimekamilika idara zote huna uwezo wa kunibandua kwenye hoja yoyote mbuzi jike wewe
 
Unionapo humu acha kun quote huna hoja usitake kuanzisha ligi ya matusi huko nako hutaniweza nimekamilika idara zote huna uwezo wa kunibandua kwenye hoja yoyote mbuzi jike wewe
Wewe utakua sio timamu aisee,sasa huoni kua wewe ndio uliyeanza kuniquote hapa kwenye hii thd?

Hivi wewe binti una matatizo gani? Jaribu kula maembe mabichi huenda yakakusaidia kupunguza kutapika hovyo hapa jf kiazi wewe.
 
napigwa spana na nani k* wewe? Mpuuzi fulani hivi uliomo humu. Mi huwa napenda kuwachezea akili wapuuzi wenzako kama wewe, mimi ndio nawapiga spana na wingi wenu mpaka mnakosa cha kujibu mnakimbilia matusi. Kwa ligi ya matusi nako nakutoa rinda
Rudi Milembe bado hujapona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…